Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Jamaa yako huwa anajgamba kuvuta gugu,unamtetea ukiwa juu ya mti au unatwanga kisamvu?Ok anavuta bangi, vipi kuhusu hoja yake? Mbona kama wewe ndo mvuta bangi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa yako huwa anajgamba kuvuta gugu,unamtetea ukiwa juu ya mti au unatwanga kisamvu?Ok anavuta bangi, vipi kuhusu hoja yake? Mbona kama wewe ndo mvuta bangi!
Aiseee sukuma gang mmechanganyikiwa kabisa baada ya mungu wenu kufa
Hujitambui MTU akiongelea mabaya ya serikali yako unasema ni sukuma gang?Kumbe tatizo siyo mama, ila ni usukuma gang wako, pole lakini
Statement yako inaonyesha wewe ni mtu wa namna gani na kama watanzania wengi ni kama wewe basi hatutaendelea kamwe !!!, Kwahio wewe unaona issue sio wafujaji bali ni wale wanaosema sababu wamekosa mrija ?!!! Nilidhani busara ingekutuma kuangalia maovu na sio kuangalia nani kasema hayo maovu..., hata jambazi akikemea basi asisikilizwe sababu ni jambazi ?So tatizo lako wewe ni kukosa mrija wa kulambia asali,
Na hapa pia unaonyesha vipi unaongea tu bila kufanya due dilligence tafuta uzi zangu / statement zangu kipindi chake..., nilikuwa mmoja wa waliokuwa wanampiga nyundo ila kwa sasa sioni sababu ya ku-concetrate kwenye past wakati present yenyewe imeoza (hio itakuwa ni wastage of time /resources)enzi za mwendakuzimu ulikuwa kimya
Wangekuwa kweli wanaongelea mabaya kwa nia njema basi wangekuwa wanasikilizwa, lakini wanaongelea mabaya kwasababu ya chuki zao binafsi na usukuma gangHujitambui MTU akiongelea mabaya ya serikali yako unasema ni sukuma gang?
Usipanik mkuu, wewe tulia sindano ikuingie upone. Sema tatizo Watanzania hawaji tena kuwapa nchi watu aina ya sukuma gang labda dunia ianze upya.unakanyagwa
Kinachowaumiza wala sio tozo bali ni chuki zenu binafsi dhidi ya Rais aliyopo madarakani ndio maana mnajitia upofu,Ni kweli wakati wa Magu hakukuwepo na tozo lakini watu wengi walidhulumiwa fedha zao kinguvu na wengine kupotezwa sasa wewe unaona bora wananchi wote tuchangie au wachache wadhulumiwe kwa kuchukuliwa fedha kinguvu huku wakiziakiwa kwa kuitwa mafisadi?Kwa hiyo wapambe wa magufuli Tu tozo zinawaumiza,mfumuko wa bei unawaiza?kuwa na akili kidogo
Kwahiyo mkuu hata chadema pia ni sukuma gang? Ndio unavyomaanishaUsipanik mkuu, wewe tulia sindano ikuingie upone. Sema tatizo Watanzania hawaji tena kuwapa nchi watu aina ya sukuma gang labda dunia ianze upya.
Tozo zinamhusu kila mtu sio kuporwa watu wachache na kwa kuwasingizia kukwepa kodi au mafisadi.Tozo zinawaathiri wapambe wa magufuli pekee .wapambe wa mama kama januari na nape hata tuzo hizo haziwahusu
Walio dhulumiwa walikuwa drugdealer broo...Kinachowaumiza wala sio tozo bali ni chuki zenu binafsi dhidi ya Rais aliyopo madarakani ndio maana mnajitia upofu,Ni kweli wakati wa Magu hakukuwepo na tozo lakini watu wengi walidhulumiwa fedha zao kinguvu na wengine kupotezwa sasa wewe unaona bora wananchi wote tuchangie au wachache wadhulumiwe kwa kuchukuliwa fedha kinguvu huku wakiziakiwa kwa kuitwa mafisadi?
Yawezekana pia wamo kwani sukuma gang ni hulka ya mtu na siyo kabilaKwahiyo mkuu hata chadema pia ni sukuma gang? Ndio unavyomaanisha
Kwahiyo kila atayeikosoa Serikali ya awamu ya sits ni sukama gang?Yawezekana pia wamo kwani sukuma gang ni hulka ya mtu na siyo kabila
Siyo kweli, kila mtu anahaki ya kutoa maoni yake. Lakini kukosoa kwa mlengo wa kisukuma gang ndiyo tatizo.Kwahiyo kila atayeikosoa Serikali ya awamu ya sits ni sukama gang?
Kwahiyo Mo naye alikuwa drug dealer halafu wameshindwa kucheza movie vizuri yao vizuri eti katekwa nyala! Unazungumzia nchi kupata heshima wakati ndio alivuruga diplomasia! Na kutosafiri ni kutokana labda na sababu zake binafsi lakini haikuwa na maana yoyote kwa nchi,binafsi nikipima kati ya wema na ubaya naona ubaya ulikuwa mwingi sana sawasawa na kulisifu jambazi liliyopata utajiri kwa kutoa roho za watu na kupora fedha na mali zao.Walio dhulumiwa walikuwa drugdealer broo...
Afu mwamba alifanya nchi ikaheshimika hata mataifa ya kigeni.Hakuthubutu kuzurura hovyo hovyoo
Mlengo wa sukama gang ndio ukoje?Siyo kweli, kila mtu anahaki ya kutoa maoni yake. Lakini kukosoa kwa mlengo wa kisukuma gang ndiyo tatizo.