Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
- #141
Mshaanza ligi🤣🤣Unataka wakakufukue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshaanza ligi🤣🤣Unataka wakakufukue
Yule pimbi anatakiwa apelekwe the Hague.. maana yeye ndo alitungua ile ndege iliyobeba marais wawili..wahutu wakachafuka wakaanza kuua watusiWatakuua ukiongea hivyo Kigali
Loss,alipoteza wanajeshi wengi sana waliokua wanajiita M23.Mpaka leo anamchukia kikweteNini kilimkuta Mkuu
Yeye ndio master plana wa genocide.Upo sahii mkuuYule pimbi anatakiwa apelekwe the Hague.. maana yeye ndo alitungua ile ndege iliyobeba marais wawili..wahutu wakachafuka wakaanza kuua watusi
Ukiua kwa upanga,utauawa kwa upangaDuh basi atakuwa na wasiwasi sana na Utawala wake. Hayo mambo yanamwisho huwezi kuishi namna hiyo itakuwa ana madudu mengi na maadui wengi
Mm mbongo tu mkuuHapo sawa nilidhani mnyarwanda
Afande Kagame ni mkombozi na mlinzi wa jamii ya kitusi hapa maziwa makuuAfande Kagame siku nyingine najua unapitia pitia mitandao ya kijamii ya Watanzania iliyoandikwa kwa lugha za Kiswahili ama Kingereza kama Jamii Forums na kadhalika.
Afande najua hupendi kuulizwa maswali ila mimi ngoja nikuulize swali, mbona unakuwa muoga wa kurudi frontline kupambana na haya makundi FDLR, RLA, PRA, RUF,PDR na mengine mengi ambayo sijayataja hapa wakati wewe ndio uliwafukuza madarakani tokea 1994?
Unadhani watakaa Congo DRC, Tanzania, Kenya, South Sudan, Burundi, Uganda, USA, Canada na Australia mpaka lini kwenye hali ngumu kimaisha na kiukimbizi wakati Rwanda ni nchi yao pia?
Wengi wa wanajeshi uliowapindua wameshakufa vimebaki vizazi vipya ambavyo dhumuni lao kubwa ni kurudi Rwanda iwe kwa nguvu au kwa demokrasia. Wewe mwenyewe ulikaa Uganda na Tanzania miaka mingapi kama mkimbizi mpaka mjomba Museveni alipokupa mipango ya kurudi Rwanda au umesahau?
Usiogope kupambana afande Kagame, sababu anayeua kwa upanga lazima atauawa kwa upanga. Au umesahau kuwa dunia nayo ilikuwa inaona jinsi RPF ilivyokuwa inaua Wahutu na Wakongomani ndani ya Rwanda na ndani ya Congo DRC majimbo ya Kivu Kaskazini na Kivu Kusini kulipiza kisasi cha genocide ya Watusi ya mwaka 1994 iliyofanywa na serikali ya Habriymana?
Sawa ipo wazi kuwa Habyrimana alikua mbaguzi, katili, mkabila na asiyependa demokrasia hilo linajulikana, ila na wewe toka uchukue madaraka kutoka kwenye kivuli cha Bizimungu umekua kama yeye, hakuna tofauti!
Sasa usiogope kurudi frontline kupambana na ukumbuke kuwa Rwanda hakuna uchaguzi huru toka Mbeligiji aondoke, bali mtutu wa bunduki ndio unaamua mtawala.
Mchawi wala sio Wakongomani au Watanzania au Warundi au Waganda bali mchawi ni wewe mwenyewe uliyevuruga mambo kwa kuukumbatia ukabila na ulevi wa madaraka kama role model wako mjomba Museveni.
Sasa Afande Kagame acha kulalamika kama sio mwanajeshi mbobezi, bali usiogope kurudi uwanja wa mapambano kushika bunduki na kuongoza vikosi na ipo siku usiyotegemea watu watasogea Kigali.
Yaliyomkuta Kanali Doe pale Monrovia na wewe yanaweza kukukuta siku watu wakisogea Kigali na wewe ukiwa haujaondoka ikulu. Au umesahau Mobotu alivyoponea uchupu chupu kule Gabolite alipogoma kuondoka Zaire ya zamani mwaka 1997?
Acha uoga afande, wewe uliingia madarakani kwa mtutu wa bunduki, basi na watu wakitaka kukutoa madarakani kwa mtutu wa bunduki "Usilalamike".
Hakuna tofauti kati ya jamii za kitusi na jamii nyingine hapa maziwa makuu.Afande ni mbinafsi,mpenda madaraka na askari muoga anayeogopa kurudi frontline.Tatizo jamii za watusi hapa maziwa makuu ni wabinafsi,wapenda madaraka na wabaguzi,na afande Kagame ana hulka hizo hizo kupendelea watu wa jamii zake.Afande Kagame ni mkombozi na mlinzi wa jamii ya kitusi hapa maziwa makuu
Afande Kagame aliwaokoa watusi wa Rwanda na maafa mwaka 1994 na baadae Wanyamulenge wa huko Drc dhidi ya dhulma za Mobutu......hii jamii imeonewa Sana hapa maziwa makuu.Hakuna tofauti kati ya jamii za kitusi na jamii nyingine hapa maziwa makuu.Afande ni mbinafsi,mpenda madaraka na askari muoga anayeogopa kurudi frontline.Tatizo jamii za watusi hapa maziwa makuu ni wabinafsi,wapenda madaraka na wabaguzi,na afande Kagame ana hulka hizo hizo kupendelea watu wa jamii zake.
Unazielewa siasa za rwanda Mkuu,since independenceAfande Kagame aliwaokoa watusi wa Rwanda na maafa mwaka 1994 na baadae Wanyamulenge wa huko Drc dhidi ya dhulma za Mobutu......hii jamii imeonewa Sana hapa maziwa makuu.
We Mrundi unashida kweli kweli, haya kamata huo mtutu basi ukamtoe maana nanona General Kagame is living rent free in your head.Kagame hashauriki mpaka mitutu ya bunduki ifike tena kigali.Kama yeye alivyomfanyia Habriymana.
Mkuu umecatch feelings mimi kutoa maoni yangu up here??????Mtutu waga haukamatwi bali unashikwa mkuu,warundi wanaweza kukusaidia katika hili.Na kuna tofauti ya ujenerali wa kujipachika na ujenerali halisia.We Mrundi unashida kweli kweli, haya kamata huo mtutu basi ukamtoe maana nanona General Kagame is living rent free in your head.
Ndio nilichoamua mkuu,au unakwazika mimi kujadili siasa za rwanda mkuu???Kila unacho andika humu JF in kuhusu Kagame tuuuuuu
Changia mkuu,maoni yako ni muhimuNipo ingawaje sina cha kuchangiaView attachment 2596391
Naogopa kuongopa mtanitoa nishaiChangia mkuu,maoni yako ni muhimu
Hapana mkuu karibu sana,uwanja huru huu???Naogopa kuongopa mtanitoa nishai
Kikwete kupeleka askari ilikuwa ni baada ya ugomviMh Kikwete alipeleka Jeshi ambalo lilisambaratisha M 23 kwa wiki mbili vita yao ndio ikaanzia hapo...
Kikwete kupeleka askari ilikuwa ni baada ya ugomviilikua plan ya SADIC