Afande Veronica yupo barabarani kukusanya hela au kufilisi Raia?

Huo mchezo ulikuwepo na Magomeni pia
Mm mwenyewe imekwisha nitokea hii
 
kila fine 5000
Kama ni kweli hii sio sahihi,kuna trafiki anaitwa john uwa anajificha kutokea mtaa wa swahili kuingia msimbazi road la mwendokasi,aitakiwi kukunja pale unatakiwa kunyosha kama unaenda sokoni kariakoo unatokea mnadani unaingia tena msimbazi,kwa kutokea mnadani kunakuwaga na jam hata lisaa unaweza kujikuta umekwama huko,sasa uwa wanakwepa kuingia kule,huyo trafiki badala ya kwenda kule ndani kuongoza magari yeye ujificha kusubiria wataovunja sheria ili awaandikie,yule trafiki atakufa kifo kibaya sana kwa ile dhulma anayoifanya pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…