Kweli, nimesoma michango mingi naona ni uccm wa Sele na uchadema wa Sugu basi... wajinga sana hawa wachangiaji wafata mkumbo..SUGU ni snitch kwani hilo halijulikani? au kisa Mbunge wa Mbeya na Mwana Chadema? SUGU aliwahi waambia ilikuaje akaitosa ANTI-VIRUS kipindi ambacho wanapigania wote maslahi ya wasanii toka CMG!?.. Kuna watu ni Bendera Fata Upepo humu, mnamshambulia Afande Selle bila jua anachoongea ni Ukweli au Uongo, au kisa Kahamia CCM na alipotea kwenye Game ndio basi hakuwahi kuienjoy Supremacy?.
Watu hupenda sikia kile wanachofikiri!.
Exactly na kama sijasahau aliyewapatanisha CMG na Sugu alikuwa Nchimbi!.. Lakini mapatano yao hayakuwa kwa maslahi ya Wasanii Vs CMG yalikuwa Sugu Vs Ruge!.. Anti-virus walichukia sana kuona wametumika vibaya na wakati ambapo Sugu angeweza tumia nguvu yake (ubunge) kuwasaidia wao akawasnitch!.Kweli, nimesoma michango mingi naona ni uccm wa Sele na uchadema wa Sugu basi... wajinga sana hawa wachangiaji wafata mkumbo..
Afande anasema sugu alisnitch kwa million 60Exactly na kama sijasahau aliyewapatanisha CMG na Sugu alikuwa Nchimbi!.. Lakini mapatano yao hayakuwa kwa maslahi ya Wasanii Vs CMG yalikuwa Sugu Vs Ruge!.. Anti-virus walichukia sana kuona wametumika vibaya na wakati ambapo Sugu angeweza tumia nguvu yake (ubunge) kuwasaidia wao akawasnitch!.
Anti-virus album part 1&2 yawezekana watoto hawaijui humu lakini wanajua kumtetea tu kilofa!.
Kuhusu hela hilo sijui yawezekana malubaliano ya msamaha jamaa akataka alipwe 60M maana ugomvi wao si ulianzia kwenye dili flani kama sijasahau (la Net) toka USA walimdhulumu Sugu!.Afande anasema sugu alisnitch kwa million 60
Hivi ulikuwa ni mchongo wa net kumbeKuhusu hela hilo sijui yawezekana malubaliano ya msamaha jamaa akataka alipwe 60M maana ugomvi wao si ulianzia kwenye dili flani kama sijasahau (la Net) toka USA walimdhulumu Sugu!.
Sure yaniUyu na wehu wachache ndio wanasababisha wavuta bangi tuonekane hatuna maana kabisa.
[emoji23][emoji23] Afande kachanganya mafaili naona yaani yeye ndio kamlipa kodi ya nyumba Sugu.
Dah Ule MOSHI Una matatizo sana.Noma na nusu huko facebookView attachment 746409
Sio moshi tatizo ni afande sele mwenyeweDah Ule MOSHI Una matatizo sana.
Sasa kama bifu lilianza kwa mambo binafsi ya kudhurumiana waliodhurumiana wakipatana ni usnitch?Kuhusu hela hilo sijui yawezekana malubaliano ya msamaha jamaa akataka alipwe 60M maana ugomvi wao si ulianzia kwenye dili flani kama sijasahau (la Net) toka USA walimdhulumu Sugu!.
Afande sele Wewe nimfalme haipaswi kuongea mambo ambayo hayana maana.Noma na nusu huko facebookView attachment 746409
Ukweli ambao watu hawapendi kuusikia japo moyoni wanaujua ni Sugu kuwageuka wenzake kisa pesa.Kuhusu hela hilo sijui yawezekana malubaliano ya msamaha jamaa akataka alipwe 60M maana ugomvi wao si ulianzia kwenye dili flani kama sijasahau (la Net) toka USA walimdhulumu Sugu!.
Words mate!... Nakubaliana na wewe lakini kuna snitches wao hawataki amini kilichotokea ni kosa!.. Sawa na Jide leo arudi omba msamaha utaona maneno yao.Ukweli ambao watu hawapendi kuusikia japo moyoni wanaujua ni Sugu kuwageuka wenzake kisa pesa.
Utamkuta mtu anawatukana mapacha kwa kurudi clouds kuomba msamaha halafu hapo hapo anamsifu sugu.
Sugu aliwatumia wenzake kama daraja kumbe wakati wao wakipigania maslahi ya wasanii yeye alikuwa akiwatumia kwa masrahi binafsi na alipo fanikiwa akaenda kimya kimya bila hata kuwataarifu kwakuwa alikuwa akijua analolifanya siyo sawa ingekuwa saqa angewataarifu.
Sema wafia vyama na die hard fans hawapendi kusikia ukweli huu jamaa hapa alizingua haijalishi ni legend kiasi gani na mziki kautoa wapi ila ndiyo ukweli
Sawa naona ndio uwezo wa akili ulipoishia!.. Sihitaji kukuelekeza sana mambo ya mtaani, hauwezani nayo!.Kama C alikuwa na ugomvi na B na A naye ana ugomvi na B migogoro hii miwili ni kutoka two separate course of actions sioni kama kuna usaliti A akiamua kumaliza ugomvi wake na B kama kilichokuwa kimesababishwa ni kudhurumiwa pesa ameombwa msamaha na kulipwa pesa zake.