Aende tu kwa Kilichompeleka na kamwe siyo kwa Kuijasusia Rwanda, kwani hatopata chochote kwakuwa Rwanda ya sasa ni Israel Kiujasusi

Hako ka nchi kana kwapua Midhahabu ya DRC bila uwoga


Binafsi si kapendi yaan nimetokea kukachukia gafla
 
Mtoto uzae mwenyewe alafu akutishe? Hizi nchi zinazotuzunguka ukitoa Kenya tunalea wenyewe ndio maana heshima yao hapa ni ile ya mtoto kwa mzazi! Ukizingua ni fimbo tu.

Unajua M23 baada ya kichapo heavy walikuwa wanatorekea wapi? option ilikuwa ni hii, ubaki Kongo JWTZ wakufyeke au ukubali mtego wa kumkimbilia aliyekutuma tumuonye! Mama mkanye mwanao!
 
Wewe n mswahili sana blah blah nyingi utafikiri Rwanda n kubwa kama Congo kumbe n ndogo sana kuliko mara.

Inawezekana stori za vijiweni zimekuharibu pia ujifunze sio kila kitu unaweza kukiwasilisha kwa uzani uliolala ili upate mawazo unayoyafikiria.

Ukwel n Rwanda Wana dikteta SMART sana pia kupitia Vita vya Congo Rwanda imekubali kuwa kiini Cha Vita hvyo kupitia kwa USA na baadhi ya European countries tofauti na hapo Tanzania inaweza kumshughulikia vizuri sana huyo mtoto na asipige kelele.
 
Maelezo marefu halafu ni Takataka tupu.
 
Barozi wa Rwanda nchini Tanzania ni jenerali(mjeshi? Na sisi tumewaletea mwanajeshi Sasa
Mbona na Sisi tumejazana katika Majeshi yenu na Taasisi zenu Nyeti huku tukiwasomeni na Kuwasanifu tu? Thubutuni Kutuchokoza Rwanda muone kama Tanzania yenu haijawa Mali rasmi ya Rwanda.

Halafu hakuna Neno Barozi kama ulivyoandika bali kuna Neno sahihi la Balozi sawa? Unajifanya Mtanzania halafu hata Kiswahili tu hujui na unazidiwa nami Mnyarwanda Mtanzania.
 
Angalia Juha ( Zuzu ) jingine hili. Sasa kama kuandika tu vyema Neno Jela huwezi na umekosea kwa kuandika Jera utaweza kweli kuwa na Madini ya Kuchangia huu Uzi unaohitaji IQ Kubwa Kuuchangia?
 
Pumbavu hivi nimekulazimisha Uchangie Uzi wangu huu kama unajua kuwa Hunipendi na huwa Unachukizwa na Mada zangu? Ndiyo maana huwa Nawadharau hapa Kutwa tu.
 
Kagame ana akili ya kutumia rasilimali zote za nchi yao kwa manufaa ya nchi nzima!!
Na hii ndiyo maana ya Mtu / Kiongozi mwenye Akili ( Genius ) kabisa na siyo wale wengine 'Goi Goi' Barani Afrika wanaosubiri Kushauriwa Kutwa na Mafisadi huku wakiwa wanakunywa tu Whiskey au Wine katika Ikulu zao.
 
Absolute Nonsense.....!!!!
 
Hako ka nchi kana kwapua Midhahabu ya DRC bila uwoga


Binafsi si kapendi yaan nimetokea kukachukia gafla
Nani aliyekudanganya kuwa Tanzania nayo haikwapui Natural Resources za Congo DR?

au unataka tuanike hapa Biashara aliyokuwa akiifanya Afande wenu Mwakibolwa kule Congo DR kwa Niaba ya Tanzania na hasa hasa kwa Kushirikiana na Rais wenu Mstaafu Mswahili?

Huna unachokijua na nashauri nyamaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…