Afande Sele: Tozo zimekuwa nyingi na hazionekani zinafanya kazi gani

SGR na Bwawa la Nyerere vipiii????

Au hiyo miradi ndio kwishney?
 

Huduma gani??? Usijitoe ufahamu zile hela za covid zilienda kujenga hizo shule na hospital,watu wanataka kujua hizi zinafanya nini!!!
 
Ngoja ipite miaka kadhaa hivi kisha tutaona manufaa ya hizi tozo, kwa sasa ni mapema mno kuweza kuona matokeo yake...
 
Wewe ni wale miongoni mwa watu wenye vichwa vikubwa lakini akili hakuna.
 
[emoji35][emoji35]
 
Mwigulu anatakiwa kutuambia tozo anazokusanya kila mwezi ni shilingi ngapi na zinapelekwa kwenye matumizi yapi, ili tupime matumizi ya tozo tunazokatwa kama yanaendana na thamani ya hiyo miradi, anavyokaa kimya maana yake anatuibia.
Kuna youtong 60 zinakuja zpo melini
 
Duh
 
Kuna youtong 60 zinakuja zpo melini
Na ifahamike pia muda huu huko Singida, kuna uwanja wa kisasa unajengwa kwa aijili ya Singida Big Stars! Yaani Wakandarasi wako Site!!

Hii nchi ngumu sana aisee.
 
Shule gani? Njoo uone wanafunzi wanavokaa chini,walivolundikana darasani, vyoo wanavyotumia vilivyojaa na kuchakaa.Sele Yuko sahihi,Tozo inafanya KAZI gani? Billions of money zinakusanywa kila mwezi,KAZI yake ni nini?Huo umeme unaousemea unasambazwa bure Kwa Wananchi? Kuna watu mtakufufa majeneza yenu yashindwe kubebeka Kwa unafiki mnaofanya mkiwa hai.Sele anapaswa kuungwa mkono,ili viongozi wajue kuwa Wananchi wamechoka
 
Tozo zinajulikana matumizi yake maana sisi wananchi tunaona miradi mbalimbali ikijengwa na kuboreshwa, tunaona namna huduma zinavyosogezwa karibu yetu, Tunafurahi kuona tukiijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe
Na wewe ni mlamba asali?mbona mnapenda sana kuwa wapiga mapambio?nchi hii kila kitu kimesimama hakuna hatua yoyote tunayopiga,mfano mdogo tu enzi za mwendazake vijijini umeme ulikuwa unasambaa kwa kasi sana kwa sasa hakuna hata nguzo zinazosimikwa.
 
Upo
Na wewe ni mlamba asali?mbona mnapenda sana kuwa wapiga mapambio?nchi hii kila kitu kimesimama hakuna hatua yoyote tunayopiga,mfano mdogo tu enzi za mwendazake vijijini umeme ulikuwa unasambaa kwa kasi sana kwa sasa hakuna hata nguzo zinazosimikwa.
Upo wapi huko ndugu yangu ambako huoni namna mh Rais alivyo tandaza miradi ya maendeleo kila eneo kuanzaia Elimu Afya maji umeme na hata Miundombinu
 
Hayo NI yakwako,hayo NI yale unayotaka kuyaamini,NI majibu YAKO..NI jumla ya Mambo uliyoyakusanya katka kichwa chako TOKA unazaliwa...NA ULIAMINISHWA HIVYO NA WAZAZI WAKO.HIVYO SIKUSHANGAI..
 
Unafiki mbaya Sana
 
We nae kichwa boga kweli kwa hiyo mkuu wa refu za kamba alimanisha walamba asali wanavimbiwa mishahara heeee .sehemu.siriaz usilete maneno maneno ya khanga bhana ee
Tatizo unataka kuamin kile kilichojaza bichwa lako,na siyo uhalisia...
 
Nenda kalime hata vibarua...tatizo huna AKILI,umekalili TU..kulakitu NI kuajiriwa,na ndio maana unawaza kuajiriwa kuajiriwa..TAFUTA VIBARUA FANYA,KUSANYA MTAJI WAKO...HUNA AJIRA LAKIN MUDA WOTE UKO JF NA SMARTPHONE YAKO UNALALAMIKA,WEWE NI tabulalasa
 
Huyo mafii ni fisadi yupo kupigania mafisadi wenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…