Afande Sirro, ukimuona Lissu kama unavyomuona Magufuli kuwa wote ni wagombea Urais, basi utakuwa na amani na Lissu

Afande Sirro, ukimuona Lissu kama unavyomuona Magufuli kuwa wote ni wagombea Urais, basi utakuwa na amani na Lissu

"Kuchokoza watu" ndio kufanya nini?
Amevunja sheria? Kama kavunja sheria fuata taratibu zilizowekwa ili aadhibiwe ikithibitika kavunja sheria.

Unapokuwa unapigia kelele pembeni, nje ya taratibu wewe utakuwa unamnyanyasa na kumtisha huyo unayemlalamikia.

kuchokoza watu hujui ni kufanya nini??

nenda ita mtu mjinga wewe.halafu utamuuliza akueleze umevunja sheria ipi mpaka akusawazishe hiyo kichwa yako.

narudia tena hakuna anayetishwa.
 
Lissu anavunja sheria kwa makusudi. Tuambie wapi magufuli amevunja sheria. Kwahiyo hapa suala siyo kuwa treated vizuri, ni mtu anatakiwa afuate sheria.
Ukioneshwa Mungu akujalie upofu WA maisha?
 
Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.

Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!

Kazi yako itakuwa rahisi.
Ushauri kuntu sheikh.
 
Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.

Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!

Kazi yako itakuwa rahisi.
Ingeweza kumfikia hii afande Sirro, ni hakika asingeweza kuiacha ipite tu bila kuifanyia kazi.
 
Lissu anavunja sheria kwa makusudi. Tuambie wapi magufuli amevunja sheria. Kwahiyo hapa suala siyo kuwa treated vizuri, ni mtu anatakiwa afuate sheria.
Alìzungumza Kisukuma kwenye kampeni
 
Magufuli bado raisi huwezi mlinganisha na Lisu kusimama kwingine anasimama kama raisi
Mkuu, pamoja na siasa, wakati mwingine jitahidi kuelewa logic iliyopo katika ujumbe wa mleta mada, kitu ambacho najua unaelewa lakini ukada unakufanya ushindwe kuubeba ukweli. Kifua kinashindwa kuvumilia. Ukishindwa sana unaweza kupita kimya kimya.
 
Mkuu umeandika vizuri, IGP mpaka Sasa amejitahidi Sana hata kauli yake ya leo sawa ,ila amejitahidi,huyu mzee anapitia kipindi kiguma ambacho wamekipitia IGP wengine ambao sidhani Kama wapo, ila ivyo binafsi nasema mungu aendelee kumpa hekima ,na akiona vipi basi amuachie mtu mwingine apambane na Hali yake ,vyeo vipo ila mbele ya Safari raha ya moyo mtulivu ,usiokua na stress au hata Kama huna pesa ni flaha tosha ,naongea kwa kifupi ila nikiwa na maana pana mkuu
"I wish............"
 
Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.

Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!

Kazi yako itakuwa rahisi.
Lissu hana hadhi ya kuwa Rais.Ikungi kulimshinda ataweza nchi. Pesa za jimbo kule ikungi kazitafuna halafu leo anataka nini. Hapana kwa Lissu, hapana kwa Chama cha Mbowe, hatutaki kugeuzwa saccos.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya...
Mgombea Urais na Rais
Mropokaji na Mtendaji
HGL, HKL na PCM
Mpenda sifa na Mtu asie jikweza.

Sasa tafuta ujue Lissu yupo kundi gani.
Mtu kasoma HGL anataka kutusumbua sisi. Hebu muambieni Urais sio kubwabwaja tu. Yeye amefanyia jimbo lake nini mpaka leo tumuamini kuwa Rais. Kila siku ana lazimisha kuwa nilazima awe Rais kwani hizo kura anajipigia mwenyewe au yeye ni Mungu mpaka alazimishe watu kuwa yeye ndie Rais iwe isiwe.
Mkumbusheni wanaopiga kura na kuamua ni Watanzania so ASITUFOKEE.

Bado ninatafuta mahali ambapo Lissu amenadi wa BUNGE na MADIWANI wa chama chake akiwa kwenye mikutano yake.
Hapa ndio ninafikia na kuona kuwa huyu mtu hayupo serious kabisa ana umimi mwingi sana ndio maana sioni sera zake zikiwa na mashiko zaidi ya kutuonyesha Ungwini wake tu.
Watanzania hatutaki sheria..... Sheria ibakie kwako na ndugu zako sisi tunataka KIONGOZI anae toa sera zinazotekelezeka.
Hizi HGL, HKL na PCM ni vitu gani mkuu?
 
Sirro kila akisinzia kidogo anaona kivuli cha mtu anachechemea kinaelekea upande wake anaamka gafla na kupiga makelele
 
Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.

Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!

Kazi yako itakuwa rahisi.
Retired una akili sana kama Tundu Lissu. Naamini IGP au watu wake ambao wamejaa humu wameona wosia wako na watauzingatia.
 
Magufuli bado raisi huwezi mlinganisha na Lisu kusimama kwingine anasimama kama raisi
The worst president ever,tangu kuumbwa kwa Tanganyika,mkabila,mbaguzi,ana chuki na wenye mtazamo tofauti na wake,fisadi,
 
Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.

Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!

Kazi yako itakuwa rahisi.
Tatizo la kupewa kuongoza hivi vyombo, Kwanza mpaka uwe kada. Na kwenye ukada na ukereketwa umo.
 
Magufuli bado raisi huwezi mlinganisha na Lisu kusimama kwingine anasimama kama raisi

Huu ndiyo ujinga mlioubeba vichwani mwenu nyie?

Kwani Rais ni kitu gani? Ni mtu tu kama ulivyo wewe mama!

Anaugua au anapata magonjwa kama uuguavyo wewe; anakula ugali kama ulavyo wewe; anakunya mavi chooni kama uvyavyo wewe; anajamba kama ujambavyo wewe; anacheka kama uchekavyo wewe nk no

What is so special about Rais ukiondoa UBINADAMU na UTU wake kama ambavyo sisi sote tulivyo?

Hebu badilini MITAZAMO yenu juu ya mambo haya mtaona jinsi maisha yalivyo na maana na muhimu....

Kinyume na hapa, kama mnataka kumwabudu na kumjusudu binadamu mwenzenu, mtapata taabu sana nafsini mwenu kwa sababu mtakuwa mnamkosea Mungu kwa kumwabudu na kumtumainia binadamu asiye na uwezo wa kuwapa AMANI na FURAHA nafsini mwenu..!!

Mnao muda. Badilikeni ndugu zetu. Tuheshimimiane na kupendana wote kama binadamu....

Tukubali tu kushindana fairly katika siasa hizi ili anayeshinda, ashinde na anayeshindwa ashindwe fairly na akubali kushindwa...!!
 
Tatizo anamuona Lissu katika sura ya mhalifu anayetafutwa kwa kesi zake! Sirro hana sababu ya kumuita Lissu ili wote tusikie na tumuone mkorofi, Lissu angeweza kuitwa kwa faragha kama mgombea. Sirro tumekuona ukimkemea Lissu! Ili kumshusha hadhi yake ya ugombea!.
Kampaisha yaani kuna watu watakuwa hawajui ila watatafuta kujua
 
Back
Top Bottom