Pre GE2025 Afadhali Ibaki kuwa ndoto tu na isiwe kweli! 2025, January Makamba kuwa Makamu wa Rais, hatimaye kuwa Rais?

Pre GE2025 Afadhali Ibaki kuwa ndoto tu na isiwe kweli! 2025, January Makamba kuwa Makamu wa Rais, hatimaye kuwa Rais?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naombea iwe ndoto tu tena ya mchana isiyokuwa na uhalisia wowote

Ndoto hii naikemea kwa nguvu zote, maana! Mmh! Iwapo itakuwa kweli mbona itakuwa mwisho wa nchi hii kuwa na matumaini yoyote ya walala hoi siku moja kuondokana na ulala hoi wao..!

Ndoto niliyoletewa iko hivi..!

2025! Makamu wa Rais atakuwa January Makamba, na waziri wa mambo ya nje atakuwa mtoto wa Rais mstaafu

Wakati nikiwa kwenye ndoto, sielewi hapa nitaelezaje, maana ni kama sikuipata picha kamili ya namna Makamba atakavyojikuta amekuwa Rais kamili hata kabla ya 2030!

Naombea hii ndoto isiwe kweli kwa sababu katika Taifa hili, kuna watu ni bora wabaki wa kubebwa tu na siyo kufikia ngazi ya Urais kamili
Cheo ulichokitaja ni cheo cha ki-taasisi. Yeyote anaweza kuwekwa na aka fit. Kunda watu wa kada tofauti tofauti wanakuwa nyuma yake. Sio rahisi afanye uwazavyo.
 
Mi naamini Urais ni zali, hawa wanaousaka kwa nguvu hadi kuchora mawe na kugawa mitungi ya gesi kamwe hawatauona urais! Kupata urais ni kama kuuona ufalme wa mbinguni. Ni bahati tu. Rasilimali wanazoiba na kupoteza kwa kushawishi watu na kutengeneza mazingira ya urais ni bora wangejenga misikiti au makanisa , kujenga magorofa kkoo, kununua mabasi au kujaza timu za mpira ligi kuu.

Ukipiga hesabu za wazi tu za Chama , bila kutumia D zako mbili unaona kirahisi tu kuwa Rais ni Mazeri Sa100 , kwa vipindi viwili vya urais na makamu wake kiitifaki anakuwa mkristo maana hii nchi sio Iran, Hezbollah au Saudi Arabia.

Bimkubwa vasco da Gama akimaliza urais mwaka 2031.5 na kuifikisha SGR Mwanza na Kigoma wallah tutamuimba na kumsifu kwa nyimbo na mapambio na tutampa maua yake kwa raha na bashasha kwa kutupa raia tabasamu la kweli na tutamsindikiza kwa dufu kurudi kizimkazi baada ya kumuachia urais mkristo ambae ataongoza bongo au danganyika hadi mwaka 2041.5!

Kiukweli binafsi siioni nafasi ya kuwa rais kwa ndugu yuda Kipara Maropu and company !! Labda akagombee uenyekiti wa kijiji huko Bumbuli mwaka 2042 ambapo atakuwa tayari ni mzee aliechoka kupigania kuwa rais bila mafanikio, allahu aalam!!

Kitendo cha hawa vijana uchwara wanaoingia uzee kupambana kulazimisha wawe Rais wakati Mazeri sa100 yupo vizuri sana ofisini, Maza yuko gado anajenga nchi ya ahadi , kuutaka urais wa Mazeri ni uchuro, uzandiki na uchawi. Hawa vijana ni wa kuwakemea na kuwatoa mapepo na kuwapunga madogoli!!

Mama anaupiga mwingi, Mama ameweza, SGR yapepea, raia wamejaa tabasamu na wanabubujikwa machozi ya furaha kila wanapomuona Maza na kukumbuka kazi nzuri za Mama, Mama Sa100 mbele kwa mbele, wenye chuki kina yuda Maropu and company wajinyonge, Mimi namkubali Mama wewe je? Mazeri sa100 mitano tena tafadhali.
 
Naombea iwe ndoto tu tena ya mchana isiyokuwa na uhalisia wowote

Ndoto hii naikemea kwa nguvu zote, maana! Mmh! Iwapo itakuwa kweli mbona itakuwa mwisho wa nchi hii kuwa na matumaini yoyote ya walala hoi siku moja kuondokana na ulala hoi wao..!

Ndoto niliyoletewa iko hivi..!

2025! Makamu wa Rais atakuwa January Makamba, na waziri wa mambo ya nje atakuwa mtoto wa Rais mstaafu

Wakati nikiwa kwenye ndoto, sielewi hapa nitaelezaje, maana ni kama sikuipata picha kamili ya namna Makamba atakavyojikuta amekuwa Rais kamili hata kabla ya 2030!

Naombea hii ndoto isiwe kweli kwa sababu katika Taifa hili, kuna watu ni bora wabaki wa kubebwa tu na siyo kufikia ngazi ya Urais kamili
Unawaza kugawana vyeo sisi tunapambana kupata katiba mypya we endelea na njozi zako
 
Ndoto niliyoletewa iko hivi..!
Kuna ndoto za Mungu na ndoto za shetani, ndoto za Mungu ni maono na sio za kupuuzwa hata kidogo!.
2025! Makamu wa Rais atakuwa January Makamba, na waziri wa mambo ya nje atakuwa mtoto wa Rais mstaafu
Hili sikuwahi kulisikia popote!.
Wakati nikiwa kwenye ndoto, sielewi hapa nitaelezaje, maana ni kama sikuipata picha kamili ya namna Makamba atakavyojikuta amekuwa Rais kamili hata kabla ya 2030!
Hivi ndivyo mambo ya Mungu yanavyokuwaga!, hata Samia hakujua, alijikuta tuu amekuwa, sisi wa jicho la tatu, tunaiangazia sana ndoto yako hii na kui scrutunize kama ni ndoto ya Mungu au ni ya shetani. Kama ni ya Mungu, tutamshauri ..., 2025 itoshe, kama ni ndoto ya shetani, tutamshauri kuendelea na mpango wake mbele kwa mbele.
Kitu kama hiki hata mimi nilielezwa, ila mimi sikuelezwa kwenye ndoto, mimi nilielezwa kwenye sauti HII na nikashauri!
Naombea hii ndoto isiwe kweli kwa sababu katika Taifa hili, kuna watu ni bora wabaki wa kubebwa tu na siyo kufikia ngazi ya Urais kamili
Anayepanga nani awe rais wetu sio wewe, sio yeye, bali ni YEYE, ndiye anayepanga marais wa nchi na serikali za mataifa, jivyo ndoto yako ni ya Mungu, huwezi kuzuia alilolipanga YEYE, , ili natofautiana wewe kuhusu huyu dogo!. January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President na hapa January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in Tanzania!
JM ni Presidential Materiale ya ukwee..., yuko kama Barack Obama.

P
 
Mtu Fulani aliwah sema, Katiba yetu inatoa Room Kwa Makamo wa Rais Mchawi kumuua Rais ili yeye awe Rais.


Kiuhalisia ndoto yako hii unaweza kua Umeitoa kwenye Meza nyeti kabisa , na umeileta hapa ili Tuisemee na tubomoe mpango huo.



Ukweli ni Kua, J.Makamba, Anataka Urais japo Urais haumtaki, Kijana huyu yupo Radhi kufanya lolote ili mradi tu awe Rais.



Kwa kua ameshajua Nchi haimtaki, Huenda Njia pekee ilobaki, ni Hawa Timu Msoga ambao Sasa ndio waloishika CCM, wajifanye kumchomeka Makamba kwenye Umakamo wa Urais.


Na Ama ( japo Sina uhakika kama Samia atagombea ) Samia akiwa na Makamba , Samia ambaye ni Timu Msoga, anaweza kusingizia matatizo ya kiafya kua yanamfanya ashindwe kutimiza majukumu ya Urais, hivo kumuachia Kijana wake Makamba kua Rais.


Au basi Vijana wa hovyo wachawi kutumia Room ya Katiba kuhakikisha Kijana wao anauchota Urais kama ilivyo Kwa JPM March 17.




Hata Hivo , itakua ni NEGLIGENCE, INCOMPETENCE na INSUBORDINATION ya Kiwango Cha juuu sana Kwa Taasisi zetu za Ulinzi na Usalama wakiwemo TISS, KURUHUSU CCM KUMCHAGUA MAKAMBA KUA MAKAMO WA RAIS AU RAIS.



MAKAMBA HAFAI KUA HATA MJUMBE WA NYUMBA KUMI.
Kama waliweza kwa buldoza wakaja dodo watashindwa kwa s100??? Nchi inahitaji tuswali sana ili haya magenge ya kugombania urais wafe wote ili wabaki wenye nia ya kuleta maendeleo. Kilichopo sasa bashe anataka urais, makamba anataka urais, mwigulu hivyo hivyo so unategemea nini??? Na bado wazee nao wanauchungulia urais
 
Naombea iwe ndoto tu tena ya mchana isiyokuwa na uhalisia wowote

Ndoto hii naikemea kwa nguvu zote, maana! Mmh! Iwapo itakuwa kweli mbona itakuwa mwisho wa nchi hii kuwa na matumaini yoyote ya walala hoi siku moja kuondokana na ulala hoi wao..!

Ndoto niliyoletewa iko hivi..!

2025! Makamu wa Rais atakuwa January Makamba, na waziri wa mambo ya nje atakuwa mtoto wa Rais mstaafu

Wakati nikiwa kwenye ndoto, sielewi hapa nitaelezaje, maana ni kama sikuipata picha kamili ya namna Makamba atakavyojikuta amekuwa Rais kamili hata kabla ya 2030!

Naombea hii ndoto isiwe kweli kwa sababu katika Taifa hili, kuna watu ni bora wabaki wa kubebwa tu na siyo kufikia ngazi ya Urais kamili
Upo sawa mtumishi, na Mimi niliota na Cheka na mtoto huyo Kisha huyo mwingine ananilinda dhidi ya maadui zangu...Kama ipo ipo!
 
Kuna ndoto za Mungu na ndoto za shetani, ndoto za Mungu ni maono na sio za kupuuzwa hata kidogo!.

Hili sikuwahi kulisikia popote!.

Hivi ndivyo mambo ya Mungu yanavyokuwaga!, hata Samia hakujua, alijikuta tuu amekuwa, sisi wa jicho la tatu, tunaiangazia sana ndoto yako hii na kui scrutunize kama ni ndoto ya Mungu au ni ya shetani. Kama ni ya Mungu, tutamshauri ..., 2025 itoshe, kama ni ndoto ya shetani, tutamshauri kuendelea na mpango wake mbele kwa mbele.
Kitu kama hiki hata mimi nilielezwa, ila mimi sikuelezwa kwenye ndoto, mimi nilielezwa kwenye sauti HII na nikashauri!

Anayepanga nani awe rais wetu sio wewe, sio yeye, bali ni YEYE, ndiye anayepanga marais wa nchi na serikali za mataifa, jivyo ndoto yako ni ya Mungu, huwezi kuzuia alilolipanga YEYE, , ili natofautiana wewe kuhusu huyu dogo!. January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President na hapa January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in Tanzania!
JM ni Presidential Materiale ya ukwee..., yuko kama Barack Obama.
Tupate tu Rais wa moyo wa Mungu kama ni yeye au anayejua Mungu ni sawa...Ila mapenzi yake mema ya timizwe...Ila na Mimi niliota katika mpangilio huo huo wa mtoa mada....Sijui kwanini nafurahia hii ndoto
 
Kuna Moja juzi nliimpa hag sehemu hakujuwa kwamba ndiyo nampa anointing fulani hivi....All the best my friends nawatakia Kila la heri!
 
Kwa akili na umahili wa January Makamba, nchi itakuwa imepata rais sahihi

akili zake na umakini wake ndio ulimtuma akwibe mitiani?

 
Naombea iwe ndoto tu tena ya mchana isiyokuwa na uhalisia wowote

Ndoto hii naikemea kwa nguvu zote, maana! Mmh! Iwapo itakuwa kweli mbona itakuwa mwisho wa nchi hii kuwa na matumaini yoyote ya walala hoi siku moja kuondokana na ulala hoi wao..!

Ndoto niliyoletewa iko hivi..!

2025! Makamu wa Rais atakuwa January Makamba, na waziri wa mambo ya nje atakuwa mtoto wa Rais mstaafu

Wakati nikiwa kwenye ndoto, sielewi hapa nitaelezaje, maana ni kama sikuipata picha kamili ya namna Makamba atakavyojikuta amekuwa Rais kamili hata kabla ya 2030!

Naombea hii ndoto isiwe kweli kwa sababu katika Taifa hili, kuna watu ni bora wabaki wa kubebwa tu na siyo kufikia ngazi ya Urais kamili
usijali hiyo itabaki ndoto tu.
 
Naombea iwe ndoto tu tena ya mchana isiyokuwa na uhalisia wowote

Ndoto hii naikemea kwa nguvu zote, maana! Mmh! Iwapo itakuwa kweli mbona itakuwa mwisho wa nchi hii kuwa na matumaini yoyote ya walala hoi siku moja kuondokana na ulala hoi wao..!

Ndoto niliyoletewa iko hivi..!

2025! Makamu wa Rais atakuwa January Makamba, na waziri wa mambo ya nje atakuwa mtoto wa Rais mstaafu

Wakati nikiwa kwenye ndoto, sielewi hapa nitaelezaje, maana ni kama sikuipata picha kamili ya namna Makamba atakavyojikuta amekuwa Rais kamili hata kabla ya 2030!

Naombea hii ndoto isiwe kweli kwa sababu katika Taifa hili, kuna watu ni bora wabaki wa kubebwa tu na siyo kufikia ngazi ya Urais kamili
Labda Makamu wa Rais wa Simba SC kwa kusaidiana na 'mama mtoto' akirudishwa kwenye u-CEO.

Ova
 
Kuanzia 2015, Tanzania ni nchi ambayo mtu yeyote anaweza kuwa Raisi hata kama ni "popoma".
Succession plan na vetting ya urausi iliisha 2015. Hivyo boya yeyeto anaweza kuwa Raisi bongo hii kukubwa maboya wenzie "waliopo sasa" hivi wamkubali atalinda maslahi yao. Kwa iyo huyu dogo muiba mitihani Galanos anaweza kuwa raisi kwenye nchi hii ya mapopoma msimbeze. 😁
 
Back
Top Bottom