Afande Kagame: Wanajeshi huwa hawalalamiki?

Ni "Silaha" na sio ""Siraha""usituharibie kiswahili wewe mtusi koko,,alafu pia tunaomba sana Usitugombeze!!falaa wee!!!
 
Sasa sisi wenye nasaba za kinyankore na kinyambo mpaka kwenye majina,kule ndio utakua unapekuliwa daily na wale wanajiita special force
Wanapekua hadi hotelini! Hoteli zao zote zimejaa viwavi! Mimi nilikuwa naweka mitego ya kufa mtu nakuta hadi begi limepekuliwa ( ila kwa akili sana). Hawaamini mtu wale ...

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
I
 
Wanapekua hadi hotelini! Hoteli zao zote zimejaa viwavi! Mimi nilikuwa naweka mitego ya kufa mtu nakuta hadi begi limepekuliwa ( ila kwa akili sana). Hawaamini mtu wale ...

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Duh basi atakuwa na wasiwasi sana na Utawala wake. Hayo mambo yanamwisho huwezi kuishi namna hiyo itakuwa ana madudu mengi na maadui wengi
 
Kwa hiyo na ug nao wanafadhiki pia m23, halafu pia wakawa na uhusiano usio mzuri na Rwanda au ilikuwa geresha
 
Yeye si yuko vizuri na jeshi la kisasa awatwange tu mpaka waishe, atumie drone zake zile hao wanaowasaidia wenyewe wataacha au kukimbia.
Tatizo anachanga karata zake za kisiasa vibaya.Anasahau hata yeye aliingia kwa njia ya vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…