chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Zarau Sasa hizo,huwezi kulinganisha ka Rwanda na li tz mkuu. Rwanda kiu spy nakubali, Ila ki military Tanzania ni boss wa east Africa.In East and Central Africa no country can touch Rwanda
Ujasusi gani aloufanya ukafanikiwa. Hawa magenerals wake si wamefunzwa Tz hadi Kagame mwenyewe.Mkuu M23 aikupigwa na tanzania pekee kikosi kiliundwa na nchi Tatu tanzania [emoji1241] Malawi [emoji1156] kwa upande wa ardhini na South africa [emoji1221] upande wa angani. all in all rwanda upande wa ujasusi yupo vizuri tena sana
Umeongea kwa jazba but I think watakua wamekuelewa Hawa watanganyikaMitanganyika inasifia kila kitu cha hovyo ilimradi tu kinatoka nje.
Mitanganyika inaona Nairoib ni zaidi ya London. Mtanganyika akifika Nairobi mtaa mzima utajua atarudi kavaa cultures za Kenya na kuongea ka mkenya hata kama amekaa siku 2 tu Nairobi.
Mitanganyika inasifia wimbo wowote ule wa Nigeria hata uwe mbaya vp. Sasa nao wanaongea pidgin English. SMH
Mitanganyika sasa inasifia Rwanda sijui kwa lipi. Watu hawana sababu za msingi ila ni kusifia tu Rw ili nao waonekane wajuaji. Rw imezidiwa na mkoa mmoja tu wa TZ kwa kila kitu including intelligence na pisi. Nendeni Manyara na Singida mjionee sio kukaa tu sebleni kwa shemeji zenu na kuanza kusifia wanaume wenzenu.
Mitanganyika ya hovyo sana.
Ndani ya dakika sifuri. Shida ya wabongo wengi huwa hawana taarifa juu ya jeshi letu na hii inatokana kwamba huwa taarifa za jeshi hazitolewi hovyo hadharani.Bongo idara iko vizur sana na wamefanikiwa sana hao Rwanda akitaka wawashe moto tiwazime
Balozi ni jasusi!!...Balozi wa Tanzania nchini Rwanda Mhe. Mej. Jen. Richard M. Makanzo awasilisha hati zake za utambulisho kwa Mhe. Rais Paul Kagame wa Rwanda.
Chanzo: Ukurasa wa Mtandao ( Instagram ) wa Msemaji wa Serikali Bw. Gerson Msigwa.
Kaipelelezeni Burundi ila siyo Rwanda.
Nashukuru kwa Kulijua hili asithubutu.tusije tukampoteza major wetu .akafanye kazi za ubalozi tu,ya ufukunyuku aachame nayo.wale ni zaidi Ya maspy aise.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na asithubutu Kuijasusia Tanzania yake.Akatulie amalizie utumishi wake.
Jidanganye / Jidanganyeni mje Kuumia.Rwanda hawana kiwango chochote cha ujasusi zaidi ya kuwa na madem wazuri
Jidanganye tu Mkuu Rwanda ni Habari nyingine hasa Kimedani ( Kijeshi ) na Kiujasusi ( Kiunjavgu ) Afrika Mashariki na hata Afrika nzima.Mnawatukuza sana, hawana lolote,
Tunamtahadharisha tu Mkuu asithubutu.Mnamtisha au??
Mliwapiga Congo DR au mliwakimbia?Kama wanaujasusi wakutosha mbona tulisha wapiga Kongo, walipo zuga Kwa njia ya uasi wa M23, acheni Kuwa mwambafai sana,
Kwahiyo unakiri wa Tanzania ni.wabaya?Rwanda kuna warembo sana,
Asante sana Mkuu kwa Kunielimishia hilo Juha ( Zuzu ) la Kiswahili.Mkuu M23 aikupigwa na tanzania pekee kikosi kiliundwa na nchi Tatu tanzania [emoji1241] Malawi [emoji1156] kwa upande wa ardhini na South africa [emoji1221] upande wa angani. all in all rwanda upande wa ujasusi yupo vizuri tena sana
Mlipukutika wengi sana tu ila mlificbwa.Nikweli lakini si uliona vijana wa Mwakibolwa walivopiga ile mission
Baada ya Wewe Kunitangulia kuwa Chakula chake hicho.Wewe lazima utakuwa ni chakula ya kagame maana haiwezekani kila kukicha unamsifia mwanaume mwenzako.
Na ndiyo maana kila mara tu nawaonyeni hapa kuwa Tanzania msijidanganye mnaweza 'battle' na Rwanda kwani hamtoamini Macho na Masikio yenu.Tanzania ndio imelala, badala ya kujaza watu ambao wako vizuri kichwani imejaza makada wa chama
Thanks for stressing this Chief.In East and Central Africa no country can touch Rwanda
Zuzu ( Juha ) Kuu la JamiiForums adriz limeandika.Mitanganyika inasifia kila kitu cha hovyo ilimradi tu kinatoka nje.
Mitanganyika inaona Nairoib ni zaidi ya London. Mtanganyika akifika Nairobi mtaa mzima utajua atarudi kavaa cultures za Kenya na kuongea ka mkenya hata kama amekaa siku 2 tu Nairobi.
Mitanganyika inasifia wimbo wowote ule wa Nigeria hata uwe mbaya vp. Sasa nao wanaongea pidgin English. SMH
Mitanganyika sasa inasifia Rwanda sijui kwa lipi. Watu hawana sababu za msingi ila ni kusifia tu Rw ili nao waonekane wajuaji. Rw imezidiwa na mkoa mmoja tu wa TZ kwa kila kitu including intelligence na pisi. Nendeni Manyara na Singida mjionee sio kukaa tu sebleni kwa shemeji zenu na kuanza kusifia wanaume wenzenu.
Mitanganyika ya hovyo sana.