Prof Jay hakujitoa, alishiriki mpaja mwishoHivi huyu bwana kwa mara ya mwisho alitoa wimbo gani? Manake hata nyimbo zake zimeshasahaulika masikioni mwetu, ila nakumbuka kipindi fulani alikuwa ndo 'King of Rymes' na Profesa J alijitoa kwenye hayo mashindano.
Chezea bhangi wewe, kuna jamaa yangu wakati tukiwa shule ya Sekondari Day tunaishi nyumba ya kupanga, sasa siku moja week'nd tumnatembea njiani tukawa tunaona ananyanyua miguu kwenda juu sana, tukimuuliza mbona unatembea hivyo, anasema hakuna kitu, kesho yake akatwambia alienda kwa mzee fulani ambaye alikuwa jirani na nyumba tuliyokuwa tunaishi, akavuta bhangi ya kibuyu ambayo inawekewa maji, mchanga na inavutwa kwa mrija sasa wakati anatembea akawa anona kama barabara ina mabonde mabonde.
Bora bafande ametafakari kuliko mkuu wa mkoa wa morogoro alikua analilia kutenguliwaShida moja ya bangi inakufanya uwe na imagination za ajabu sana ,ngoja niache hii kitu i mean nipunguze nisije anza kuabudu papuchi ,
Nimeshaivunjilia mbali........!Ulikuwa unanunua sababu ya Dini? and then lazima utakua muongo hebu onesha Tape au CD ya Afande sele uliyowahi nunua.... Wabongo kutwa kudowload au kwenda kwa vile vijamaa vinavyokusanya nyimbo za wasanii na kurekodia watu mbali mbali nyimbo mchanganyiko kwa bei chee
Usiamini sana macho .
Mfano
jua likiwa kali mchana utaona kwenye lami ktk upeo wako kuna maji na ukisogea karibu macho yako yatakuonyesha hamna maji kwenye lami.
Afande sele Anaamini jua ndio Mungu kwa sababu analiona na ndio maana haamini asichokiona. LAKINI pia ametuambia atakapokufa achomwe moto ili afufuliwe na malaika kwa sababu malaika wameumbwa na moto hataki kuzikwa kufufuliwa na udongo kuwa binadamu tena.
Kama anaamini macho atuonyeshe malaika anaewaamini wapo na atafufuliwa kama malaika (je malaika ni zile nyota?, au ule mwezi ndio malaika?)
Ameamini Mungu ni jua kwa sababu ameliona kwa macho. Hajatuambia anaamini malaika wapo amewaona wapi?? Kama kweli yeye anaamini anachokiona ili akifufuliwa awe malaika.
Hana tofauti na Wakristo wanabudu Mungu wao siku ya jma2 yaan SUNDAY INAMAANA SUN-JUA NA DAY-SIKU KWio Sunday ni siku ya waabudu Jua duniani kote.
Ni kweli tumeletewa, lakini hata bhangi tumeletewa pia.Dini tumeletewa kwani huongo
Yeah,,...sasa yeye kachagua kimojawapo kati ya tulivyoletewa...tatizo mnatoka mapovu as if nyinyi ndio mko sahihi kwa kuchagua hicho mlichochagua kati ya tulivyoletewa.Ni kweli tumeletewa, lakini hata bhangi tumeletewa pia.
Tumechagua kile ambacho madhara yake kwenye ubongo ni madogoYeah,,...sasa yeye kachagua kimojawapo kati ya tulivyoletewa...tatizo mnatoka mapovu as if nyinyi ndio mko sahihi kwa kuchagua hicho mlichochagua kati ya tulivyoletewa.
Kweli mkuu God created weed man made beer.In God we trust.Kwanza wavuta bange ni wengi sana katika wasanii. Ni kama kusema si rahisi kukuta msanii asiyetumia Bob Marley.
Mnasubiri mpaka watangaze kuacha dini zenu ndio mje hapa kuwalaumu eti wanavuta Ganja?.
NDIO MNAJUA LEO???.
.
KWQ TAARIFA YENU:-
BANGI NI DAWA. NA UJERUMANI IMEPITISHA.MUSWADA BUNGENI ILI BANGI ITUMIKE KAMA TIBA . KWW WAGONJWA WA SARATANI, KUTETEMEKA NA IKIMWI WAMEKUA WAKIUTUMAINIA SANA HUU MMEA.
MWANA FILOSIFIA TO ROBERT NESTA MARLEY ALIWAHI KUSEMA IS GOD CREATED THIS HERB.
SO HUENDA KUPITIA MATUMIZI HAYA„…AFANDE SELE AMEJIKOMBOA…kwa kutibu afya ya akili yake.[emoji106]
Lini anagombea ubunge?
sawa,.ila Huwez kuabudu jua kama uko timamu kiakili,.....mpumbavu zaidi nadhani ni wewe,
Kama anajua Mungu yupo kwanini aabudu jua wakati MUNGU aliyetuumba tumuabudu yupo,.....?Kwani kasema hakuna Mungu,...mmmh..?
Angalia usijekuwa wewe ndio mpumbavu mkuu.