Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Yeah kweli Mkuu ..
Ammendment kubwa zimefanyika baada ya yale matukio mawili ya moto 2016.
sa hivi kule nyuma ya Mess kuna fence na wanavaa shamba dress hamna ile kujiachia kama zamani
Mesi kama.kabisa hahahahaj


Kuchafuu moshi tuu ukatani .

Babu chaula mpishi yupo.?
 
Duuh noma.sana wamekuwa mifugo hivi wamekarabati Yale mabweini yote mabweni yamechoka balaa wiring yake imekaa kidanger danger tu daah ile shule enzi zetu ilikuwa hatari sana
Mkuu sa hivi ukienda Iyunga utaikataa. .
imekarabatiwa yote imekuwa mpya kabisa.
 
Mesi kama.kabisa hahahahaj


Kuchafuu moshi tuu ukatani .

Babu chaula mpishi yupo.?
Wale wapishi nilikuwa siwajui hata majina .
Si unajua advnce tulikuwa busy na shule mambo ya jikoni tulikuwa sio sana
 
Nakumbuka siku ya pepa la Physics,,sikuweza swali hata moja,,,sasa kituko siku ya practical,,yaan nilishindwa hata kuunganisha betri. Hatimae nika deferentiate constant kwenye hilo somo. Ingawa Mathematics na GEOGRAPHY nilipata D D. Kiukweli Physics ya Advance inahitaji Uvumilivu.
 
Mtaalamu natafuta walimu wazuri wa physics na chemistry nina mdogo angu nataka nimpeleke tuition
 
Yeah kweli Mkuu ..
Ammendment kubwa zimefanyika baada ya yale matukio mawili ya moto 2016.
sa hivi kule nyuma ya Mess kuna fence na wanavaa shamba dress hamna ile kujiachia kama zamani
Shamba dress [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya mzee naona ushakuwa dr wa maua...horticulture
 
Wale wapishi nilikuwa siwajui hata majina .
Si unajua advnce tulikuwa busy na shule mambo ya jikoni tulikuwa sio sana
Naikumbuka luthuli a makazi yangu ya kudumu,vp mng'ong'o alipata yale madini alikuwa anatafuta kule jumba la dhahabu?
 
Physics ilinihamisha from medice to horticulture [emoji3][emoji3][emoji3]

And maua ni floriculture,hii horticulture inabeba vingi sana
On namkumbuka mr doppler alikuwa anapiga pindi zake mkizidiwa na materials basi vijembe vinaanza mtakuwa dr wa waua sua huko hahaha
 
On namkumbuka mr doppler alikuwa anapiga pindi zake mkizidiwa na materials basi vijembe vinaanza mtakuwa dr wa waua sua huko hahaha

Haaa haaa zamani kama kilimo hakijawa dili ulikua upuuzi kusoma ila sasa hivi hakuna kozi inalipa kama za kilimo na ukaotea mradi mzuri au kampuni
 
Toka nianze Kusoma mpaka leo nipo Pharmacy mwaka wa Tatu SIJAWAHII ONAA SOMO JEURI KAMA PHYSICS...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]HAPANA AISEE.... Kilee kidumee sioo
 
Hivi hii sio tishu kweli umechorea mchoro baa?
 
Hahaha UP ilikuwa hatari na zile units zake za inch, yard, ile UP ya njano ile page zake ziko kama unga wa dona hahahaha, kuna kitu inaitwa ROTATIONAL DYNAMICS ilinitesa sana hii kitu asee
Rotational dynamics sijawah kuelewa na ctailewa ni hatariii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…