Afande Kagame: Wanajeshi huwa hawalalamiki?

Afande Kagame ni mkombozi na mlinzi wa jamii ya kitusi hapa maziwa makuu
 
Afande Kagame ni mkombozi na mlinzi wa jamii ya kitusi hapa maziwa makuu
Hakuna tofauti kati ya jamii za kitusi na jamii nyingine hapa maziwa makuu.Afande ni mbinafsi,mpenda madaraka na askari muoga anayeogopa kurudi frontline.Tatizo jamii za watusi hapa maziwa makuu ni wabinafsi,wapenda madaraka na wabaguzi,na afande Kagame ana hulka hizo hizo kupendelea watu wa jamii zake.
 
Afande Kagame aliwaokoa watusi wa Rwanda na maafa mwaka 1994 na baadae Wanyamulenge wa huko Drc dhidi ya dhulma za Mobutu......hii jamii imeonewa Sana hapa maziwa makuu.
 
Afande Kagame aliwaokoa watusi wa Rwanda na maafa mwaka 1994 na baadae Wanyamulenge wa huko Drc dhidi ya dhulma za Mobutu......hii jamii imeonewa Sana hapa maziwa makuu.
Unazielewa siasa za rwanda Mkuu,since independence
 
We Mrundi unashida kweli kweli, haya kamata huo mtutu basi ukamtoe maana nanona General Kagame is living rent free in your head.
Mkuu umecatch feelings mimi kutoa maoni yangu up here??????Mtutu waga haukamatwi bali unashikwa mkuu,warundi wanaweza kukusaidia katika hili.Na kuna tofauti ya ujenerali wa kujipachika na ujenerali halisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…