Historia yang ya physics inaanzia form two ni baada ya kupata 09/100 kweny mtihani,nilishindwa kudefine hata velocity daah i was soo dumb. MUNGU si athuman pepa ya taifa nikala C.. Necta form four nikala C tena kwa kuhahangaika sana. Kasheshe likaja advance kudadeki... Sitak hata kukumbuka, adv yote sikuwahi kuvuka hata 40 nakomaa lakin wap nikaona jumba bovu litaniangukia. Nikakomaa na biology na chem MUNGU mkubwa akanisaidia nikafaulu ingawa phy nilikula E! Ilikuwa mwendo wa kukariri tuu ntaelewa uzeeni!
Hongereni mliokuwa mnapata mabanda ya physics!