sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kamaliza form 6,
Ni mtoto wa kwanza wa kwanza wa kiume, wa pili yupo form 5 wa kike, wa tatu wa kiume yupo form 1, wa nne wa kiume yupo darasa la saba
Wazazi wanajishughulisha na biashara, mambo ya usafirishaji na makazi.
option mbili
1. Apprenticeship
miaka mitano afunzwe kwa ukaribu biashara ya usafirishaji ili kujua changamoto za magari, kudeal na madereva, kuzijua kodi za kulipa, kuvijua vibali, kutafuta masoko, connections , n.k. kisha akifika 25 afunguliwe biashara ya usafirishaji.
2.University
Miaka mitano chuoni degree na masters ya business administration, akimaliza achague afanye biashara ya chaguo lake mtaji atapewa ama atafute ajira (akitaka) ila kwa sharti apate GPA ya 4.0 au zaidi kwenye degree na Masters.
vinginevyo akipata Gpa pungufu, kuishia degree, kusitisha masomo, n.k. itambidi apitie njia ya mwanzo upya kufunzwa biashara ya usafiri miaka mitano kisha afunguliwe biashara ya usafiri.
Ni mtoto wa kwanza wa kwanza wa kiume, wa pili yupo form 5 wa kike, wa tatu wa kiume yupo form 1, wa nne wa kiume yupo darasa la saba
Wazazi wanajishughulisha na biashara, mambo ya usafirishaji na makazi.
option mbili
1. Apprenticeship
miaka mitano afunzwe kwa ukaribu biashara ya usafirishaji ili kujua changamoto za magari, kudeal na madereva, kuzijua kodi za kulipa, kuvijua vibali, kutafuta masoko, connections , n.k. kisha akifika 25 afunguliwe biashara ya usafirishaji.
2.University
Miaka mitano chuoni degree na masters ya business administration, akimaliza achague afanye biashara ya chaguo lake mtaji atapewa ama atafute ajira (akitaka) ila kwa sharti apate GPA ya 4.0 au zaidi kwenye degree na Masters.
vinginevyo akipata Gpa pungufu, kuishia degree, kusitisha masomo, n.k. itambidi apitie njia ya mwanzo upya kufunzwa biashara ya usafiri miaka mitano kisha afunguliwe biashara ya usafiri.