Afande Sele atashtakiwa kwa kosa gani baada ya kumtukana Mungu?

Asipokufa itadhihirisha kwamba dini zao Ni ushuzi tu na ntaanza kuabudu bange pamoja na Afande. Nahesabu siku kuanzia leo.
Asipokufa itadhihirisha kwamba Mola anaamua atakalo yeye na sio watakalo waja.

Qur an 81: 29 Allah anatuambia kwamba "And in no way can you decide except "when" Allah "so" decides, The Lord of the worlds".

Katika mapokeo mangine tunaambiwa, Laiti wangekusanyika wanaadam wa dunia nzima kutaka kumdhuru ambae Allah hajataka adhurike basi hawatoweza kumduru mja huyo, na ikiwa watakusanyika wanaadam wa dunia nzima kutaka kumnufaisha ambae Allah hajataka anufaike basi hawezi kunufaika mtu huyo.

Kwahiyo mkuu wewe hesabu siku na zikifika nenda kaabudu bange, wala hunikomoi mimi wala mhumkomoi Kishki.
 
Umesema sawa kabisa mkuu.
 
Usipotoshe mkuu!

Hawa watu kina nani?

Wala usizungumze for the sake of kuzungumza tu.
Sina haja ya kupotosha mkuu!
Nilimaanisha watu wa rangi hiyo (Arabs?) Huyu anafaa kuongozwa ili atoke kati mwenendo wake huo. Naamini kama angekua nchi za Uarabuni angeuawa
 
well said!
 
Apo mnachochea moto tu, Afande asipokufa kabla ya hio ramadhani huoni kuwa atapata nguvu zaidi ya kudharau dini?

Watu kama yule jamaa ni wa kuwaacha tu.
Fact na Mungu huwa mda mwingine hahangaiki na Mambo madogo Kama haya!
 
Sina haja ya kupotosha mkuu!
Nilimaanisha watu wa rangi hiyo (Arabs?) Huyu anafaa kuongozwa ili atoke kati mwenendo wake huo. Naamini kama angekua nchi za Uarabuni angeuawa
Kwahiyo ndugu now tunatambuana kwa rangi zetu?????

Sheikh Kishki ni Mtanzania wa kuzaliwa, kukulia, kusoma na kila kitu chake. Tusiwe na hulka hii.....

Anayo fanya Sheikh kishki kwa nchi yake (Tanzania) baadhi yetu wala hatujawahi kuyafanya na hatutaweza kuyafanya kamwe.

Kuhusu afande sele angekuwa nchi ya kiarabu angeshauwawa huo ni mjadala on it's own.
 
Aisee ndio leo namsikia huyu shekhe, BTw Naomba radhi post yangu kama itakua haina maadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…