Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha....arrest warrant iko tayar[emoji1]Hizi IDs zenye 'Da' fulani mara nyingi wamiliki wake ni wa kiume
🤣🤣🤣🤣🤣Da Gulo kachangwanywa na pilau la leo na jamaa atakuwa kamnywea alkasus leo da gulo anasilimishwa
Ha ha ha....nyie wake zenu si mpk mshushiwe Toka mbinguni?[emoji1]Tuache kwanza kiongozi [emoji16]
Mambo yamebadilika mkuuHa ha ha....nyie wake zenu si mpk mshushiwe Toka mbinguni?[emoji1]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
💯🤝Hisia za wadada unaweza kuzijua hata kupitia whatsapp status
Wanaume bna.Dada una stress ya kuolewa sio bure. Na utasugua bench sana mpaka akili zako zitimie.
Siku hizi nyuzi za kukashifiana imani zimekuwa nyingi sana mimi naonaga za kikuda tu. Kila mtu aiheshimu imani ya mwenzakeIla hayo mambo ya udini sio kabisa
Da gulo atakua anatapatapa et mkuukm ww sio single maza, nipigwe ban
Mitandao inatupeleka puta.Siku hizi nyuzi za kukashifiana imani zimekuwa nyingi sana mimi naonaga za kikuda tu. Kila mtu aiheshimu imani ya mwenzake
🙏🙏🙏🙏Nilichogundua,
I'd nyng zinazomshambulia mtoa mada
Ni id za kikristo,kasoro Mimi tuView attachment 2596350
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
NI kutokana na SABABU zifuatazo
(1)Wanaheshimu Sana wake zao,na wanahudumia vizuri Sana.
(2)Wanaheshimu Sana dini ndo maana hata wakati wa Ramadhan Mambo mengi katika maisha hayaendi.mfano migahawa hufungwa baadhi,madukani ndo hivyooo,n.k
(3)Ni wasafi sana(hawawezi kujisaidia haja ndogo bila maji) hata wa mioyo ndo Mana Matajiri WENGI. Hata zinaa Ni kwa wachache kwa kuwa wanaruhusiwa kuoa wake 4. Hi husaidia kutopata nuksi,mikosi na mabalaa na hufanikiwa Sana kwenye shughuli zao
(4)Sio walevi kivile, na pia sio wa kufungua midomo hovyo hovyo kueleza mipango yao.
NB:AFADHALI KUOLEWA UKIJUA KUNA WENZIO WENGINE 3 KULIKO KUOLEWA KUJUA UKO PEKE YAKO KUMBE KUNA VINCHENCHEBE 30 NJE
Nakuona ukimnyemelea da gulo mkuuInabidi uwe na akili nyingi na kubwa sana mpaka kugundua hilo dadaangu hongera sana na ubarikiwe.. karibu sana katika UISLAMU
Mbona sijaona dada wa watu alipokashifu dini yoyote?[emoji848]Siku hizi nyuzi za kukashifiana imani zimekuwa nyingi sana mimi naonaga za kikuda tu. Kila mtu aiheshimu imani ya mwenzake