Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Kwahiyo unadhani ni wewe tu ndio ulielewa kuwa nimekosea kusema hiyo ni topic?
Wewe umeelwa endelea kuchangia mada,mambo madogo dogo ndio huwafanywa watu wasiwe wanaweka mada zenye maana maana j
Mkuu no offense intended!! katika jamii ya waelewa kurekebishana/kukosoana ni sehemu ya maisha yetu!! Ni bahati mbaya hupendi kukosolewa/kurekebishwa!!

Wenda pia mtaala wenu ulibadilishwa na kuifanya projectile motion kuwa topic ila kipindi chetu haikua hivyo na ndio maana inawezekana nili kurekebisha kimakosa!!!

BTW nimefuta kabisa hiyo post kiongozi na amani itawale!!
 
PCH haikuwa ya mchezomchezo unaweza kata siku3 bila kuona maji... Nakumbuka tu among the three subjects Physics niliipenda mno but at last nikaishia kupata C.. Kuna jamaa siku ya mtihani ghafla tu kasingizia haoni ikabidi apelekwe hosp hiyo ilikuwa pepa2
 
Mkuu japo mimi ni wa zamani kidogo, umenifanya nimkumbuke mwalimu wangu wa physics, sasa marehemu, Mwalimu Kazibure, sijawahi kutana na mwalimu anajua physics kuliko yule Babu, mtihani wake ukipata 30 wewe ni bingwa wa physics. Alikuwa akikufundisha zile concept unaona kitu kunaingia kwenye damu, siyo hao wa mchikichini wazee wa kukalili tu.
 
Mkuu no offense intended!! katika jamii ya waelewa kurekebishana/kukosoana ni sehemu ya maisha yetu!! Ni bahati mbaya hupendi kukosolewa/kurekebishwa!!

Wenda pia mtaala wenu ulibadilishwa na kuifanya projectile motion kuwa topic ila kipindi chetu haikua hivyo na ndio maana inawezekana nili kurekebisha kimakosa!!!

BTW nimefuta kabisa hiyo post kiongozi na amani itawale!!
Pamoja sana
 
ah ah ah mtoa mada umesema kweli,,wengi tulianza kwa mbwembwe ila baadae hadi unapga final mtu unaenda kwa kuotea maswali
 
Kulikuwa na mnyama anaitwa surface tension.... ni moja kati ya topic fupi mnooo.... ila maswali yake hayatembeiii...
Ukitaka kujijua hujui surface tension, kashike review ya phy nadhan paper 2 mwaka 2004.. lazma uache sura yako kwenye kitabu... maana utabaki unashangaa.
 
Physics ni Nomaaaa Hakuna cha Biology wala Chemistry sijui....wala Economics dadadekiii
Basi tuuuu
Physics noma ila kwangu Maths ilikua noma zaidi. Sijawahi kuipenda math advance. Kwa kifupi tulikua hatupendani na Math.
 
kwakweli hata mimi nitarudi shule zote lkn sio advance ya PCB!
Biology na Chemistry zinatembea lkn Advanced physics hapana aiseee! Topic kama Magnetism, Adiabatic Expansion! Kwakweli A.physics ni nomaaaa.
Nakumbuka nilotoka jasho kwenye Practical baada ya kukuta pendulum la ajaab, unafunga uzi kwenye rula halafu bob inaning'inia kwa kutengeza umbo la pembe tatu! I wont forget
Hahahahaaa
 
Vile vifaa ni vya kichina vingine ni feki kabisa.
Nafikiri hii ni moja sababu ya watu kufeli physics.
Tena hata vile vinavyotumika o'level vya practical ya electricity ni vya kichina vinaleta data za uongo.
Kufaulu pale unahitaji akili ya ziada (uwe kichwa kwelikweli)
Basi haki yangu kupata E. Shule niliyoenda advance sisi ndo tulikua PCM wa kwanza. Hamna walimu hamna lab hamna chochote. Walimu walikua ni wa O level. Bila kukomaa na tuition na umakini wa nisicheze na hela ya mama ningezungusha zero kubwa tu. Ila PCM sisomi hata iweje. Niko radhi nikasome PhD ila PCM sirudi. Kwanza hata kupata E ilikua miujiza tu.
 
Back
Top Bottom