Afadhali kuolewa na Muislamu kuliko Mkristo

Same arguments could be made Kwa mwanamke wa kikristu vs muislamu

Wagalatia wamekua changamoto sana
 
Nchi hii hali ya watu kwenye ufahamu wa mambo bado sanaa,tunasafari ndefu sanaa maana wengi masuala ya jamii tuu wapo kizani.
Sasa kama huyu inaonyesha hata kutembea hajatembea sehemu nyingi kabla ya kuamua kutulia.
Kapata majibu kwa kuangalia tena watu anaowafahamu kisha kaleta mada kwa watu zaidi ya laki.
Njoo tukuoe sasa ndo utajua ni kwanini huwa hatushindi majumbani(kutwa kwenye kahawa) na hata tukiwa road hatuambatani na wake zetu. Njoo
 
Da gulo hizi akili ni baada ya kushiba pilau naomba ukiwa na nja uje uandike tena kama ulivyo andika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…