manndungu
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 501
- 483
Ndio kazi yao hiyoAcha majungu jomba hao watu hawana kazi ya kufanya mpaka wawekwe na polisi kuvuka zebra.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kazi yao hiyoAcha majungu jomba hao watu hawana kazi ya kufanya mpaka wawekwe na polisi kuvuka zebra.
Daladala zinatoa hesabu ya siku, kuna njia asubui daladala zote utoa hela ya brush ya siku so wanakuwa huru kuivunja Sheria hadi kesho yao tena asubui hela yao imeisha siku inaanza upya.sasa gari moja unakuja kupiga kelele hapa!!!ushawahi sikia mwenye dala dala analia lia na traffic?
hela huna road unatembea kiwaki,lazima uliwe kichwa.
Risiti haizuii rushwa kuna risiti feki na risit original huwezi zitambuaIyo pesa una pewa risiti au mna yamaliza kimya kimya tuanzie apo kwanza
Salaam Wakuu,
Polisi wana mbinu nyingi za kutengeneza mazingira ya Rushwa na kukupiga faini. Huwezi pona kwemye 18 zake.
Sitaki kusema Chuo cha Polisi Moshi (CCP) hawafundishi ila nadhani wanatakiwa kubadili Mitaala yao. Kuna vitu wanavifanya Polisi wetu hadi unajiuliza huko CCP walienda kusoma Ujinga? Polisi wanatakiwa watoe huduma sababu nu Watumishi wa Umma.
Rais Samia kaongeza Mshahara ili mfanye kazi kwa Tabasamu, sasa hasira za nini?
Mfano: Kuna askari pale Stesheni (maeneo ya Central/TRA (kwenye Zebra)) ana watu wake wa kukatiza zile zebra ili apige watu fine. Anaitwa WP 4548 CPL Veronica, ayafanyayo anakosea na kudhalilisha Jeshi letu.
Unaweza kuwapisha watu, atakaa hadi waishe, ukianza kuondoka ghafla utaona anaibuka mtu na kutaka kukatizazebra. Anafanya timing, Ukianza kuondoka anapita anakimbiwa na Vero anakupiga Mkono. Anakuwa na wenzake wawili. Unaulizwa Kwanini huheshimu watumiaji wengine wa barabara? Anakupiga fine.
Mimi ninahofu, wale jamaa wanatengenezwa? Kwanini wao tu ndo wakatize kwa kuchelewa siku zote?
Pili: Polisi wanatakiwa Wasimamishe Magari ili watu wavuke na wakishaisha wawaruhusu muondoke. Lakini wao wanasimama pembeni pale, Nyie madereva Mtajisimamisha wenyewe watu wavuke na wakishavuka mnajiruhusu wenyewe. Hapo ndipo kwenye mtego wa kuliwa hela.
Polisi tunaomba msaada wetu, mtusaidie muwapo kazini. Sababu Polisi kazi sio kupiga fine tu bali hata kutoa elimu ya barabarani kwa watumiaji wa barabara.
Polisi na Raia ni Ndugu, tushirikiane. Tusiishi kama paka na panya.
kwani kufanya hivo sio kazi?Acha majungu jomba hao watu hawana kazi ya kufanya mpaka wawekwe na polisi kuvuka zebra.
Hakuna Cha kushulikiwa hapa,kasema mwenye nchi Kila mbuzi hula urefu wa Kamba yakePole mkuu, hope suala litashughulikiwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna watu ni wa ajabu muda woteSasa mwenye daladala huyo traffic anakutananae wapi we mama?
Yawezekana hujui, polisi wana kamisheni kwa kila fine atakayoandika, nao hulipwa 3000/- kwa kila fine. Hulipwa mwisho wa mwezi. Akipiga fine watu 20 kwa siku mara 3000 mara 30 anapata 1,200,000/- cash kwa mwezi bado rushwa na mshahara.Hiyo fine mnampa cash au anawaandikia?
Kama ni cash na mazingira ndiyo hayo, uwezekano wa kuwa mchezo upo!
Kama anaandika fine,then ananufaikaje na waigizaji anawalipaje?
Kuna commission anapewa kwa wingi wa fine alizoandika?
Watu ambao hamna magari hamtajua kero za Hawa traffic barabarani. Polisi wetu wote wasikie tu. Ila ukingia kwenye 18 zao ndo utajua kwanini watu wanawalalamikiaTangu umenunua ka passo unaleta majungu tu kwa traffic
Hivi hii ni sheria ya wapi. Mbona mnadanganya watu hivyo? Hii sheria ya kusimama zebra kila nikifka haipo na Kuna siku wamenikamata niliwakatalia na sikuawapa lesen make ukisha wapa lesen tayari umejipiga kitanzi. Tulienda Hadi kwa RCO. Haipo ni uonevu wao tuKwenye zebra unatakiwa usimame bila kusimamishwa hata kama hamna mtu anaetaka kuvuka ukijiridhisha hamna mtu karibu ndo unaendelea na safari Kama hulijui hilo iko siku utapigwa faini kwa kupita kwenye zebra bila kusimama hata Kama hamna mtu ndo utashangaaa zaidi
ukitaka kujua buku ni nyingi,inamtoa mtu mbagala mpaka morocco.Ninajiuliza sana swali hili- - Kwanini polisi wanapenda sana hela ? Kuna wengine wanapokea hata rushwa ya elfu moja toka kwa wapiga debe. Inanisikitisha.
jana nimepanda daladala dereva kasimamishwa mataa ya chang'ombe kawa mkali kama pili pili kichaa,yule mama anamwambia kwanini unakimbia bila tahadhali na umejaza watu namna hii,abiria wanajibu (sisi hatujalalamika).watz wengi ni viazi yaani wasikupe nguvu wapigapo kelele kumzomea mtu,wanaongozwa na upumbavu mwingi.najua utaanza kusema tushajua una gari
basi nikuambie mie dereva tu nawaandesha WAHINDI mshahara 250000/=
haya turudi kwenye MADA kama sio dereva huwezi kujua adha ya TRAFFIC anachosema ndio kipo na hiyo MICHEZO sio hapo tu ipo sehemu nyingi.
Usione watu wajinga walipofurahia yule TRAFICC morocco aitel kuporomoshewa MITUSI ya nguoni na dreva daladala.
Hao jamaa ni wapuuzi AKILI zao zimejaa pesa zaidi kuliko kuongoza magari
Labda ndio kazi yao hiyoAcha majungu jomba hao watu hawana kazi ya kufanya mpaka wawekwe na polisi kuvuka zebra.
Hayajakukuta badoAcha majungu jomba hao watu hawana kazi ya kufanya mpaka wawekwe na polisi kuvuka zebra.
Si ndio kazi yenyewe hiyo? Mwisho wa siku nao wanapata mgao.Acha majungu jomba hao watu hawana kazi ya kufanya mpaka wawekwe na polisi kuvuka zebra.
Nasikia kwa kila faini inayotolewa, kuna percent inaenda kutoka hazina kwenda kwa huyo polisi mtoa faini.Salaam Wakuu,
Polisi wana mbinu nyingi za kutengeneza mazingira ya Rushwa na kukupiga faini. Huwezi pona kwemye 18 zake.
Sitaki kusema Chuo cha Polisi Moshi (CCP) hawafundishi ila nadhani wanatakiwa kubadili Mitaala yao. Kuna vitu wanavifanya Polisi wetu hadi unajiuliza huko CCP walienda kusoma Ujinga? Polisi wanatakiwa watoe huduma sababu ni Watumishi wa Umma.
Rais Samia kaongeza Mshahara ili mfanye kazi kwa Tabasamu, sasa hasira za nini?
Mfano: Kuna askari pale Stesheni (maeneo ya Central/TRA (kwenye Zebra)) ana watu wake wa kukatiza zile zebra ili apige watu fine. Anaitwa WP 4548 CPL Veronica, ayafanyayo anakosea na kudhalilisha Jeshi letu.
Unaweza kuwapisha watu, atakaa hadi waishe, ukianza kuondoka ghafla utaona anaibuka mtu na kutaka kukatizazebra. Anafanya timing, Ukianza kuondoka anapita anakimbiwa na Vero anakupiga Mkono. Anakuwa na wenzake wawili. Unaulizwa Kwanini huheshimu watumiaji wengine wa barabara? Anakupiga fine.
Mimi ninahofu, wale jamaa wanatengenezwa? Kwanini wao tu ndo wakatize kwa kuchelewa siku zote?
Pili: Polisi wanatakiwa Wasimamishe Magari ili watu wavuke na wakishaisha wawaruhusu muondoke. Lakini wao wanasimama pembeni pale, Nyie madereva Mtajisimamisha wenyewe watu wavuke na wakishavuka mnajiruhusu wenyewe. Hapo ndipo kwenye mtego wa kuliwa hela.
Polisi tunaomba msaada wetu, mtusaidie muwapo kazini. Sababu Polisi kazi sio kupiga fine tu bali hata kutoa elimu ya barabarani kwa watumiaji wa barabara.
Polisi na Raia ni Ndugu, tushirikiane. Tusiishi kama paka na panya.