Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Mbona ujasema hao unaowasifia ndio mabigwa wa kupita back door au unapenda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Same arguments could be made Kwa mwanamke wa kikristu vs muislamuNI kutokana na SABABU zifuatazo
(1)Wanaheshimu Sana wake zao,na wanahudumia vizuri Sana.
(2)Wanaheshimu Sana dini ndo maana hata wakati wa Ramadhan Mambo mengi katika maisha hayaendi.mfano migahawa hufungwa baadhi,madukani ndo hivyooo,n.k
(3)Ni wasafi sana(hawawezi kujisaidia haja ndogo bila maji) hata wa mioyo ndo Mana Matajiri WENGI. Hata zinaa Ni kwa wachache kwa kuwa wanaruhusiwa kuoa wake 4. Hi husaidia kutopata nuksi,mikosi na mabalaa na hufanikiwa Sana kwenye shughuli zao
(4)Sio walevi kivile, na pia sio wa kufungua midomo hovyo hovyo kueleza mipango yao.
NB:AFADHALI KUOLEWA UKIJUA KUNA WENZIO WENGINE 3 KULIKO KUOLEWA KUJUA UKO PEKE YAKO KUMBE KUNA VINCHENCHEBE 30 NJE
Taqqabbal minna waminkumEid Mubarak jamani tunawapenda wote[emoji120]
Binafsi naamini mleta mada ni mwanaume.Hizi IDs zenye 'Da' fulani mara nyingi wamiliki wake ni wa kiume
[emoji1][emoji1]Ndio maana nikakuita mgalatia[emoji16]
Da gulo (dangulo) alisahau nSasa da gulo (Dada glory) hapa ndo umeharisha ushuzi gani?
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Da Gulo kachangwanywa na pilau la leo na jamaa atakuwa kamnywea alkasus leo da gulo anasilimishwa
Da gulo hizi akili ni baada ya kushiba pilau naomba ukiwa na nja uje uandike tena kama ulivyo andikaNI kutokana na SABABU zifuatazo
(1)Wanaheshimu Sana wake zao,na wanahudumia vizuri Sana.
(2)Wanaheshimu Sana dini ndo maana hata wakati wa Ramadhan Mambo mengi katika maisha hayaendi.mfano migahawa hufungwa baadhi,madukani ndo hivyooo,n.k
(3)Ni wasafi sana(hawawezi kujisaidia haja ndogo bila maji) hata wa mioyo ndo Mana Matajiri WENGI. Hata zinaa Ni kwa wachache kwa kuwa wanaruhusiwa kuoa wake 4. Hi husaidia kutopata nuksi,mikosi na mabalaa na hufanikiwa Sana kwenye shughuli zao
(4)Sio walevi kivile, na pia sio wa kufungua midomo hovyo hovyo kueleza mipango yao.
NB:AFADHALI KUOLEWA UKIJUA KUNA WENZIO WENGINE 3 KULIKO KUOLEWA KUJUA UKO PEKE YAKO KUMBE KUNA VINCHENCHEBE 30 NJE