Aende tu kwa Kilichompeleka na kamwe siyo kwa Kuijasusia Rwanda, kwani hatopata chochote kwakuwa Rwanda ya sasa ni Israel Kiujasusi

Aende tu kwa Kilichompeleka na kamwe siyo kwa Kuijasusia Rwanda, kwani hatopata chochote kwakuwa Rwanda ya sasa ni Israel Kiujasusi

Na 99% yao wapo katika almost Idara zao Nyeti na Kubwa wakiendelea Kuisoma zaidi Tanzania Kiuimara na Kiudhaifu pia.
Rwanda hata akiwa na idara mzuri ya Usalama kwa 100, akianzisha choko choko hata Siku 10, hazifiki tumeshaichakaza.
Tena hata bila kuingia ndani ya nchi yao.
 
Ha ha ha .eti naendazangu kijiweni kuisema serekali[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji23][emoji28][emoji28] usimcheke usicheke na bunge la bajeti limeaza hivi mpaka wanapigana na hakuna mtu Wala polisi watajitokeza kukubeba umemsema vibaya mwigulu waziri wafedha....sidhani kwa Burundi au Rwanda Kama ipo hiyo
 
moja ya watu wasioeleweka ni huyu jamaa aliyeandika huu uzi mara hajifanye mnyarurwanda mara anajifanya mwenyeji wa mkoa wa mara ni mjinga mmoja anaejifanya mjuaji
 
Balozi wa Tanzania nchini Rwanda Mhe. Mej. Jen. Richard M. Makanzo awasilisha hati zake za utambulisho kwa Mhe. Rais Paul Kagame wa Rwanda.

Chanzo: Ukurasa wa Mtandao ( Instagram ) wa Msemaji wa Serikali Bw. Gerson Msigwa.

Kaipelelezeni Burundi ila siyo Rwanda.
Hahahaaaa mtutsi katika ubora wako, rudi kwenu kigali ukashangilie APR
 
Mods huu uzi mkiufuta mtakuwa mmeitendea nchi yetu haki. Thread hii inaaibisha Taifa sana tu.
 
Mitanganyika inasifia kila kitu cha hovyo ilimradi tu kinatoka nje.

Mitanganyika inaona Nairoib ni zaidi ya London. Mtanganyika akifika Nairobi mtaa mzima utajua atarudi kavaa cultures za Kenya na kuongea ka mkenya hata kama amekaa siku 2 tu Nairobi.

Mitanganyika inasifia wimbo wowote ule wa Nigeria hata uwe mbaya vp. Sasa nao wanaongea pidgin English. SMH

Mitanganyika sasa inasifia Rwanda sijui kwa lipi. Watu hawana sababu za msingi ila ni kusifia tu Rw ili nao waonekane wajuaji. Rw imezidiwa na mkoa mmoja tu wa TZ kwa kila kitu including intelligence na pisi. Nendeni Manyara na Singida mjionee sio kukaa tu sebleni kwa shemeji zenu na kuanza kusifia wanaume wenzenu.

Mitanganyika ya hovyo sana.
Uko sahihi totoz zilizopo babati na singida acha tu
 
uko sahii ujasusi wao wakutumia wanawake wao basi hakuna lingine,wanawake wa kitutsi ni mashushu sana
Dah uko sahihi kuna siku niko zangu kigari nashangaa demu ananitongoza
 
Halafu na wewe kwa kujitia mjuaji kila kitu hujambo.Halafu uko.negative tu .

Balozi ukiona nchi anayopelekwa kapokelewa ujue wamemkubali

Sijui wewe kwa nini muda wote unakuwa na chuki na Tanzania wakati unakula ba kuishi Tanzania si uende huko kwenu Rwanda kinachokukalisha Tanzania nini nenda kwenu
Huyu boya huenda hata sio mtutsi huwa hawajisemi ukiona mtu anajisema ujue ni koko
 
Mbona na Sisi tumejazana katika Majeshi yenu na Taasisi zenu Nyeti huku tukiwasomeni na Kuwasanifu tu? Thubutuni Kutuchokoza Rwanda muone kama Tanzania yenu haijawa Mali rasmi ya Rwanda.

Halafu hakuna Neno Barozi kama ulivyoandika bali kuna Neno sahihi la Balozi sawa? Unajifanya Mtanzania halafu hata Kiswahili tu hujui na unazidiwa nami Mnyarwanda Mtanzania.
We ngeke sio mtutsi
 
Mitanganyika inasifia kila kitu cha hovyo ilimradi tu kinatoka nje.

Mitanganyika inaona Nairoib ni zaidi ya London. Mtanganyika akifika Nairobi mtaa mzima utajua atarudi kavaa cultures za Kenya na kuongea ka mkenya hata kama amekaa siku 2 tu Nairobi.

Mitanganyika inasifia wimbo wowote ule wa Nigeria hata uwe mbaya vp. Sasa nao wanaongea pidgin English. SMH

Mitanganyika sasa inasifia Rwanda sijui kwa lipi. Watu hawana sababu za msingi ila ni kusifia tu Rw ili nao waonekane wajuaji. Rw imezidiwa na mkoa mmoja tu wa TZ kwa kila kitu including intelligence na pisi. Nendeni Manyara na Singida mjionee sio kukaa tu sebleni kwa shemeji zenu na kuanza kusifia wanaume wenzenu.

Mitanganyika ya hovyo sana.
Karatu pia bila kuisahau kuna pisi Kali Sana tusiwe vyetu[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Back
Top Bottom