Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Physics ukisoma chand na physics review necta hukosi principle C kuendelea......ttzo watu wanakomaa na mavitu magumu hafu vitu vyepesi hawajui wakati necta maswali yao yapo wazi ni mepesi ndo maana privte wanapasua kila siku.
 
Mtaalam hiyo ni tissue uko bar.?
 
Physics ilinisaliti Necta, katikati ya paper mikono ilikua ina sweat alafu nilipiga hadi bao.....ila for 5 na kabla ya Necta nlikua naimudu vizuri tu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Umenikumbusha mwanangu alipiga bao kwenye somo la Gs akapiga F 😹😹😹😹😹😹 aaah asee na kapiga F peke ake
 
Physics ilinisaliti Necta, katikati ya paper mikono ilikua ina sweat alafu nilipiga hadi bao.....ila for 5 na kabla ya Necta nlikua naimudu vizuri tu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nilishawahi kutingisha nyavu kisa Physics ila uzuri haikuwa Necta, ilikuwa kwenye mitihani ya kujipima.

Hadi kufikia Necta nilikuwa nishajiandaa vizuri, kwa hiyo sikupata shida sana. Hatimaye Physics ikaniokoa
 
Hakuna topic ngumu advance kwenye physics kama projectile motion...mtu akikunja maswali unaweza usipate hata Moja
Tatizo hii topic huwa inakusanya concept kutoka topic zingine kama Circular motion, Linear momentum,Gravitational Forces n.k

Sasa kama uko shake kwenye mojawapo ya kitopic kilichounganishwa hapo, lazima ukae chini, hutoboi hilo swali
 
Kwanini sifa ya mwalimu bingwa Tanzania ni kuwafelisha watu?
 
Shida ya PCB Kila somo linajitegemea tofauti na PCM yaani mtu anaweza akajisomea physics jioni, anaenda kuoga na ku-refresh Kwa saa 1 ama nusu saa anarudi anapiga Maths Kwa ku-solve hata papers etc lakini PCB ukijisomea Physics inabidi upumzike kidogo ndo uingie somo linguine ukiwa na energy mpya
 
Paper za physics ACSEE 2007 zilitisha sanaa

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Physics ukisoma chand na physics review necta hukosi principle C kuendelea......ttzo watu wanakomaa na mavitu magumu hafu vitu vyepesi hawajui wakati necta maswali yao yapo wazi ni mepesi ndo maana privte wanapasua kila siku.
Chai.

Yani upasue physics bila kugusa Chand, Roger Muncaster,Nelkon, Tom Dunkan unacheza wewe. Labda physics ya O lev ndo ukomae na review na vijinotes kidogo ndo utapata principle
.
Halafu C ya advance ni 60 sasa upate 60 ya advance physics kwa review na Chand pekee ?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tatizo hii topic huwa inakusanya concept kutoka topic zingine kama Circular motion, Linear momentum,Gravitational Forces n.k

Sasa kama uko shake kwenye mojawapo ya kitopic kilichounganishwa hapo, lazima ukae chini, hutoboi hilo swali
Kijisubtopic Cha ajabu sana. Kifupi lakini balaa lake Sasa.

Kwanza inabidi na calculus iwe inapanda kichwani.
 
Siku hizi Physics ya six imekuwa rahisi kinoma madogo wanasoma chand na vitabu vyao vya TIE mbona C hiyo hapo wanapata
P
 
Sijawahi kuhangaishwa na phyz wa Mathe,,nilizitandika A vidato vyote,,nenda Uganda,Kenya lete swali lolote ilkw lazm life
 
Mie nakumbuka naingia kwenye pepa najua swali moja tu na kila nikigeuka nyuma ticha huyo nilichoamua kukifanya ni kuanza kuyaandika maswali tu upya kwenye karatasi mpka pepa inaisha.

Asubuhi nikaamkia zangu mchikichini ndo nikaanzia hapo alhadulilah nilichomoka vizur tu mwishoni kama kuna waziri wa elimu kipindi cha 2012 ambae angekuwa yuko vizuri basi angeenda mchikichini na kuajiri wale walimu kwenye secondary zetu kipindi kile bas kungekuwa na ufaulu mkubwa sana dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…