Aende tu kwa Kilichompeleka na kamwe siyo kwa Kuijasusia Rwanda, kwani hatopata chochote kwakuwa Rwanda ya sasa ni Israel Kiujasusi

Aende tu kwa Kilichompeleka na kamwe siyo kwa Kuijasusia Rwanda, kwani hatopata chochote kwakuwa Rwanda ya sasa ni Israel Kiujasusi

Mkuu M23 aikupigwa na tanzania pekee kikosi kiliundwa na nchi Tatu tanzania [emoji1241] Malawi [emoji1156] kwa upande wa ardhini na South africa [emoji1221] upande wa angani. all in all rwanda upande wa ujasusi yupo vizuri tena sana
Ujasusi gani aloufanya ukafanikiwa. Hawa magenerals wake si wamefunzwa Tz hadi Kagame mwenyewe.
Emb tutoleeni kujimwambafy. Hamna kitu nyinyi. Ni propagandas tu
 
Kitu asichokitaka kagame kitokee nchini Rwanda kutoka hapa nyumbani,tayari kishatokea labda aanze upya...
 
Mitanganyika inasifia kila kitu cha hovyo ilimradi tu kinatoka nje.

Mitanganyika inaona Nairoib ni zaidi ya London. Mtanganyika akifika Nairobi mtaa mzima utajua atarudi kavaa cultures za Kenya na kuongea ka mkenya hata kama amekaa siku 2 tu Nairobi.

Mitanganyika inasifia wimbo wowote ule wa Nigeria hata uwe mbaya vp. Sasa nao wanaongea pidgin English. SMH

Mitanganyika sasa inasifia Rwanda sijui kwa lipi. Watu hawana sababu za msingi ila ni kusifia tu Rw ili nao waonekane wajuaji. Rw imezidiwa na mkoa mmoja tu wa TZ kwa kila kitu including intelligence na pisi. Nendeni Manyara na Singida mjionee sio kukaa tu sebleni kwa shemeji zenu na kuanza kusifia wanaume wenzenu.

Mitanganyika ya hovyo sana.
Umeongea kwa jazba but I think watakua wamekuelewa Hawa watanganyika
 
Bongo idara iko vizur sana na wamefanikiwa sana hao Rwanda akitaka wawashe moto tiwazime
Ndani ya dakika sifuri. Shida ya wabongo wengi huwa hawana taarifa juu ya jeshi letu na hii inatokana kwamba huwa taarifa za jeshi hazitolewi hovyo hadharani.
 
Balozi wa Tanzania nchini Rwanda Mhe. Mej. Jen. Richard M. Makanzo awasilisha hati zake za utambulisho kwa Mhe. Rais Paul Kagame wa Rwanda.

Chanzo: Ukurasa wa Mtandao ( Instagram ) wa Msemaji wa Serikali Bw. Gerson Msigwa.

Kaipelelezeni Burundi ila siyo Rwanda.
Balozi ni jasusi!!...
 
Mkuu M23 aikupigwa na tanzania pekee kikosi kiliundwa na nchi Tatu tanzania [emoji1241] Malawi [emoji1156] kwa upande wa ardhini na South africa [emoji1221] upande wa angani. all in all rwanda upande wa ujasusi yupo vizuri tena sana
Asante sana Mkuu kwa Kunielimishia hilo Juha ( Zuzu ) la Kiswahili.
 
Tanzania ndio imelala, badala ya kujaza watu ambao wako vizuri kichwani imejaza makada wa chama
Na ndiyo maana kila mara tu nawaonyeni hapa kuwa Tanzania msijidanganye mnaweza 'battle' na Rwanda kwani hamtoamini Macho na Masikio yenu.
 
Mitanganyika inasifia kila kitu cha hovyo ilimradi tu kinatoka nje.

Mitanganyika inaona Nairoib ni zaidi ya London. Mtanganyika akifika Nairobi mtaa mzima utajua atarudi kavaa cultures za Kenya na kuongea ka mkenya hata kama amekaa siku 2 tu Nairobi.

Mitanganyika inasifia wimbo wowote ule wa Nigeria hata uwe mbaya vp. Sasa nao wanaongea pidgin English. SMH

Mitanganyika sasa inasifia Rwanda sijui kwa lipi. Watu hawana sababu za msingi ila ni kusifia tu Rw ili nao waonekane wajuaji. Rw imezidiwa na mkoa mmoja tu wa TZ kwa kila kitu including intelligence na pisi. Nendeni Manyara na Singida mjionee sio kukaa tu sebleni kwa shemeji zenu na kuanza kusifia wanaume wenzenu.

Mitanganyika ya hovyo sana.
Zuzu ( Juha ) Kuu la JamiiForums adriz limeandika.
 
Back
Top Bottom