jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Pole sana kwa taarifa kila selikal inakuwa na watu wake katika idara nyet ndani ya nchi ya watu kuna mnyarwanda amewah kamatwa hapa na alisanuliwa na mt aliyepo rwandaNa 99% yao wapo katika almost Idara zao Nyeti na Kubwa wakiendelea Kuisoma zaidi Tanzania Kiuimara na Kiudhaifu pia.
LEO NDO NIMEGUNDUA WE JAMAA MSHAMBA MSHAMBA TUMbona na Sisi tumejazana katika Majeshi yenu na Taasisi zenu Nyeti huku tukiwasomeni na Kuwasanifu tu? Thubutuni Kutuchokoza Rwanda muone kama Tanzania yenu haijawa Mali rasmi ya Rwanda.
Halafu hakuna Neno Barozi kama ulivyoandika bali kuna Neno sahihi la Balozi sawa? Unajifanya Mtanzania halafu hata Kiswahili tu hujui na unazidiwa nami Mnyarwanda Mtanzania.
Bashiru na Magufuli ni Warundi, siyo Wanyarwanda.Mara kwa mara nilipomuona Bashiru nilikuwa nahisi ni Mnyarwanda aliyepenyezwa Kijasusi kwa muda mrefu.
Chizi kalogwa tena.mwezi mchanga
huk bongo Shiba nenda kijiwen mnaanz kuchambua Kila k2 kama vile rais na mawazir wakeHiyo ni political fear waliojengewa wananchi wa kule
Sirikali yao inafatilia hata mambo ya kawaida nadhani ni tahadhari ya kuogopa yasitokee yale ya 1990s..
Serikali ya tz iko vizuri sana sema haifatilii mambo ya hovyo kwa mfano hapa nimeshakula lunch nimeshiba naenda zangu kijiweni kuisema serekali..kule rwanda hata kijiweni ukianzisha mada za kuichambua serekali watu hawakujibu .. Na ukiendelea wanatawanyika
NotedWakiongozwa nawe Rais wao wa Undezi.
Tanzania hawawafikii Rwanda kabisa kabisa kwakuwa na watoto wakali,ukweli tuuseme tu.Kwahiyo unakiri wa Tanzania ni.wabaya?
Ni wakali kweli na ukali pia wakali ukioa ndio utajua kweli wakali .Huwezi mpelekesha mwanamke wa kinyarwanda ila kidume ndie utapelekeshwa hadi ukomeTanzania hawawafikii Rwanda kabisa kabisa kwakuwa na watoto wakali,ukweli tuuseme tu.
Waliopukutika wengi ni mission iliofanyika kwenye utawala wa awamu ya tano tena na wao kilichowaponza walizuiliwa kujibu mashambulinzi tena hata hivo wao wapo kule kulinda amani .lakini majamaa yakawavamia .lakini kwa ujumla vijana wetu wako vizuri sana tu kwenye ukanda wetuMlipukutika wengi sana tu ila mlificbwa.
Atawajasusia hao hao ππRwanda hawana kiwango chochote cha ujasusi zaidi ya kuwa na madem wazuri
Mh mkuu yaan mtu aifananishe Nairobi na London ? Avha utani na maisha ww ....
LEO NDO NIMEGUNDUA WE JAMAA MSHAMBA MSHAMBA TU
Huwa mnafurahisha sana nyie watu πtusije tukampoteza major wetu .akafanye kazi za ubalozi tu,ya ufukunyuku aachame nayo.wale ni zaidi Ya maspy aise.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapenda sana kujikomba,bwege sana.Baada ya Wewe Kunitangulia kuwa Chakula chake hicho.
Duh! Mbona Bashiru ni Mhaya wa Kanazi Kemondo Bukoba ndg?Bashiru na Magufuli ni Warundi, siyo Wanyarwanda.
Vile vichwa vyembamba virefu na nyapu Kama bwawa yaani Pana na full maji ndiyo unasema wazuri!?Rwanda hawana kiwango chochote cha ujasusi zaidi ya kuwa na madem wazuri