Umeona eee, ngoma University Physics na Universal Physics hivi vitabu vilikuwa balaa!! Yote 9, ngoma za A-level huwa zinadatisha hatari kama kichwa kiko waruwaru!Hii itakuwa ni ya juzi hapa, na hawa ni wa juzi. Hata hivi vitabu vya Chand ni vya hivi karibuni
dah hii mimi pia ilikua kanuni yangu.....na sikuzama ...nlijua form six lazima nizame.....Katika maisha niliyofurahia ni Advance sikusoma kwa stress kabisaaa, nina formula 1, MASWALI MAGUMU NITAYAKUTA KWENYE MTIHANI
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna haja ya kupeleka baadhi ya topic za physics JKT.
Mimi sijafanikiwa[/QUOT
jibu mubashara sana chief.
Hasa MECHANICS...Kuna haja ya kupeleka baadhi ya topic za physics JKT.
Mkuu tukutane Shemsh Club leo maana nimekupm imeshindikana.Kweli mkuu
Mkuu nimetoka mbezi now nimechoka mno labda next week aisee.Kama kawa nilifuata kipochi manyoyaMkuu tukutane Shemsh Club leo maana nimekupm imeshindikana.
Utaniona mrefu mweusi nimenyoa kisahani.
Ngoja nipangilie nguo ya kutoka nayo leo then nitakujulisha nguo nilizovaa.
Kipochi manyoya hakijawahi kumuacha mtu salama...hahahhaMkuu nimetoka mbezi now nimechoka mno labda next week aisee.Kama kawa nilifuata kipochi manyoya
Nasikia alikua mtabe kwenye physics . Sisi vijana wa dot com hatujamuinjoi kwa maana enzi zetu alikua mkuu wa shule. Bila shaka mkuu utakua mwanakiunganiNamkumbuka mwalimu wangu wa physics mwakanyamale alifanye nilipende sana somo hili, hakika alikuwa vzr sana
The chosen ones ndio walikua wanapiga mabanda.Historia yang ya physics inaanzia form two ni baada ya kupata 09/100 kweny mtihani,nilishindwa kudefine hata velocity daah i was soo dumb. MUNGU si athuman pepa ya taifa nikala C.. Necta form four nikala C tena kwa kuhahangaika sana. Kasheshe likaja advance kudadeki... Sitak hata kukumbuka, adv yote sikuwahi kuvuka hata 40 nakomaa lakin wap nikaona jumba bovu litaniangukia. Nikakomaa na biology na chem MUNGU mkubwa akanisaidia nikafaulu ingawa phy nilikula E! Ilikuwa mwendo wa kukariri tuu ntaelewa uzeeni!
Hongereni mliokuwa mnapata mabanda ya physics!
Sasa kama ni mwalimu anakosaje huo mudaUzuri kwenye huu uzi
Kila mmoja anajipambanua kuwa kasoma physics.
Ila kiukweli nusu yao wachangiaji humu hawajasoma physics wanaishia kutaja tu aaa mara physics ngumu mara nini....!!
Kuna watu wanashinda humu mchana kutwa usiku kucha unajiuliza huyu hiyo physics alisoma lini na kama aliisoma???anafanya kazi saa ngapi???.
Jamani tuacheni drama na ku pretend
Ni hayo tu kwa sasa.