mxrereco
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 1,906
- 3,986
Unajipakulia minyama sioNilichogundua,
I'd nyng zinazomshambulia mtoa mada
Ni id za kikristo,kasoro Mimi tuView attachment 2596350
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajipakulia minyama sioNilichogundua,
I'd nyng zinazomshambulia mtoa mada
Ni id za kikristo,kasoro Mimi tuView attachment 2596350
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unatengeneza mazingira eeh, Ewe mgalatia achana na @da gulo😁😁Nilichogundua,
I'd nyng zinazomshambulia mtoa mada
Ni id za kikristo,kasoro Mimi tuView attachment 2596350
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Afadhali kuoa ukiwa Mkristo. Nyie wa kuolewa hiyo haituhusu.NI kutokana na SABABU zifuatazo
(1)Wanaheshimu Sana wake zao,na wanahudumia vizuri Sana.
(2)Wanaheshimu Sana dini ndo maana hata wakati wa Ramadhan Mambo mengi katika maisha hayaendi.mfano migahawa hufungwa baadhi,madukani ndo hivyooo,n.k
(3)Ni wasafi sana(hawawezi kujisaidia haja ndogo bila maji) hata wa mioyo ndo Mana Matajiri WENGI. Hata zinaa Ni kwa wachache kwa kuwa wanaruhusiwa kuoa wake 4. Hi husaidia kutopata nuksi,mikosi na mabalaa na hufanikiwa Sana kwenye shughuli zao
(4)Sio walevi kivile, na pia sio wa kufungua midomo hovyo hovyo kueleza mipango yao.
NB:AFADHALI KUOLEWA UKIJUA KUNA WENZIO WENGINE 3 KULIKO KUOLEWA KUJUA UKO PEKE YAKO KUMBE KUNA VINCHENCHEBE 30 NJE
Mkuu,Unajipakulia minyama sio
Mazingira yapi tena ERoni ?Unatengeneza mazingira eeh, Ewe mgalatia achana na @da gulo[emoji16][emoji16]
Na ukiweza kufake jinsia basi ndio mwanzo wa kujaribu kupanuliwa.Hizi IDs zenye 'Da' fulani mara nyingi wamiliki wake ni wa kiume
Ndio maana nikakuita mgalatia😁Mazingira yapi tena ERoni ?
Hapa tunajadili facts,sijipigii pande,
Mi mwnyw mbona kafiri wa kikatoliki wote mnanijua[emoji1]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣Sasa da gulo (Dada glory) hapa ndo umeharisha ushuzi gani?
Hapo sawa
Wananini?Wanaume bna.
Naomba nikuoe😁😁Sidhani km ni kweli hiz ni Imani tu na tabia ya mtu hawafanani wapo wanaume wa kiislam wenye tabiachafu sana na upande wa pili pia hivohivo
Nakuona ukimnyemelea da gulo mkuu
😀😀Naomba nikuoe😁😁
[emoji23]Umri umekutupa mkono,umempata Muslim akuoe mke wa nne Sasa unakuja hapa kujifariji.
😀😀😀Kama hujaolewa nikupe kaka yangu, bonge la HB halafu shombe shombe