Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio topic ya mwanzo kabisa..Hivi kumbe kulikua na topic ya measurements and error kwenye Physics. Ama kweli nilikua nasomea pepa.
T.O alikuwa mduwanzi sana, ukisoma kwa moudy physics utacheka kipindi anampiga madongo t.oHahaha Daaah physics ni balaa Kuna T.O mmoja hivi alimaliza 2006 alikuja Kutufundisha sisi tukiwa form 6 tukajiona Vilaza Wote.. vitabu vya Chand...Roger. vyote tuliona Tumemaliza na Hakuna Swali Gumu.. Jamaa Halafu alikuwa ana dharau balaa na Chuo alifukuzwa Kisa Dharau kwa Maprofesa kwahiyo akabak anapiga Tuition mtaani tu na Sifa Kibao na Kuwaona Watanzania wote hawana Akili ila Yeye peke yake
Ila Nakumbuka Siku ya Mtihani wa Physics Nilipiga msuli Usiku halafu kesho yake Pepa Asubuhi Na Nikasolve Maswali Kama matatu hivi ya Chand kwenye Pepa Yamekuja Vile vile Nikasema Nashukuru Mungu Ndalichako kaniona
Ila Yote tisa nitarudi Shule Zote ila Siyo Advance
Nampata huyo, bila shaka ni T.O from Tosa boysHahaha Daaah physics ni balaa Kuna T.O mmoja hivi alimaliza 2006 alikuja Kutufundisha sisi tukiwa form 6 tukajiona Vilaza Wote.. vitabu vya Chand...Roger. vyote tuliona Tumemaliza na Hakuna Swali Gumu.. Jamaa Halafu alikuwa ana dharau balaa na Chuo alifukuzwa Kisa Dharau kwa Maprofesa kwahiyo akabak anapiga Tuition mtaani tu na Sifa Kibao na Kuwaona Watanzania wote hawana Akili ila Yeye peke yake
Ila Nakumbuka Siku ya Mtihani wa Physics Nilipiga msuli Usiku halafu kesho yake Pepa Asubuhi Na Nikasolve Maswali Kama matatu hivi ya Chand kwenye Pepa Yamekuja Vile vile Nikasema Nashukuru Mungu Ndalichako kaniona
Ila Yote tisa nitarudi Shule Zote ila Siyo Advance
Mgote alikuwa mass nondo, nilikuwa namuita mkompliketi maisha na mipamplets yake.. Ukiona dubwasha la projectile zigo hilo, kwa moudy ni kimtindo tu ila idea yake iko kwa kichwa mpaka kesho.Mgote ndio mwalimu aliyefundisha vizur topic ya projectile...pamphlet lake lilikuwa na solving nondo hatari....ila mnyama adv PHYSICS syo wa mchezoo mchezo...nakumbuka kwny necta ya physics kuna jamaa katikat ya pepa alianza kuliaa ...invigilator anamuuliza vp..anasema pepa haliendii..kitu ilikuwa imekaza hatarii yaani balaah...ila yote hayo elimu ya kibongo ni ya kukariri sana na kufanyia mtihani baasi...tusitegemee kuzalisha wakina elon musk kamwe
Kwanza nikurekebishe, PROJECTILE MOTIONS SIO TOPIC NI SUB TOPIC YA MECHANICS!!!