Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Asipokufa itadhihirisha kwamba Mola anaamua atakalo yeye na sio watakalo waja.Asipokufa itadhihirisha kwamba dini zao Ni ushuzi tu na ntaanza kuabudu bange pamoja na Afande. Nahesabu siku kuanzia leo.
Qur an 81: 29 Allah anatuambia kwamba "And in no way can you decide except "when" Allah "so" decides, The Lord of the worlds".
Katika mapokeo mangine tunaambiwa, Laiti wangekusanyika wanaadam wa dunia nzima kutaka kumdhuru ambae Allah hajataka adhurike basi hawatoweza kumduru mja huyo, na ikiwa watakusanyika wanaadam wa dunia nzima kutaka kumnufaisha ambae Allah hajataka anufaike basi hawezi kunufaika mtu huyo.
Kwahiyo mkuu wewe hesabu siku na zikifika nenda kaabudu bange, wala hunikomoi mimi wala mhumkomoi Kishki.