Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Watu tunatofautiana kweli kweli.. Mie chemistry ndio ilinipa tabu..
Physics hasa form 5 ilikuwa kitonga kwangu kwa kiasi kikubwa namkumbuka madam aliyekuwa ananipigia pindi, nilianza nae na mkosi ila tukaishia kuwa marafiki wakubwa..

Kipindi cha likizo ya kumaliza form 4 watu walijichimbia mchikichini na tuition center kupiga mapindi.. Mie nilikuwa najilia zangu bata.. Sasa siku ya kwanza nareport school nakuta madam wa phyics anapiga pindi la measurements, nikaenda zangu kukaa kiti cha nyuma kabisa, kutupa jicho ubaoni naona mapicha picha tu, kidogo sijakaa vizur madam ananiita na kuniuliza swali, halaf njemba sijui kitu nikaona leo maseke, nikamwambia tu sijui kitu, wacha anichane we hujui kitu bado umechelewa kuripoti shule, na bado unakaa nyuma, kuanzia leo ukae mbele, darasa lote halina mbavu.
Kutokana mie katuni nikamwambia ticha usipate tabu nipe siku 3 tu ntakuwa safi ila mbele sikai sababu macho yangu hayaoni karibu maana hata yeye mwenyewe simuoni vizur kwa jinsi tulivyokaribu kicheko kikaongezeka.. Baadae alikuja kuwa swahiba wangu mzuri tu, kama ningekaza ningeruka pale..

Physics yoote ya 4m 5 naikumbuka mpaka leo hii
Nakumbuka nilikuwa mie na mwanangu jonii kutumia measurement tukajidai kitengeneza formula ya kwichi kwichi(kokojoa), tukasaka vitu muhimu katika kwichi kwichi kama vile friction force, heat, velocity n.k halafu hisia tukaweka costant(K)[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
We kichwa basi. Wenzio wote wanalalamika hapa na Physics. Chemistry ilikuaga rahisi. Nimeenda report shule kama wewe nilikua naenjoy tu mtaani. Kufika shule sina lolote kichwani. Chemistry nikawa nafeli siku moja madam akaniita mbele ya darasa. Eti muoneni huyu kapata kucha rangi halafu kichwani hamna kitu. Mwanangu PCM itakushinda. Nikasema hanijui huyu. Kuanzia pale nikawa naongoza mimi somo lake class na akaanza kunipenda. Nakumbuka kwenye mock niliongoza Chemistry shuleni kwetu akanipa zawadi ya Khanga. R.I.P Madam Mwimi.
 
We kichwa basi. Wenzio wote wanalalamika hapa na Physics. Chemistry ilikuaga rahisi. Nimeenda report shule kama wewe nilikua naenjoy tu mtaani. Kufika shule sina lolote kichwani. Chemistry nikawa nafeli siku moja madam akaniita mbele ya darasa. Eti muoneni huyu kapata kucha rangi halafu kichwani hamna kitu. Mwanangu PCM itakushinda. Nikasema hanijui huyu. Kuanzia pale nikawa naongoza mimi somo lake class na akaanza kunipenda. Nakumbuka kwenye mock niliongoza Chemistry shuleni kwetu akanipa zawadi ya Khanga. R.I.P Madam Mwimi.

Mzigua inaonekana chemistry ulipiga banda necta
 
Sasa nisome nielewe ili iweje. Nikisubiri kuelewa muda wenyewe hautoshi matopic mengiii bado usistaduu unanisubiri akaa
Hahaha Masista duh nyie ndio mlipotea njia mkazama kiumen physics
 
PCH haikuwa ya mchezomchezo unaweza kata siku3 bila kuona maji... Nakumbuka tu among the three subjects Physics niliipenda mno but at last nikaishia kupata C.. Kuna jamaa siku ya mtihani ghafla tu kasingizia haoni ikabidi apelekwe hosp hiyo ilikuwa pepa2
PCH ni combination gani?
 
We kichwa basi. Wenzio wote wanalalamika hapa na Physics. Chemistry ilikuaga rahisi. Nimeenda report shule kama wewe nilikua naenjoy tu mtaani. Kufika shule sina lolote kichwani. Chemistry nikawa nafeli siku moja madam akaniita mbele ya darasa. Eti muoneni huyu kapata kucha rangi halafu kichwani hamna kitu. Mwanangu PCM itakushinda. Nikasema hanijui huyu. Kuanzia pale nikawa naongoza mimi somo lake class na akaanza kunipenda. Nakumbuka kwenye mock niliongoza Chemistry shuleni kwetu akanipa zawadi ya Khanga. R.I.P Madam Mwimi.
Basi itakuwa una sura mbaya mno maana wengi wanawake waliosoma combination za kiume sura zao huwa ngumu mno
 
Phyz ilikuwa ngumu sana lakini nilikomaa naye na ikanitoa kimasomaso NECTA.

Miongoni mwa somo lililokuwa linanipanikisha kwenye pepa ilikuwa ni Phyz.

Sikuwahi kumaliza pepa hata moja la physics, siku moja nilienda kupiga mtihani(series) kwa mtiga ilikuwa pepa one.

Mechanics ilikuwa imesimama aisee, kila swali nikigusa haliendi na lina concepts mpya. Muda wa masaa 3 nauona kama lisaa limoja.

Baada ya Mechanics kugoma nikahamia swali la Environmental Physics nikajipoza kidogo kabla navuta pumz nasikia muda umeisha, nikapanic sana. Nilirudi shule nimenuna sana.

Sikukata tamaa nikakaza buti zaidi, wiki inayofuata nikarna tena kupiga series nyingine ambayo ilikuwa pepa two.

Kufika kituoni nikakuta matokeo ya wiki iliyopita yamebandikwa, nikajikuta nipo top ten japo niliambulia 40%, kuona hivyo nikajisemea kumbe mambo yanawezekana hapa. Nikaingia kupiga pepa na kwenye pepa hiyo nikawa na above 50% nikaingia top ten pia.

Kuanzia muda huo nikawa sikosi series kila wiki huku nikikomaa kusahihisha makosa yaliyojitokeza kwenye series zilizopita, ikafika muda nikaimprove na pepa moja nikawa wa kwanza. Hadi hapo nikacha kwenda kupiga series tena.

Physics ni somo nililotumia muda mwingi na pesa nyingi kulisoma kuliko masomo mengine.
 
ukiachana na babuu aliepata umaarufu pale aza boy, mwengine nilikuaga mimi wakiniita bizzle mtata, PCM sikuwahi kuwa TO ila hamna kilichonishinda kwenye PCM. baadhi waliniitaga mchawi, maana nilikuaga sisomi, napenda kulala na kuogelea beach. basi
 
We kichwa basi. Wenzio wote wanalalamika hapa na Physics. Chemistry ilikuaga rahisi. Nimeenda report shule kama wewe nilikua naenjoy tu mtaani. Kufika shule sina lolote kichwani. Chemistry nikawa nafeli siku moja madam akaniita mbele ya darasa. Eti muoneni huyu kapata kucha rangi halafu kichwani hamna kitu. Mwanangu PCM itakushinda. Nikasema hanijui huyu. Kuanzia pale nikawa naongoza mimi somo lake class na akaanza kunipenda. Nakumbuka kwenye mock niliongoza Chemistry shuleni kwetu akanipa zawadi ya Khanga. R.I.P Madam Mwimi.

Mie chemistry ilinichefua kwanza sikuwa nikiizingatia toka o level, pili madam niliyemkuta mie alikuwa na mimba sijui mimba yake ilinichukia, kifupi mimi na yeye tulikuwa hatuivi kabisa, yaani chochote ntakachofanya darasani ni ugomvi, akiongea kitu cha kuchekesha ukicheka mtiti wakati karibia darasa zima limecheka, ukikaa kimya eti umenuna nini, akiwa anaeleza kitu ukimkodolea macho analalamika kwanini namtizama kama kinyago, siku ukisema leo simtizami ugomvi eti.

Anataja jina langu analalamika simsikilizi namdharau, kama nishasoma huko nje ni heri nitoke darasani niwapishe wenzangu kuna siku akaniambia ni heri abaki na wajinga wachachr kuliko werwvu wengi

Kuna siku alikuwa anafundisha nahisi ni organic ile na nilikuwa na hamu kichizi ya kuijua kindaki ndaki,class watu huku nyuma wakacheka, bhanabwe alipogeuka tu kageuka kageuka na mimi, simama juu unacheka nini, kutaka kumuelewesha ukawa ugomvi, ikabidi niwe mpole akaongea wee akaniamnia najitia mwerevu sana ila mwisho wa uerevu wa binadamu ndio mwandamu ndio mwanzo wa ujinga wa mungu sijui, akazira na kufundisha.

Kuja kipindi nilifikiria sijui nimtombe tu kiukweli maisha yalikuwa magumu sana kwa madam yule ilifikia hatua vipindi vyake nikawa siingii sababu najijua mwenyewe sichelew kumkata mtu makofi, nikaona niepushe shari tu
 
We kichwa basi. Wenzio wote wanalalamika hapa na Physics. Chemistry ilikuaga rahisi. Nimeenda report shule kama wewe nilikua naenjoy tu mtaani. Kufika shule sina lolote kichwani. Chemistry nikawa nafeli siku moja madam akaniita mbele ya darasa. Eti muoneni huyu kapata kucha rangi halafu kichwani hamna kitu. Mwanangu PCM itakushinda. Nikasema hanijui huyu. Kuanzia pale nikawa naongoza mimi somo lake class na akaanza kunipenda. Nakumbuka kwenye mock niliongoza Chemistry shuleni kwetu akanipa zawadi ya Khanga. R.I.P Madam Mwimi.
Huwezi amini physics topic nyingi nilijifunza mwenyewe na hii ndio huwa tabia yangu toka mdogo kuchukua kitu na kujifunza mwenyewe.. ila chemistry kila nisomavyo naona chenga na huyo mwalimu darasani chenga pia.[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Back
Top Bottom