Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
- Thread starter
- #121
Hahahah inaweza ikawa inakaukweli aiseee,ila mimi niliambulia A ya math tu Olev na Alev
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah inaweza ikawa inakaukweli aiseee,ila mimi niliambulia A ya math tu Olev na Alev
Physics usiifananishe na hesabu kwa ugumu japo hayo masomo yanategemeana sana. Mimi kwa A Level sijaona Somo gumu kama Physics.1: Hivi kati ya pure mathematics na Advanced physics lipi somo gumu???
2: kwanini Hesabu ndo inaonekana ni somo gumu zaidi (ugonjwa wa taifa) na sio physics???
Toka O-level nilikuwa na ndoto za kusoma PCM lakini nilibadilisha gia angani ghafla.Physics noma ila kwangu Maths ilikua noma zaidi. Sijawahi kuipenda math advance. Kwa kifupi tulikua hatupendani na Math.
HahahahahahaSie teacher wetu hakuanza na projectile atlist angenipa moyo aisee ndoto zangu za kuwa pilot niliona zinayeyuka pale pale
Usicheke mama nilikuwa na dream kali sana acha zilipoyeyuka nmeishia kuwa abiria sio ruban tenaHahahahahaha
Magnetism sio ngumu ila kukumbuka kanuni ndo mziki. Ukibatisha inakutoa D-c. .Hakuna topic KENGE kwenye A.Physics kama TISM,damn yule mwana ana formulas kama anatomy nzima.
Mimi nilikua nataka PGM. Ila nashukuru Mungu kusoma PCM at least Chemistry ilinisaidia.Toka O-level nilikuwa na ndoto za kusoma PCM lakini nilibadilisha gia angani ghafla.
Math ningeikomalia sana maana nilikuwa naipenda sana, BAM nilikuwa nasomea pepa lakini niliinyanyasa sana.
Mwenyewe nilikua nautamani urubani ila haya masomo yakaua ndoto zetu.Usicheke mama nilikuwa na dream kali sana acha zilipoyeyuka nmeishia kuwa abiria sio ruban tena
Hiyo hali tulikuwa tunaiita room temperature, maana room temperature ya lkawaida ni 28°C-30°C lakini ukiingia kwenye pepa unajikuta room temperature inacheza kwenye 100°C muda huo unafuta jasho tu unashindwa uanzie wapi uishie wapiSasa unashangaa wenzio wala hawahangaiki ,ghafla mikono inajaa jasho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usicheke mama nilikuwa na dream kali sana acha zilipoyeyuka nmeishia kuwa abiria sio ruban tena
Yaan kila nikiwaona wale jamaa na zile uniform zao na zile briefcase nasema ningekuwa in their positon ila physics haikunipendaMwenyewe nilikua nautamani urubani ila haya masomo yakaua ndoto zetu.
kihombo huyoHahaha Daaah physics ni balaa Kuna T.O mmoja hivi alimaliza 2006 alikuja Kutufundisha sisi tukiwa form 6 tukajiona Vilaza Wote.. vitabu vya Chand...Roger. vyote tuliona Tumemaliza na Hakuna Swali Gumu.. Jamaa Halafu alikuwa ana dharau balaa na Chuo alifukuzwa Kisa Dharau kwa Maprofesa kwahiyo akabak anapiga Tuition mtaani tu na Sifa Kibao na Kuwaona Watanzania wote hawana Akili ila Yeye peke yake
Ila Nakumbuka Siku ya Mtihani wa Physics Nilipiga msuli Usiku halafu kesho yake Pepa Asubuhi Na Nikasolve Maswali Kama matatu hivi ya Chand kwenye Pepa Yamekuja Vile vile Nikasema Nashukuru Mungu Ndalichako kaniona
Ila Yote tisa nitarudi Shule Zote ila Siyo Advance
Mwamba anaitwa Elias kihombo alikuwa na sifa sana huyuHahaha Daaah physics ni balaa Kuna T.O mmoja hivi alimaliza 2006 alikuja Kutufundisha sisi tukiwa form 6 tukajiona Vilaza Wote.. vitabu vya Chand...Roger. vyote tuliona Tumemaliza na Hakuna Swali Gumu.. Jamaa Halafu alikuwa ana dharau balaa na Chuo alifukuzwa Kisa Dharau kwa Maprofesa kwahiyo akabak anapiga Tuition mtaani tu na Sifa Kibao na Kuwaona Watanzania wote hawana Akili ila Yeye peke yake
Ila Nakumbuka Siku ya Mtihani wa Physics Nilipiga msuli Usiku halafu kesho yake Pepa Asubuhi Na Nikasolve Maswali Kama matatu hivi ya Chand kwenye Pepa Yamekuja Vile vile Nikasema Nashukuru Mungu Ndalichako kaniona
Ila Yote tisa nitarudi Shule Zote ila Siyo Advance
kweli kabisaUzi huu wachangiaji wachache sana sababu tuliopitia njia hii ni wachache [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahaaaaaaaYaan kila nikiwaona wale jamaa na zile uniform zao na zile briefcase nasema ningekuwa in their positon ila physics haikunipenda
Mimi nilisoma CBG tulikuwa tunashare darasa na PCB.
Wale jamaa maisha yao unawaonea huruma tu.
Wewe yalikukuta yap tena?Hahahahaaaaaaa
Mie nilikomaa nayo mpaka mwisho nikabahatika na E japo siamini sana kama yalikua matokeo yangu maana nilitegemea 0Wewe yalikukuta yap tena?