Aende chuoni miaka 5 kisha apewe mtaji au aende kusaidia biashara ya familia miaka mitano kisha afunguliwe biashara?

Aende chuoni miaka 5 kisha apewe mtaji au aende kusaidia biashara ya familia miaka mitano kisha afunguliwe biashara?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kamaliza form 6,

Ni mtoto wa kwanza wa kwanza wa kiume, wa pili yupo form 5 wa kike, wa tatu wa kiume yupo form 1, wa nne wa kiume yupo darasa la saba

Wazazi wanajishughulisha na biashara, mambo ya usafirishaji na makazi.

option mbili


1. Apprenticeship
miaka mitano afunzwe kwa ukaribu biashara ya usafirishaji ili kujua changamoto za magari, kudeal na madereva, kuzijua kodi za kulipa, kuvijua vibali, kutafuta masoko, connections , n.k. kisha akifika 25 afunguliwe biashara ya usafirishaji.

2.University
Miaka mitano chuoni degree na masters ya business administration, akimaliza achague afanye biashara ya chaguo lake mtaji atapewa ama atafute ajira (akitaka) ila kwa sharti apate GPA ya 4.0 au zaidi kwenye degree na Masters.

vinginevyo akipata Gpa pungufu, kuishia degree, kusitisha masomo, n.k. itambidi apitie njia ya mwanzo upya kufunzwa biashara ya usafiri miaka mitano kisha afunguliwe biashara ya usafiri.
 
Always shule ni Muhimu before anything kama kuna fursa ya kusoma, maamuzi haya yanategemea:

1. Hali ya Biashara na Usimamizi wake, Unamuitaji sasa?

2. Kwa nini sasa? Kwa nini hakuishia form four?

3. Je yeye ni mtoto pekee au wa kiume Pekee aua mnataka mpotezea mda baadae migogoro?

4. Yeye anataka nini?

Swala la kulipa biashara lina factors nyingi, including uzoefu na management.

Ninaamini sana kumpa mtoto elimu angalau ya chuo kikuu kabla ajagusa kitu changu chochote.

Hii inaondoa lawama za baadae, na kutumia watoto kwa sifa za wazazi wao.
 
Kamaliza form 6, option mbili

University
Miaka mitano chuoni degree na masters ya business administration, kisha atafute ajira au apewe mtaji wa biashara atayoona inamfaa.

Apprenticeship
miaka mitano awe anasaidia biashara ya familia kisha akifika 25 afunguliwe biashara kama hio hio, biashara ni mambo ya usafirishaji bidhaa na inalipa poa tu.
Asome chuo kilicho Karibu na nyumbani (Kama kipo)

Asome huku anafanya biashara

Atafute degree moja tu inatosha Kisha aendeleze biashara
 
Kama familia iko vizuri kiuchumi na kijana ana akili timamu, aende tu campus akafuate master's degree hiyo itamsaidia in his/her 40's. Guaranteed.
 
Always shule ni Muhimu before anything kama kuna fursa ya kusoma, maamuzi haya yanategemea:

1. Hali ya Biashara na Usimamizi wake, Unamuitaji sasa?

2. Kwa nini sasa? Kwa nini hakuishia form four?

3. Je yeye ni mtoto pekee au wa kiume Pekee aua mnataka mpotezea mda baadae migogoro?

4. Yeye anataka nini?

Swala la kulipa biashara lina factors nyingi, including uzoefu na management.

Ninaamini sana kumpa mtoto elimu angalau ya chuo kikuu kabla ajagusa kitu changu chochote.

Hii inaondoa lawama za baadae, na kutumia watoto kwa sifa za wazazi wao.
Hali ya biashara kwa kiasi kikubwa baba yake ndie anashughulika

Yeye ni mtoto wa kwanza wa kiume, wa pili yupo form 5 wa kike, wa tatu wa kiume yupo form 1, wa nne yupo darasa la saba wa kiume

Na yeye bado anaumiza kichwa
 
Hali ya biashara kwa kiasi kikubwa baba yake ndie anashughulika

Yeye ni mtoto wa kwanza wa kiume, wa pili yupo form 5 wa kike, wa tatu wa kiume yupo form 1, wa nne yupo darasa la saba wa kiume

Na yeye bado anaumiza kichwa


Aende tu
 
Kwa akili zangu..... nadhani hata hiyo A-level nisinge fika, maana leo hii ningekua tayari nimepata experience kubwa kwenye biashara then ningekuja kuajiri walio enda kusoma...😶
 
Kwa akili zangu..... nadhani hata hiyo A-level nisinge fika, maana leo hii ningekua tayari nimepata experience kubwa kwenye biashara then ningekuja kuajiri walio enda kusoma...😶
Umestuka tayari ukiwa mtu mzima, muda ushakwenda.

Shule hizi acha tu, nilikuwaga na debate mpaka mishipa inanitoka shingoni debate za education vs money...sitaki kutaja upande
 
Kamaliza form 6,

Ni mtoto wa kwanza wa kwanza wa kiume, wa pili yupo form 5 wa kike, wa tatu wa kiume yupo form 1, wa nne wa kiume yupo darasa la saba

Wazazi wanajishughulisha na biashara, mambo ya usafirishaji na makazi.

option mbili


1. Apprenticeship
miaka sita awe anasaidia biashara ya familia kupata uzoefu kisha akifika 25 afunguliwe biashara inayofanana, biashara ni mambo ya usafirishaji bidhaa na inalipa poa tu.

2.University
Miaka mitano chuoni degree na masters ya business administration, akipata GPA ya 4.0+ apewe mtaji afanye biashara ya chaguo lake ama atafute ajira,

vinginevyo itambidi apitie njia ya mwanzo upya afunzwe biashara ya familia miaka mitano kisha afunguliwe biashara inayofanana
Akasome, tena akasome mambo ya biashara au uhasibu. Akimaliza aje arithi biashara ya mzee. Elimu ni muhim hata billgate alirudi kusoma degree.
 
Umestuka tayari ukiwa mtu mzima, muda ushakwenda.

Shule hizi acha tu, nilikuwaga na debate mpaka mishipa inanitoka shingoni debate za education vs money...sitaki kutaja upande
Mkuu, umaskini unatufanya tunaenda vyuoni kwasababu tu tumechaguliwa. Lakini 85% ya vijana wanaenda vyuo kusoma wakiwa hawajui wakirudi mtaani wanakuja kufanya nini.
Kwa huyo dogo nafikiri aingie kwenye biashara kwanza ajifunze na apate uzoefu, baada ya hapo ataweza kusimamia biashara na kisha ataenda kusomea mambo ya fedha na biashara.
 
Kama ni smart kichwani form 6 imemtosha apige biashara.

Ingekuwa ni zile course za kitabe sawa, hizi business admiminstration, ajifanyie zake biashara tu
 
Kamaliza form 6,

Ni mtoto wa kwanza wa kwanza wa kiume, wa pili yupo form 5 wa kike, wa tatu wa kiume yupo form 1, wa nne wa kiume yupo darasa la saba

Wazazi wanajishughulisha na biashara, mambo ya usafirishaji na makazi.

option mbili


1. Apprenticeship
miaka sita awe afunzwe biashara ya familia kusaidia usimamizi , uendeshaji, kuvijua vibali, ku deal na wateja, n.k. kisha akifika 25 afunguliwe biashara inayofanana, hapa sanasana ni ile biashara ya usafirishaji.

2.University
Miaka mitano chuoni degree na masters ya business administration, akipata GPA ya 4.0+ apewe mtaji afanye biashara ya chaguo lake ama atafute ajira,

vinginevyo itambidi apitie njia ya mwanzo upya kufunzwa biashara ya familia miaka mitano kisha afunguliwe biashara inayofanana
Aende shule/Chuo
Biashara kubwa zinahitaji Elimu na huko tunako kwenda Elimu itahitajika zaidi
kwa ajili ya usimamizi, marketing, taxation/VAT nk
 
Mkuu, umaskini unatufanya tunaenda vyuoni kwasababu tu tumechaguliwa. Lakini 85% ya vijana wanaenda vyuo kusoma wakiwa hawajui wakirudi mtaani wanakuja kufanya nini.
Kwa huyo dogo nafikiri aingie kwenye biashara kwanza ajifunze na apate uzoefu, baada ya hapo ataweza kusimamia biashara na kisha ataenda kusomea mambo ya fedha na biashara.
Huwezi soma ukiwa na majukumu mengi. Bora asome lwa sasa wakati wazee wanaendelea kusimamia biashara akirudi aendelee na kusimamia. Miaka mitatu si mingi.
 
Anaweza kwenda shule lakini pia mudavwa ziada woote anatumia kujifunza biashara pia akawa karibu na wafanyakazi na kuwauliza maswali ataua ndege wawili kwa wakati mmoja
 
Kamaliza form 6,

Ni mtoto wa kwanza wa kwanza wa kiume, wa pili yupo form 5 wa kike, wa tatu wa kiume yupo form 1, wa nne wa kiume yupo darasa la saba

Wazazi wanajishughulisha na biashara, mambo ya usafirishaji na makazi.

option mbili


1. Apprenticeship
miaka mitano afunzwe kwa ukaribu biashara ya usafirishaji ili kujua changamoto za magari, kudeal na madereva, kuzijua kodi za kulipa, kuvijua vibali, kutafuta masoko, connections , n.k. kisha akifika 25 afunguliwe biashara ya usafirishaji.

2.University
Miaka mitano chuoni degree na masters ya business administration, akipata GPA ya 4.0+ apewe mtaji afanye biashara ya chaguo lake ama atafute ajira,

vinginevyo itambidi apitie njia ya mwanzo upya kufunzwa biashara ya usafiri miaka mitano kisha afunguliwe biashara ya usafiri.
Option 1 inafaa sana hiyo ya pili ni utapeli. Biashara haisomewi darasani
 
Back
Top Bottom