Afande Sele aachana na Uislamu, sasa anaabudu Jua!

Afande Sele aachana na Uislamu, sasa anaabudu Jua!

Shida moja ya bangi inakufanya uwe na imagination za ajabu sana ,ngoja niache hii kitu i mean nipunguze nisije anza kuabudu papuchi ,
 
Kama wanaabudu kwa kuota jua wengi wanahudhuria hizi ibada bila kujua.

Ila kwa kua sijui linaabudiwa vipi jua basi zishushwe nondo hapa
 
Freedom to worship, ila hapo kwenye kuchomwa moto anazingua.
 
Iman ya kuabudu jua ilikuwepo kabla hata yesu wala musa hajakuja. Kwahyo yy sio wakwanza kuabudu jua
 
Nachomkubali Afande ana tungo za maana na mafundisho mazuri sana. Hizo tofauti zetu hazitaishaga, wapo wanaoabudu mpaka kenge a mijusi, so imani ni mchanganyo mchanganyo. Mungu atabaki kuwa Mungu hata kama tutachanganyana milele
 
Kuanzia leo sinunui kazi zake tena, na nilizonazo naenda kuchoma moto....!
Ulikuwa unanunua sababu ya Dini? and then lazima utakua muongo hebu onesha Tape au CD ya Afande sele uliyowahi nunua.... Wabongo kutwa kudowload au kwenda kwa vile vijamaa vinavyokusanya nyimbo za wasanii na kurekodia watu mbali mbali nyimbo mchanganyiko kwa bei chee
 
Hivi huyu bwana kwa mara ya mwisho alitoa wimbo gani? Manake hata nyimbo zake zimeshasahaulika masikioni mwetu, ila nakumbuka kipindi fulani alikuwa ndo 'King of Rymes' na Profesa J alijitoa kwenye hayo mashindano.
 
Back
Top Bottom