Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tufanye haraka kumpeleka hospitali,yale majani anayovutaga hayajawahi kumuacha mtu salama,Sele kwenye ubora wake
Hahaha duh ni zaidi ya zalausele tangu arudi zizini amekuwa kama adija koppa
Ni swali la msingiMbona kama alieshambuliwa humo ni G sollo pekee?
Anyway... Kwani chanzo cha hayo yote ni nini?
Sana tu mkuNaota na weweseka
Natupa shuka nashtuka
Naskia sugu akiniita,akilalamika
Nauliza vipi sugu?
Anazidi kulalamika
Mziki bongo haulipi mwanangu mi nang'atuka
Mwili unakosa nguvu,nahisi kama naanguka
Maana bila sugu halipo nsingefika
Mtu na pesa hiyo,sijui kama nimepatia
Kwani G Solo ndo Solo thangHakuna S, Bila O
L Bila O, Mwingine aitwe Thang Bila Solo
Shupavu awajibike Kama Apollo
J Afande ni Ukuta, Wapi Chochoro
Mtazamo Bonge la Wimbo Afande Sele&Solo Thang
iyo movement ya Intervirus ndo nn mkuuAlikuwa msanii ila sio maarufu Sana kama
kama afande sele, G solo pia ni mshkaji wake na sugu mpaka leo, naye Alikuwa kwenye movement ya Antivirus
Tufanye haraka kumpeleka hospitali,yale majani anayovutaga hayajawahi kumuacha mtu salama,View attachment 748506
sidhani Kama kweli, mie nadhani ni hasira tu. Wakati harakati zimepamba moto, mimi kwa masikio yangu nilimsikia sugu tena wakiwa wote ktk kipindi cha the crouz cha John dilinga East Africa Radio, mwaka 2001, akisema kwa sasa nguvu nyingi nimeelekeza kwa mwanangu Afande sele ili nae asimame. wakati huo wakiutambulisha wimbo wa Afande sele wa wachakupiga mayowe.Noma na nusu huko facebookView attachment 746409
Anataka aandikwe gazetini hakuna lolotesidhani Kama kweli, mie nadhani ni hasira tu. Wakati harakati zimepamba moto, mimi kwa masikio yangu nilimsikia sugu tena wakiwa wote ktk kipindi cha the crouz cha John dilinga East Africa Radio, mwaka 2001, akisema kwa sasa nguvu nyingi nimeelekeza kwa mwanangu Afande sele ili nae asimame. wakati huo wakiutambulisha wimbo wa Afande sele wa wachakupiga mayowe.
Kuna siku alinukuliwa na MWANASPOTI akisema HAJAWAHI KUWA MSHKAJI NA PROF. JAY WALA SUGU!sele tangu arudi zizini amekuwa kama adija koppa
Wavutaji hatuko hivohuyu bangi imemshinda
Hahah!! Nikweli mkuu;bange;
Pia alikuwa mmiliki wa Kamakawa Records iliyomtoa producer mahiri Marco ChaliAlikuwa msanii ila sio maarufu Sana kama
kama afande sele, G solo pia ni mshkaji wake na sugu mpaka leo, naye Alikuwa kwenye movement ya Antivirus
Umewahi kusikia ule ugomvi wa sugu na ruge???iyo movement ya Intervirus ndo nn mkuu
NoKwani G Solo ndo Solo thang
Hahaa!!! Ipo sehemu gani morosio kubwa kivile nisehemu flani tu yakuchilax ...kuna mahema ...ukitaka kulala unalala ...na alipokamatwa afande akawekwa lokapu sababu ilikuwa ndo iyo ile baa ilifungiwa kuwa sio sehemu salama ya watu kupata urabu na kulala wakalala hapo. sasa baada yakuamia ccm ndipo walipo ifungua iyo baa.
ExactlyPia alikuwa mmiliki wa Kamakawa Records iliyomtoa producer mahiri Marco Chali
Hahaha tiGO ndio walikua wadhamini