Afande Sele atashtakiwa kwa kosa gani baada ya kumtukana Mungu?

Afande Sele atashtakiwa kwa kosa gani baada ya kumtukana Mungu?

Aisee ndio leo namsikia huyu shekhe, BTw Naomba radhi post yangu kama itakua haina maadili.
Naskia kuna msemo unasema "no research no right to speak"

Just google "Sheikh kishki on Magufuli" or "sheikh kishki in Tanzania"

Huyu mtu kutokana na analofanya anayo connection kubwa sana hapa nchi kwa serikali kuanzia ya Kikwete mpaka hii iliyopo. Mlezi wa taasisi yake ni Mzee Ali Hassan Mwinyi na hufanya mashindano yake evry year na mwaka mmoja mgeni rasmi alikuwa ni Muheshimiwa Hayati John Pombe Joseph Magufuli. Nadhani mwaka jana tu kwa sababu ya Corona ndio event zake hazijafanyika.

Anyway, one love mkuu!
 
Nakumbuka hata Mange Kimambi alisomewa dua, ili afe, lakini mpaka leo hii Mange ni mzima wa afya na anaendelea na maisha yake.
Hizo "dua" hazina nguvu yoyote ya kutoa "uhai" wa mtu.
 
View attachment 1730129

Baada ya kujirekodi akimtukana Mungu, hatimaye Afande Sele amesomewa dua ya kumuomba Mwenyezi Mungu amchukue kabla ya Ramadhan.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] na akifa anachomwa moto.maana afande alisema kuwa akifa achomwe moto.afande awe makini waislamu wanafuga majini watamrushia yanywe damu yake
 
Kumuita hilo neno co vizuri mkuu, halafu wewe ni muislamu kama cjakosea unajua zuri na baya
adjective BOGUS
  1. not genuine or true (used in a disapproving manner when deception has been attempted).
    "a bogus insurance claim"
Huyu Shekhe hakupaswa kumshauri Mungu ili aitoe roho ya Afande Sele

Mungu ni mwingi wa rehema na ni mwenye kusamehe
 
acha kuikashfu bangi mzee
Mkuu sikuwa na maana ya kukashifu maana me ni mwana chama tangu mwaka 1990 adi sasa nina miliki ka bustani kadogo ndani ya himaya yangu kwa ajili ya mboga na matumizi mengine
 
afande sele anajidai anampenda magufuli kama anampenda magufuli aende akazikwe naye hili shetani afadhali limekufa lilikuwa linatuharibia nchi yetu
 
Mkuu sikuwa na maana ya kukashifu maana me ni mwana chama tangu mwaka 1990 adi sasa nina miliki ka bustani kadogo ndani ya himaya yangu kwa ajili ya mboga na matumizi mengine
ohoo!! heshima yako!!!. sijawahi kuipika ukipika mboga yake vipi ina stimu?
 
Kishk[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hapa lazima wataibuka masheikh wengine kumpinga
 
Back
Top Bottom