Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Duuh! Wewe noma aisei mimi niliacha form two baada ya kupata A, bila kusoma nikaona masomo ya watu wasiofikiria vyema zaidi ya kukariri..!

Njoo nikupambanishe na mke wangu pcm afu computer science..! Ila bado mimi mbabe wake kwenye kufikiri vitu vigumu yeye bingwa wa kukariri.
Mi hayo macomputer science aikuyagusa hata. Nilijisomea zangu kodi chuo.
 
We kichwa basi. Wenzio wote wanalalamika hapa na Physics. Chemistry ilikuaga rahisi. Nimeenda report shule kama wewe nilikua naenjoy tu mtaani. Kufika shule sina lolote kichwani. Chemistry nikawa nafeli siku moja madam akaniita mbele ya darasa. Eti muoneni huyu kapata kucha rangi halafu kichwani hamna kitu. Mwanangu PCM itakushinda. Nikasema hanijui huyu. Kuanzia pale nikawa naongoza mimi somo lake class na akaanza kunipenda. Nakumbuka kwenye mock niliongoza Chemistry shuleni kwetu akanipa zawadi ya Khanga. R.I.P Madam Mwimi.

Ahaaa chemistry ilikuwa rahis nakumbuka nilihakikisha swali la organic sikosi yaaani hii topic niliisoma mara 3 ,tuition mara 2 na shule mara 1 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na niliielewa haswaaaa ulikuwa ukiletwa swali lolote lazima nichomoe hadi ticha akawa rafik angu ila cha ajabu inorganic ilikuwa inanisumbua hasa kwenye kuelezea ikabid niwe nakrem tu !!!
 
Mi mwenyewe form six ikawa bye bye na chuo nikasoma vitu vingine kabisa. Japo I regret kwanini sikwenda kusoma hata Civil engineering ila ndo basi tena.

Pole mzigua ..... but mim i don’t regret at all chuo niliingia zangu Accounts na nmegundua hayo ndo maisha niliyokuwa nayataka ,chuo ilikuwa raha saana kusoma mpaka ratiba ya mtihan itoke full bata usista duu sasa, inshort kila nikifikiria incase nngekuwa eng. mda huu ningekuwa site na li ovaloli sijui daah akil hainipi kabisaaa . Am really happy with what am doin ryt now
 
Ahaaa chemistry ilikuwa rahis nakumbuka nilihakikisha swali la organic sikosi yaaani hii topic niliisoma mara 3 ,tuition mara 2 na shule mara 1 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na niliielewa haswaaaa ulikuwa ukiletwa swali lolote lazima nichomoe hadi ticha akawa rafik angu ila cha ajabu inorganic ilikuwa inanisumbua hasa kwenye kuelezea ikabid niwe nakrem tu !!!
Organic ilikuaga tamuu. Darasani kwetu nilikua naonekana staki shule maana nilikua nalala HGL nashinda HGL. Siku nikienda darasani usiku ujue nimeitwa kufanyia watu maswali ya Chemistry. Na inorganic nilikuaga njema sana
 
Wakati tunakwenda kwenye Umisseta wanafunzi wa Advanced wa PCM walikua wanatushangaa sana kuona tunasolve haya madudu;
Projectile,Angular Motion,Electromagnetism,Friction Force (ile Deep) n.k
Ukijaribu kupima ugumu huo ww ukiwa form five au Six pima ukiwa form three na form four!

Titcomb (Fundamental of Engineering Science) ndio kitabu pekee nitakiheshimu sana.
Sasa mimi nimeshiriki umiseta form five na form six. Nilikua naendaga kibaha kambini halagu nilikua nimezoeana zoena na watu wa kule basi nikimaliza kucheza jioni ile nakua na maswali yangu nauliza. Ijumaa narudi shule kupiga pepa na nafaulu fresh tu ila Math ndo nilikua hata nikeshe nasoma siwez kufaulu.
 
Mie chemistry ilinichefua kwanza sikuwa nikiizingatia toka o level, pili madam niliyemkuta mie alikuwa na mimba sijui mimba yake ilinichukia, kifupi mimi na yeye tulikuwa hatuivi kabisa, yaani chochote ntakachofanya darasani ni ugomvi, akiongea kitu cha kuchekesha ukicheka mtiti wakati karibia darasa zima limecheka, ukikaa kimya eti umenuna nini, akiwa anaeleza kitu ukimkodolea macho analalamika kwanini namtizama kama kinyago, siku ukisema leo simtizami ugomvi eti.

Anataja jina langu analalamika simsikilizi namdharau, kama nishasoma huko nje ni heri nitoke darasani niwapishe wenzangu kuna siku akaniambia ni heri abaki na wajinga wachachr kuliko werwvu wengi

Kuna siku alikuwa anafundisha nahisi ni organic ile na nilikuwa na hamu kichizi ya kuijua kindaki ndaki,class watu huku nyuma wakacheka, bhanabwe alipogeuka tu kageuka kageuka na mimi, simama juu unacheka nini, kutaka kumuelewesha ukawa ugomvi, ikabidi niwe mpole akaongea wee akaniamnia najitia mwerevu sana ila mwisho wa uerevu wa binadamu ndio mwandamu ndio mwanzo wa ujinga wa mungu sijui, akazira na kufundisha.

Kuja kipindi nilifikiria sijui nimtombe tu kiukweli maisha yalikuwa magumu sana kwa madam yule ilifikia hatua vipindi vyake nikawa siingii sababu najijua mwenyewe sichelew kumkata mtu makofi, nikaona niepushe shari tu
hii story haijaisha mkuu, ebu malizia basi ikawaje
 
Organic ilikuaga tamuu. Darasani kwetu nilikua naonekana staki shule maana nilikua nalala HGL nashinda HGL. Siku nikienda darasani usiku ujue nimeitwa kufanyia watu maswali ya Chemistry. Na inorganic nilikuaga njema sana

Hahahaha wewe ulikuwa kipanga ,maana wengine tulitumia nguvu nying saana kusoma inshort hadi kuna baadh ya likizo zile za week moja unaona bora usirudi likizo ili upige msuli sitasahau walaah ahaaaaah
 
Pole mzigua ..... but mim i don’t regret at all chuo niliingia zangu Accounts na nmegundua hayo ndo maisha niliyokuwa nayataka ,chuo ilikuwa raha saana kusoma mpaka ratiba ya mtihan itoke full bata usista duu sasa, inshort kila nikifikiria incase nngekuwa eng. mda huu ningekuwa site na li ovaloli sijui daah akil hainipi kabisaaa . Am really happy with what am doin ryt now
Yaaaani. Mi nahisi darasa lingenitenga maana usistaduu nimeanza mudaa. Ila hata engineering ningeweza tu. Chuo sasa nilikua na kampani yangu hiyo masistaduu wa darasa. Nilikua nikikaa nasema huu muda ninaoenda club ningekua engineer ningekua nachora chora saa hizi. Mwisho wa siku kila kitu kinatokea kwa sababu. Labda ningeenda engineering ningedisco semister ya kwanza [emoji2][emoji2]
 
Mimi form One nilijua ntachukua science subjects tena PCM yan nilikua naelewa na nafaulu vzr , ila kadri nilivokua napanda vidato , ndoto nazo zilianza kuyeyuka taratibu mpk kufikia kusoma Arts subjects A level tena kwa hyari yangu mwenyewe bila shikizo kutoka kwa mtu yeyote hahaaa. Baada ya kuona Physics ni motoo haipandi kabisa
Thank mkuu
 
ukiachana na babuu aliepata umaarufu pale aza boy, mwengine nilikuaga mimi wakiniita bizzle mtata, PCM sikuwahi kuwa TO ila hamna kilichonishinda kwenye PCM. baadhi waliniitaga mchawi, maana nilikuaga sisomi, napenda kulala na kuogelea beach. basi
Aza boy ume pita mwaka gani??
O level ama Advance??
Maana hata babu alisoma olevel tuu
 
Hahahaha wewe ulikuwa kipanga ,maana wengine tulitumia nguvu nying saana kusoma inshort hadi kuna baadh ya likizo zile za week moja unaona bora usirudi likizo ili upige msuli sitasahau walaah ahaaaaah
Daaah. Mi nilikua narudi home kila baada ya mwezi. Yani nilikua najua nasoma combi ngumu ila kukaza shule sijawezaga kabisa. Huwaga najuta baada ya matokeo. Pamoja na kutokaza kwangu nashukuru Mungu kupita form six.
 
Mtihani wa kwanza interview Loyola, nikapita nikaingia PCM/PGM class
Siku ya kwanza nakutana na mtu anasoma topic za form six mi sijui hata naanza topi gani.
Tokea siku hiyo nilifeli physics na nikaichukia
Hahahahaa
 
Back
Top Bottom