kinondoniilala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 987
- 766
Kada kama kada hii noma sana vijana wa praise team hawana habari na mafuta kupanda wao ni kuupiiga mwingiTanzania ndio imelala, badala ya kujaza watu ambao wako vizuri kichwani imejaza makada wa chama
imerudi tena hata miezi mitatu haijafikaKaaga vijiweni mjikusanye mdanganyene Rwanda wa kawaida sana m23 ilisambalatishwa na tz
Rwanda hata akiwa na idara mzuri ya Usalama kwa 100, akianzisha choko choko hata Siku 10, hazifiki tumeshaichakaza.Na 99% yao wapo katika almost Idara zao Nyeti na Kubwa wakiendelea Kuisoma zaidi Tanzania Kiuimara na Kiudhaifu pia.
Lakini wale si walikufa.imerudi tena hata miezi mitatu haijafika
[emoji38][emoji23][emoji28][emoji28] usimcheke usicheke na bunge la bajeti limeaza hivi mpaka wanapigana na hakuna mtu Wala polisi watajitokeza kukubeba umemsema vibaya mwigulu waziri wafedha....sidhani kwa Burundi au Rwanda Kama ipo hiyo
Hahahaaaa mtutsi katika ubora wako, rudi kwenu kigali ukashangilie APRBalozi wa Tanzania nchini Rwanda Mhe. Mej. Jen. Richard M. Makanzo awasilisha hati zake za utambulisho kwa Mhe. Rais Paul Kagame wa Rwanda.
Chanzo: Ukurasa wa Mtandao ( Instagram ) wa Msemaji wa Serikali Bw. Gerson Msigwa.
Kaipelelezeni Burundi ila siyo Rwanda.
Sio mtanzania huyo, ni mtutsiMkuu wewe si Mtanzania au ni Mtu Rwanda.sio vizuri unavyofanya.Hata kama Tanzania inakuboa jitahidi kujizuia.
Uko sahihi totoz zilizopo babati na singida acha tuMitanganyika inasifia kila kitu cha hovyo ilimradi tu kinatoka nje.
Mitanganyika inaona Nairoib ni zaidi ya London. Mtanganyika akifika Nairobi mtaa mzima utajua atarudi kavaa cultures za Kenya na kuongea ka mkenya hata kama amekaa siku 2 tu Nairobi.
Mitanganyika inasifia wimbo wowote ule wa Nigeria hata uwe mbaya vp. Sasa nao wanaongea pidgin English. SMH
Mitanganyika sasa inasifia Rwanda sijui kwa lipi. Watu hawana sababu za msingi ila ni kusifia tu Rw ili nao waonekane wajuaji. Rw imezidiwa na mkoa mmoja tu wa TZ kwa kila kitu including intelligence na pisi. Nendeni Manyara na Singida mjionee sio kukaa tu sebleni kwa shemeji zenu na kuanza kusifia wanaume wenzenu.
Mitanganyika ya hovyo sana.
Dah uko sahihi kuna siku niko zangu kigari nashangaa demu ananitongozauko sahii ujasusi wao wakutumia wanawake wao basi hakuna lingine,wanawake wa kitutsi ni mashushu sana
Hawana uspy wowote, mnawakwezatusije tukampoteza major wetu .akafanye kazi za ubalozi tu,ya ufukunyuku aachame nayo.wale ni zaidi Ya maspy aise.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ilianza kusambaratishwa M23 ndo wakawarudisha wanyarwandaKaaga vijiweni mjikusanye mdanganyene Rwanda wa kawaida sana m23 ilisambalatishwa na tz
Huyu boya huenda hata sio mtutsi huwa hawajisemi ukiona mtu anajisema ujue ni kokoHalafu na wewe kwa kujitia mjuaji kila kitu hujambo.Halafu uko.negative tu .
Balozi ukiona nchi anayopelekwa kapokelewa ujue wamemkubali
Sijui wewe kwa nini muda wote unakuwa na chuki na Tanzania wakati unakula ba kuishi Tanzania si uende huko kwenu Rwanda kinachokukalisha Tanzania nini nenda kwenu
We ngeke sio mtutsiMbona na Sisi tumejazana katika Majeshi yenu na Taasisi zenu Nyeti huku tukiwasomeni na Kuwasanifu tu? Thubutuni Kutuchokoza Rwanda muone kama Tanzania yenu haijawa Mali rasmi ya Rwanda.
Halafu hakuna Neno Barozi kama ulivyoandika bali kuna Neno sahihi la Balozi sawa? Unajifanya Mtanzania halafu hata Kiswahili tu hujui na unazidiwa nami Mnyarwanda Mtanzania.
Akina nani hao unaowasema wewe??tusije tukampoteza major wetu .akafanye kazi za ubalozi tu,ya ufukunyuku aachame nayo.wale ni zaidi Ya maspy aise.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karatu pia bila kuisahau kuna pisi Kali Sana tusiwe vyetu[emoji3064][emoji3064][emoji3064]Mitanganyika inasifia kila kitu cha hovyo ilimradi tu kinatoka nje.
Mitanganyika inaona Nairoib ni zaidi ya London. Mtanganyika akifika Nairobi mtaa mzima utajua atarudi kavaa cultures za Kenya na kuongea ka mkenya hata kama amekaa siku 2 tu Nairobi.
Mitanganyika inasifia wimbo wowote ule wa Nigeria hata uwe mbaya vp. Sasa nao wanaongea pidgin English. SMH
Mitanganyika sasa inasifia Rwanda sijui kwa lipi. Watu hawana sababu za msingi ila ni kusifia tu Rw ili nao waonekane wajuaji. Rw imezidiwa na mkoa mmoja tu wa TZ kwa kila kitu including intelligence na pisi. Nendeni Manyara na Singida mjionee sio kukaa tu sebleni kwa shemeji zenu na kuanza kusifia wanaume wenzenu.
Mitanganyika ya hovyo sana.