Safi sana Mkuu, hapo umeelewekaTrue usiruhusu mazoea ya kijinga Na watoto wako,kwanza ni ushenzi mie huwa spendi kabisa mtoto mdogo aitwe mchumba,yaani mtoto wanamfanya ufikirie uchumba tu.Bora mwanangu aitwe kajina kanakompa motivation ya kusoma siyo majina ya mchumba.Spendi kabisa
Soma tena mkuu hujamuelewa... amesema alikujakusikia habari yakanumba baadayakifo chake sio kabla
AFANDE SELE Kaongea vitu ambavyo Hatupend sikia Kabisa[emoji3][emoji3]Sahihi kabisa. Kwa hili,afande sele kanena haswa
NdioAFANDE SELE Kaongea vitu ambavyo Hatupend sikia Kabisa[emoji3][emoji3]
Usiku huo club Lulu alikuwa na nani!!??
Nani alimruhusu awe maeneo hayo usiku huo!??
Alimgusa Afande bega kwa nia gani!?
... Afande haoni kama huyu Lulu wazazi wake walishampindisha kimaadili hata kabla ya kukutana na Kanumba!?
Kwanini ajiweke upofu na Zigo lote kumtupia Marehemu..!?
Afande anasema anamchukia marehemu mpaka sasa..!? Wewe kama nani!? Wewe Mungu!?
Mungu anasamehe... Wewe Afande ni nani!!????
Tatizo tumezoe a UNAFIKI na kupeana sifa za uongo mtu anapokufa. Ila hakuna aliposema kafurahia kifo cha Kanumba acha urongo na wewe.
Huyo jamaa anaejiita Afande anasumbuliwa na moshi mwingi wa bange kichwani kwake.
Na wewe ni nani wa kumpangia Afande Sela muda wa kumsamehe. Na ni nani aliyekufundisha kwamba msamama ni sharti la lazima.
Binadamu kama nyinyi ndiyo tunaotakiwa kuwafundisha kwamba msamaha ni kitu cha hiari na nikitaka kukuchukua maisha yote ninaweza na ninaweza kukuchukia hadi milele.
Mimi ninamchukia Idi Amini hadi milele. Kuna watu watamchukia Juliu Nyerere hadi milele. Kuna watu watamchukia Oscar Kambona hadi milele.
Na ninajua kuna watu watanichuki mimi hadi milele.
Pambafu kama hujui haya.
Tigo pesa si ndio wale wa jazwa ujazwe?sema hivi !niklupe namba yangu ya tigopesa !unazunguuukaaaa! mods tumdoboleshe xmas tutarusha mijipicha hatar humu !teh
Tigo pesa si ndio wale wa jazwa ujazwe?
Basi nipe namba hio tujazane
ayyyyyaaaaa nimecheka kuona hii picha mkuu..... ni kama cover ya movie za kihindi vile, ukimpata editor mzuri apo inakuwa bombastic.
ayyyyyaaaaa nimecheka kuona hii picha mkuu..... ni kama cover ya movie za kihindi vile, ukimpata editor mzuri apo inakuwa bombastic.
Kwa nn hupendi kujibu pm zanguahhaahha mwanaume una mbwembwee