Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Hahaaa hii kauli nimekutana nayo siku ya pili nafika shuleni... teacher anakwambia PCB is not for everyone. .
Juzi nilikutana na mzee moja hivi mstaafu alikuwa kanali wa jeshi akaniuliza hivi kijana ulivyokuwa advance ulisoma Combination gani nikamjibu PCB, Alinurukia na kunikumbatia kisha akasema aisee we ni mwenzangu sisi ndio tunajua Shule ni nini kisha akaniambia kijana sikiliza ujue mimi nimewahi kuwekwa mahabusu za nje hizi kama mwezi moja hivi ila nikwambie kitu kule mahabusu pana afadhali kuliko kusoma yale masomo
 
Juzi nilikutana na mzee moja hivi mstaafu alikuwa kanali wa jeshi akaniuliza hivi kijana ulivyokuwa advance ulisoma Combination gani nikamjibu PCB, Alinurukia na kunikumbatia kisha akasema aisee we ni mwenzangu sisi ndio tunajua Shule ni nini kisha akaniambia kijana sikiliza ujue mimi nimewahi kuwekwa mahabusu za nje hizi kama mwezi moja hivi ila nikwambie kitu kule mahabusu pana afadhali kuliko kusoma yale masomo
PCB hapana aiseee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
dextr
Nakumbuka haya wengine ongezeni
1.define dextarotatory Motion and explain
how Nicol Prism is constructed.
2.explain the principle of Newton's ring experiment
dextro na levolatory ndo yamewashinda 😂sure wamewaonea

principle za kuconstruct newton rings rahisa sana aisee
 
Aise imejaribu kupitia replies lkn kuna baadhi ya mambo sikuwahi kuyaona advanc nimeyakuta umu duh, physics uachen kwel nlikuwa nasomea mtihani, lkn nashukuru Mungu sikwa na mswaki wala kupeperusha bendela
 
Juzi nilikutana na mzee moja hivi mstaafu alikuwa kanali wa jeshi akaniuliza hivi kijana ulivyokuwa advance ulisoma Combination gani nikamjibu PCB, Alinurukia na kunikumbatia kisha akasema aisee we ni mwenzangu sisi ndio tunajua Shule ni nini kisha akaniambia kijana sikiliza ujue mimi nimewahi kuwekwa mahabusu za nje hizi kama mwezi moja hivi ila nikwambie kitu kule mahabusu pana afadhali kuliko kusoma yale masomo
PCM/PCB ni motrooooooh,
 
Physics ilinisaliti Necta, katikati ya paper mikono ilikua ina sweat alafu nilipiga hadi bao.....ila for 5 na kabla ya Necta nlikua naimudu vizuri tu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom