Aende chuoni miaka 5 kisha apewe mtaji au aende kusaidia biashara ya familia miaka mitano kisha afunguliwe biashara?

Anaweza kwenda shule lakini pia mudavwa ziada woote anatumia kujifunza biashara pia akawa karibu na wafanyakazi na kuwauliza maswali ataua ndege wawili kwa wakati mmoja
Kumbuka sio kwenda chuo tu, kuna GPA ya kuipambania ambayo inabidi apige kitabu, kuchanganya mambo inaweza kumuathiri
 
AENDE CHUONI AKASOME WE LIVING IN THIRD WORLD COUNTRY AENDE CHUONI AKAPTE MAARIFA ZAIDI
 
Anataka kuchelewa tu huyo akimbie mbio nyingi Sana kwenye Biashara hiyo miaka mitano ya Experience atakuwa konki mno
 
Tazama Mo na watoto wa Bakhresa walifanya nini?

Nijuavyo wote walienda kusoma kwanza, walivyorudi wakazikuta biashara wakaendelea na biashara.
 
Elimu
 
Option 1 inafaa sana hiyo ya pili ni utapeli. Biashara haisomewi darasani
Mim naunga mkono kwenda kujifunza biashara as waasis wake bado wapo. Lkn hii ni kama anajielewa maana atashika hela akiwa mdogo so asipokua makini anaweza kupotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…