Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kuliaa kwenye kulia hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kuliaa kwenye kulia hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Physics somo rahis sana i always followed principle na kufanya maswal magum mpaka kichwa kifunguke. ..of coz hakuna somo rahis kwangu kama physics na biology ... I realy loved they are in my blood untill now

a e i o u
 
Hivi vitu sio vigumu. Ugumu uliletwa na tulikuwa tunakariri na kusomea mitihani pamoja na lugha. Hata vichwa wa enzi hizo wengi walikuwa tu na vipaji vya kukariri. Wachache walielewa logic ya hivi vitu.
Sasa hivi nikiangalia swali la advanced physics nacheka na kusema msuli wote ule mbona swali la kawaida sana
 
Hahaha mkuu acha tu...mim mwenyewe Adv sirudi ayse...yaani nikikumbuka karibia asilimia 70 ya maisha yangu yakusoma Advanved nilitumia kusoma Physics....cha ajabu chemistry na Adv math sikuwa nasoma kihivyo na ndio masomo niliyofaulù kuliko huyu mdudu Physic

Sent from my SM-G532F using Tapatalk
 
Hivi kumbe kulikua na topic ya measurements and error kwenye Physics. Ama kweli nilikua nasomea pepa.
Hujawahi kaona kale ka topic ka Measurements nadhani ndo Topic Pekee nilikuwa na confidence Nayo na Modern Physics
 
Physics ni Nomaaaa Hakuna cha Biology wala Chemistry sijui....wala Economics dadadekiii
Basi tuuuu
Ndiyo maana hata walimu wa Physics wapo wachache mno lkn mwisho wa siku wanalipwa sawa na Mwalimu wa Ngwin,life is not fair
 
Tangu naingia f5 physics nilikua nikiona simple na sion watu wanafeli nini.. miez ya mwisho nikaacha kusoma kabisa.. alaf pepa one nahis nilipata yote, pepa two[emoji26][emoji26] niliona maswal mawili tu.
Mmmmmh
 
Physics Unasoma Leo kesho umesahau,concepts zipo kiimagination zaidi Sasa kuzileta kwenye reality ni shiiida
 
Hongera mkuu wenzio walimu walikwepo lkn tuliambulia S
 
Nimecheka sana maan nimehis kama unaniongelea mimi Daah advanced physics bana iachen tu maan hata wanaoipata A si kwamba wanaijua bt mtihan unawalenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…