Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Mi nilipigaga pindi la mechanics kwa Mody physics nkajiona tayar nimeshaiva. Tumereport shuleni nkakuta watu wana mavitini makubwa kama schand,nikajaribu kudadis dadis nikaambiwa huyo ndo Mgote. Ikabid siku moja niazime kitini nione utofauti wa notes zake na za Mody, Mmmmh maswali niliyokutana nayo ni balaa tupu mana yale maswali ambayo kwa Moody tuliyaona ni magumu,yeye Mgote ndo aliyasolve kama examples then huko mbele maswali yanazid tu kuwa magumu. Mgote ni hatari, alinifanya niione advance ngumu mno kiasi cha kutaka kubadili combie [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Duuh Doppler alishakufa [emoji15]

Jamaa walimpa jina LA Doppler kwa kuishuka hiyo mada kibabe pale iyunga

Daaah so sad
 
Hao wote iyunga niliwaacha Sudi mbabe sana. Namjua Doppler nae nampata na huyu mwasile a very polite teacher hanaga mbwembwe za kijinga .

Na kuna yule madam wa kemia na kuna jamaa mmoja mfupi hi ana umbo dogo hivi daah

Iyunga kitambo sana lumbira ,kalobe,nzovwe,tazara mitaa ya kupunga upepo[emoji2]
 
Sie tumepita nafikir tulikuwa intake ta 3 toka advance ianze, mambo yalikuwa ovyo sana pale, adriano jamaa wa bios bado yupo?
Wewe utakuwa ilikuwa nyuma ya akina japhet HP enzi zile ilikuwa ovyo sana kwakwelj advance iyunga zero za kumwaga angalau saivi wanajitahidi mi nilipita pale o level
 
Yule madam daah afu jina nimesahau tena ila alihamaga iyunga alienda shule ya day uyole hko .
huyo jmaaa mfupi nae nilikuwa nakutana nae mabibo hostel last year alikuwa anamalizia Masters ya physics pale mlimani.
 
Yeah Mkuu sa hivi wanabanwa sana kama watto wa loleza.
Me bado application za physics nqzitumia huku school of engineering.
Engineering is the best though.
Hshahahah pole sana kwa madogo infact inawasaidia pia badala ya kwenye kuzurura mitaani usiku
 
Huyu mgote kutini chake wala sikukigusa ilikuwa shida tupu
 
Umenikumbusha mwalimu Otto pale Forest hill secondary enzi izo
 
Hshahahah pole sana kwa madogo infact inawasaidia pia badala ya kwenye kuzurura mitaani usiku
Yeah kweli Mkuu ..
Ammendment kubwa zimefanyika baada ya yale matukio mawili ya moto 2016.
sa hivi kule nyuma ya Mess kuna fence na wanavaa shamba dress hamna ile kujiachia kama zamani
 
Kweli kabisa mkuu. Kabla ya miaka ya 2000 ilikuwa ukiripoti unapewa dude hilo huku units zikiwa katika inch, yard, feet

Ukipiga swali la kwanza hadi la tano mwisho. Chini hakuendeki [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unapewa kitabu cha Urusi..University Physics, na kabla 2000 ilikuwa mtu anapewa na sliding ruler inatumika kama calculator
 
Lengo LA kusoma PCB ni kuwa MD a.k.a medical doctor, sasa application ya topic ngumu za pys siion
 
Mock iyo.. lilitoka swali limepikwa balaa la fluid dynamics na nikashindwa kulitembeza.. ile tumetoka kwenye mtihani jamaa wanasimuliana jinsi swali husika lilivyokuwa maji.. kumbe lilitolewa kwenye pam la Mgote, na mimi siyapendi kinoma.. actually mapamphlet ya kibongo na vitabu vya wahindi (chand) nilikuwa sivigusi.. asa kuja kujihakikishia kwenye ilo pam..[emoji55][emoji55] solution ilikua mistari miwili, wakati swali nusu page ya A4.. ni shida!
 

Huyo jamaa alitoka Tosamaganga,haa haa dah ndie aliniachia darasa akawa anakuja kutupiga pindi,paper ya physics mwaka wake alijibu maswali yote na yote alipata zote wakati mimi hapo niko PCB kila kitu naona hewa tu nikakomaa zangu na C and B [emoji28][emoji28][emoji28]
 

Daah…nimecheka sana na hii comment…yaani pendulum zilikuwa zinabadilisha uelekeo kabisa. Kuna private candidate alipangiwa shuleni kwetu…ndani ya nusu saa akwa anaomba kuhamia swali lingine, sio kuwa kamaliza bali anataka akajaribu swali lingine….
 
Yeah kweli Mkuu ..
Ammendment kubwa zimefanyika baada ya yale matukio mawili ya moto 2016.
sa hivi kule nyuma ya Mess kuna fence na wanavaa shamba dress hamna ile kujiachia kama zamani
Duuh noma.sana wamekuwa mifugo hivi wamekarabati Yale mabweini yote mabweni yamechoka balaa wiring yake imekaa kidanger danger tu daah ile shule enzi zetu ilikuwa hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…