Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

halafu maswali ya physics huwaga yanaanza kama hadithi fulani hivi,yaani ****** mtungaji anakuvuta weeeeee anakuvuta weeeeee unakuujaaaa unakuja aaaaunaingia kwenye line zake then hapo hapo anakutupia jiwe paaaaaahhh la uso...yaani utakuta anaaza...

two stones thrown simutlaneously at a velocity of 20m/s at an angle of 60• to the horizontal,a man with a gun stand at 26m from the point of throwing,if the man has a mass of 80kg,calculate mass of the sun approximate to 6 decimal places..

ku**make hapa lazima ujambe,unaanza kujiuliza asa hapa ni topic gani,mtunzi kachanganga

projectile
calculating device
linear motion
planetary motion/gravity
error and dimension

unabaki tu kukumbuka maisha yako,marafiki zako,ndugu na jamaa,unakumbuka ulivokuwa unafaulu shule yako ya kata...unajikaza kiume mzee,unaandika data collection,unazugazuga pale na viformula basi unapoteza muda....unakusanya zako karatasi basi,unawaza hivi nimemkosea nini mungu mimi....kinyooonge unatoka class,sema ukikutana na wauni mnacheeeeeeeeekaaaaaaaaa basi unasahau na maisha ya shule yanaendelea.

nitarudi shule zote ila siyo advance ya tanzania *****....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha nimecheka sana umenkumbusha rafiki yangu mmoja hivi daaah WAP Alex Nowadays
 
Teh nilisoma physics kwa moudyphysics Niko nondo ila kila nikigusa maswali najikuta kilaza na PCB yangu dahh , kutoboa PCB ni majaaliwa sia akili
 
Teh nilisoma physics kwa moudyphysics Niko nondo ila kila nikigusa maswali najikuta kilaza na PCB yangu dahh , kutoboa PCB ni majaaliwa sio akili
 
Mkuu hahahah kumbe huyu mdudu Physics alikuwa taabu kwa wengi..unasoma leo afu kesho kutwa swali linakutoa nje inabidi urudi tena kusoma...Ila yote kwa yote nashukuru nilitoka..ila kiukweli nimepita kote ila msuli wa PCM shule za serikali ulikuwa mzito sana..siwezi kurudi huko tena aisee
 
Martin Chegere basi alikuwa ni freemason.maana alitoboa kila alipokuwa anapita yani kichapo cha elimu alichokuwa anagawa chegere Martini mi kama Msalaba wa Jumuiya
 
physics ukiwa na foundation nzuri ya mechanics basi litakuwa ahueni kwako.Concept nyingi zinazoendelea zategemea mechanics pia mechanics inapanua uwanja wa maono katika solving ya physics problems.Ukiwa best in mechanics you will be better in advanced physics
 
Hahaha UP ilikuwa hatari na zile units zake za inch, yard, ile UP ya njano ile page zake ziko kama unga wa dona hahahaha, kuna kitu inaitwa ROTATIONAL DYNAMICS ilinitesa sana hii kitu asee
Cha kusikitisha na kushangaza mwalimu wa Physics na mwalimu wa GS wote mshahara sawa provided wana degree
 
ilngaziost: 26076295 said:
Cha kusikitisha na kushangaza mwalimu wa Physics na mwalimu wa GS wote mshahara sawa provided wana degree
Hivi hata ngazi za chuo iko hivyo ?
Profesa wa anatomy kulipwa sawa na profesa wa kiswahili ?
 
Hahaha Daaah physics ni balaa Kuna T.O mmoja hivi alimaliza 2006 alikuja Kutufundisha sisi tukiwa form 6 tukajiona Vilaza Wote.. vitabu vya Chand...Roger. vyote tuliona Tumemaliza na Hakuna Swali Gumu.. Jamaa Halafu alikuwa ana dharau balaa na Chuo alifukuzwa Kisa Dharau kwa Maprofesa kwahiyo akabak anapiga Tuition mtaani tu na Sifa Kibao na Kuwaona Watanzania wote hawana Akili ila Yeye peke yake

Ila Nakumbuka Siku ya Mtihani wa Physics Nilipiga msuli Usiku halafu kesho yake Pepa Asubuhi Na Nikasolve Maswali Kama matatu hivi ya Chand kwenye Pepa Yamekuja Vile vile Nikasema Nashukuru Mungu Ndalichako kaniona

Ila Yote tisa nitarudi Shule Zote ila Siyo Advance
Elias Kihombo huyu to bila shaka
 
Hahahahah shule yenyew O-level tulkuwa tunagonga Engineering Science badala ya Physics.....so ulikuwa ukichaguliwa Iyunga advance kama ulkotoka ulkuwa unabahatisha hakuna muujiza wa kutoboa.....ukigeuka kushoto unakutana na LE MUTUZ la Chemistry....Mr. SUDI.....***** mzee ana roho mbaya huyo.....kinyama.....

Umenkumbusha mbali sana kwa IYUNGA......
Nikikumbuka physics nakumbuka advance iyunga, RIP mr doppler, maana mbaba siku ya doppler effect anatiririka mpka unasema dah aya bwana, kwakweli adv physics ilinifanya mbaya iyungani sinaga hamu nayo mazee inakufanya ukose muda wa kupambana na mikate ya bios na chems, ukirudi chem wakutana na mr sudi azingua balaa n prac zake dah
 
Nikikumbuka physics nakumbuka advance iyunga, RIP mr doppler, maana mbaba siku ya doppler effect anatiririka mpka unasema dah aya bwana, kwakweli adv physics ilinifanya mbaya iyungani sinaga hamu nayo mazee inakufanya ukose muda wa kupambana na mikate ya bios na chems, ukirudi chem wakutana na mr sudi azingua balaa n prac zake dah
Mkuu na mimi nilipita pale .
By the time tumefika pale tulipata story za Mr.doppler ila Mke wake bado yupo anapika vitumbua kule lumbira, wenywe tulikuwa tunamuita Mama doppler.
Soud nahisi ashastaafu naw .
hahahah Soud mzee mbabe sana nasikia kuna mwaka alitia mkojo kwenye practical ya chemistry.
Mwasile alitusaidia sana mwaka wetu tulifaulu vizuri ofcourse.
 
  • Thanks
Reactions: cpt
Physics ni Nomaaaa Hakuna cha Biology wala Chemistry sijui....wala Economics dadadekiii
Basi tuuuu
Physics unaweza kuingia chumba cha mtihani na vitabu vyote unavyojua wewe; kisha ukaruhusiwa kupiga desa na hivyo vitabu huku ukipewa masaa 5 ya kufanya paper ya masaa 3 lakini pamoja na yote; Mnyama Physics anaweza kukutoa nishai!

Chemistry hamna kitu... mtu akikuruhusu uingie na kitabu unaweza kupata 100!

Economics, especially ya enzi zetu ambayo unaweza kukuta Tanzania mzima wakali ni wale waliopata C; na yenyewe wala sio ngumu bali ina-demand logical & rational thinking kuliko uwezo wa ku-solve complex equations!

Kwa bahati mbaya, elimu ya hovyo haiwezi kutoa logical thinkers na ndio hapo ilipokuwa inafanya Economics ioneka ngumu!
 
Mkuu na mimi nilipita pale .
By the time tumefika pale tulipata story za Mr.doppler ila Mke wake bado yupo anapika vitumbua kule lumbira, wenywe tulikuwa tunamuita Mama doppler.
Soud nahisi ashastaafu naw .
hahahah Soud mzee mbabe sana nasikia kuna mwaka alitia mkojo kwenye practical ya chemistry.
Mwasile alitusaidia sana mwaka wetu tulifaulu vizuri ofcourse.
Sie tumepita nafikir tulikuwa intake ta 3 toka advance ianze, mambo yalikuwa ovyo sana pale, adriano jamaa wa bios bado yupo?
 
Sie tumepita nafikir tulikuwa intake ta 3 toka advance ianze, mambo yakuwa ovyo sana, adriano jamaa wa bios bado yupo?
hapana Mkuu huyo hatujamkuta. .
Me nimemaliza pale 2016 .
Ndo ulikuwa mwaka wa mwisho wa Soud
 
  • Thanks
Reactions: cpt
hapana Mkuu huyo hatujamkuta. .
Me nimemaliza pale 2016 .
Ndo ulikuwa mwaka wa mwisho wa Soud
2009 nimetoka pale iyungani, nilikuwa 2012 nakuta vijana mko ndani ya uzio, enzi zile advance asubuh wapishana na walimu uwanja a na b kule waenda tuit meta, ila nao nishaachana na phys napambana tu na medicine, medicine ndio my life
 
2009 nimetoka pale iyungani, nilikuwa 2012 nakuta vijana mko ndani ya uzio, enzi zile advance asubuh wapishana na walimu uwanja a na b kule waenda tuit meta, ila nao nishaachana na phys napambana tu na medicine, medicine ndio my life
Yeah Mkuu sa hivi wanabanwa sana kama watto wa loleza.
Me bado application za physics nqzitumia huku school of engineering.
Engineering is the best though.
 
Kuna huyu structure wa chuo nae hasomeki kabisa.
 
Back
Top Bottom