Afande Sirro, ukimuona Lissu kama unavyomuona Magufuli kuwa wote ni wagombea Urais, basi utakuwa na amani na Lissu


kuchokoza watu hujui ni kufanya nini??

nenda ita mtu mjinga wewe.halafu utamuuliza akueleze umevunja sheria ipi mpaka akusawazishe hiyo kichwa yako.

narudia tena hakuna anayetishwa.
 
Lissu anavunja sheria kwa makusudi. Tuambie wapi magufuli amevunja sheria. Kwahiyo hapa suala siyo kuwa treated vizuri, ni mtu anatakiwa afuate sheria.
Ukioneshwa Mungu akujalie upofu WA maisha?
 
Ushauri kuntu sheikh.
 
Ingeweza kumfikia hii afande Sirro, ni hakika asingeweza kuiacha ipite tu bila kuifanyia kazi.
 
Lissu anavunja sheria kwa makusudi. Tuambie wapi magufuli amevunja sheria. Kwahiyo hapa suala siyo kuwa treated vizuri, ni mtu anatakiwa afuate sheria.
Alìzungumza Kisukuma kwenye kampeni
 
Magufuli bado raisi huwezi mlinganisha na Lisu kusimama kwingine anasimama kama raisi
Mkuu, pamoja na siasa, wakati mwingine jitahidi kuelewa logic iliyopo katika ujumbe wa mleta mada, kitu ambacho najua unaelewa lakini ukada unakufanya ushindwe kuubeba ukweli. Kifua kinashindwa kuvumilia. Ukishindwa sana unaweza kupita kimya kimya.
 
"I wish............"
 
Lissu hana hadhi ya kuwa Rais.Ikungi kulimshinda ataweza nchi. Pesa za jimbo kule ikungi kazitafuna halafu leo anataka nini. Hapana kwa Lissu, hapana kwa Chama cha Mbowe, hatutaki kugeuzwa saccos.
 
Hizi HGL, HKL na PCM ni vitu gani mkuu?
 
Sirro kila akisinzia kidogo anaona kivuli cha mtu anachechemea kinaelekea upande wake anaamka gafla na kupiga makelele
 
Retired una akili sana kama Tundu Lissu. Naamini IGP au watu wake ambao wamejaa humu wameona wosia wako na watauzingatia.
 
Magufuli bado raisi huwezi mlinganisha na Lisu kusimama kwingine anasimama kama raisi
The worst president ever,tangu kuumbwa kwa Tanganyika,mkabila,mbaguzi,ana chuki na wenye mtazamo tofauti na wake,fisadi,
 
Tatizo la kupewa kuongoza hivi vyombo, Kwanza mpaka uwe kada. Na kwenye ukada na ukereketwa umo.
 
Magufuli bado raisi huwezi mlinganisha na Lisu kusimama kwingine anasimama kama raisi

Huu ndiyo ujinga mlioubeba vichwani mwenu nyie?

Kwani Rais ni kitu gani? Ni mtu tu kama ulivyo wewe mama!

Anaugua au anapata magonjwa kama uuguavyo wewe; anakula ugali kama ulavyo wewe; anakunya mavi chooni kama uvyavyo wewe; anajamba kama ujambavyo wewe; anacheka kama uchekavyo wewe nk no

What is so special about Rais ukiondoa UBINADAMU na UTU wake kama ambavyo sisi sote tulivyo?

Hebu badilini MITAZAMO yenu juu ya mambo haya mtaona jinsi maisha yalivyo na maana na muhimu....

Kinyume na hapa, kama mnataka kumwabudu na kumjusudu binadamu mwenzenu, mtapata taabu sana nafsini mwenu kwa sababu mtakuwa mnamkosea Mungu kwa kumwabudu na kumtumainia binadamu asiye na uwezo wa kuwapa AMANI na FURAHA nafsini mwenu..!!

Mnao muda. Badilikeni ndugu zetu. Tuheshimimiane na kupendana wote kama binadamu....

Tukubali tu kushindana fairly katika siasa hizi ili anayeshinda, ashinde na anayeshindwa ashindwe fairly na akubali kushindwa...!!
 
Kampaisha yaani kuna watu watakuwa hawajui ila watatafuta kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…