Afande Veronica yupo barabarani kukusanya hela au kufilisi Raia?

Afande Veronica yupo barabarani kukusanya hela au kufilisi Raia?

magomeni wamefanya sana mchezo huo sana tena mpaka mwanajeshi mmoja akawakemea
 
Hizo leseni mlipataje aisee?
Nani alikwambia ukikuta Hamna watu wanaokatisha zebracross unapaswa kupitiliza bila kusimama?
 
Daladala wameshajitengenezea mtandao, wana bajeti yao kila siku, wawapi barabarani.
Ndiyo maana Daladala anaweza kukupiga pasi, kwenye gari yako, mkiita trafiki, akiona haki ni yako, anakupa kosa wewe. Alafu anajifanya kusimama katikati, Wote tembeeni makarekebishe magari yenu wenyewe.
Sahii kabisa
 
najua utaanza kusema tushajua una gari
basi nikuambie mie dereva tu nawaandesha WAHINDI mshahara 250000/=

haya turudi kwenye MADA kama sio dereva huwezi kujua adha ya TRAFFIC anachosema ndio kipo na hiyo MICHEZO sio hapo tu ipo sehemu nyingi.

Usione watu wajinga walipofurahia yule TRAFICC morocco aitel kuporomoshewa MITUSI ya nguoni na dreva daladala.

Hao jamaa ni wapuuzi AKILI zao zimejaa pesa zaidi kuliko kuongoza magari
Wajinga hawawezi kuisha laiti kama angekuwa anajua jinsi kero za traffic zipoje asingejibu upuuzi wake....
 
Hiyo fine mnampa cash au anawaandikia?

Kama ni cash na mazingira ndiyo hayo, uwezekano wa kuwa mchezo upo!

Kama anaandika fine,then ananufaikaje na waigizaji anawalipaje?

Kuna commission anapewa kwa wingi wa fine alizoandika?
Ile mashine ina commision kwa akiyekuandika.
Hata hivyo hao wanaotengenezwa waambiwe sio kila siku ni jumamosi. Hatakuja kupigwa tairi mtu ya kiuno akaulilie na kesi dereva atashinda akiwa na wakili msomi
 
Acha majungu jomba hao watu hawana kazi ya kufanya mpaka wawekwe na polisi kuvuka zebra.
Na wewe ficha ujinga wako kidogo. Kazi yao si ndiyo hiyo ya kuvuka "ZEBRA" au wewe ulitakaje? Wakakae ofisini ndiyo ujue wapo kazini?
 
Huyo afande ndio ana watu wake kuna siku mtu alikuwa anaelekezwa wrong parking na mtu fulani pale then akatokea madame fulani nadhani ndio huyo afande anakuwaga sana pale akamfine jamaa iile ya bila risit( ushaelewa) then baada ya muda yule aliyemuelekeza mwenzie wrong parkn akawa kazunguka na yule afande chobingo
 
Salaam Wakuu,

Polisi wana mbinu nyingi za kutengeneza mazingira ya Rushwa na kukupiga faini. Huwezi pona kwemye 18 zake.

Sitaki kusema Chuo cha Polisi Moshi (CCP) hawafundishi ila nadhani wanatakiwa kubadili Mitaala yao. Kuna vitu wanavifanya Polisi wetu hadi unajiuliza huko CCP walienda kusoma Ujinga? Polisi wanatakiwa watoe huduma sababu nu Watumishi wa Umma.

Rais Samia kaongeza Mshahara ili mfanye kazi kwa Tabasamu, sasa hasira za nini?

Mfano: Kuna askari pale Stesheni (maeneo ya Central/TRA (kwenye Zebra)) ana watu wake wa kukatiza zile zebra ili apige watu fine. Anaitwa WP 4548 CPL Veronica, ayafanyayo anakosea na kudhalilisha Jeshi letu.

Unaweza kuwapisha watu, atakaa hadi waishe, ukianza kuondoka ghafla utaona anaibuka mtu na kutaka kukatizazebra. Anafanya timing, Ukianza kuondoka anapita anakimbiwa na Vero anakupiga Mkono. Anakuwa na wenzake wawili. Unaulizwa Kwanini huheshimu watumiaji wengine wa barabara? Anakupiga fine.

Mimi ninahofu, wale jamaa wanatengenezwa? Kwanini wao tu ndo wakatize kwa kuchelewa siku zote?

Pili: Polisi wanatakiwa Wasimamishe Magari ili watu wavuke na wakishaisha wawaruhusu muondoke. Lakini wao wanasimama pembeni pale, Nyie madereva Mtajisimamisha wenyewe watu wavuke na wakishavuka mnajiruhusu wenyewe. Hapo ndipo kwenye mtego wa kuliwa hela.

Polisi tunaomba msaada wetu, mtusaidie muwapo kazini. Sababu Polisi kazi sio kupiga fine tu bali hata kutoa elimu ya barabarani kwa watumiaji wa barabara.

Polisi na Raia ni Ndugu, tushirikiane. Tusiishi kama paka na panya.
Aliyekwambia Polisi na Raia ni Ndugu nani.
We kama hutaki kukamatwa kapike vitumbua.
Bongo askari wakiwafanya Raia ndugu nachambia msasa.
 
Salaam Wakuu,

Polisi wana mbinu nyingi za kutengeneza mazingira ya Rushwa na kukupiga faini. Huwezi pona kwemye 18 zake.

Sitaki kusema Chuo cha Polisi Moshi (CCP) hawafundishi ila nadhani wanatakiwa kubadili Mitaala yao. Kuna vitu wanavifanya Polisi wetu hadi unajiuliza huko CCP walienda kusoma Ujinga? Polisi wanatakiwa watoe huduma sababu nu Watumishi wa Umma.

Rais Samia kaongeza Mshahara ili mfanye kazi kwa Tabasamu, sasa hasira za nini?

Mfano: Kuna askari pale Stesheni (maeneo ya Central/TRA (kwenye Zebra)) ana watu wake wa kukatiza zile zebra ili apige watu fine. Anaitwa WP 4548 CPL Veronica, ayafanyayo anakosea na kudhalilisha Jeshi letu.

Unaweza kuwapisha watu, atakaa hadi waishe, ukianza kuondoka ghafla utaona anaibuka mtu na kutaka kukatizazebra. Anafanya timing, Ukianza kuondoka anapita anakimbiwa na Vero anakupiga Mkono. Anakuwa na wenzake wawili. Unaulizwa Kwanini huheshimu watumiaji wengine wa barabara? Anakupiga fine.

Mimi ninahofu, wale jamaa wanatengenezwa? Kwanini wao tu ndo wakatize kwa kuchelewa siku zote?

Pili: Polisi wanatakiwa Wasimamishe Magari ili watu wavuke na wakishaisha wawaruhusu muondoke. Lakini wao wanasimama pembeni pale, Nyie madereva Mtajisimamisha wenyewe watu wavuke na wakishavuka mnajiruhusu wenyewe. Hapo ndipo kwenye mtego wa kuliwa hela.

Polisi tunaomba msaada wetu, mtusaidie muwapo kazini. Sababu Polisi kazi sio kupiga fine tu bali hata kutoa elimu ya barabarani kwa watumiaji wa barabara.

Polisi na Raia ni Ndugu, tushirikiane. Tusiishi kama paka na panya.
WP 4548 CPL Veronica ni ndugu na RPC wa Mkoa wa Mwanza. Hafanyiwi kitu na IGP
 
Kwenye zebra unatakiwa usimame bila kusimamishwa hata kama hamna mtu anaetaka kuvuka ukijiridhisha hamna mtu karibu ndo unaendelea na safari Kama hulijui hilo iko siku utapigwa faini kwa kupita kwenye zebra bila kusimama hata Kama hamna mtu ndo utashangaaa zaidi
Kama hakuna mtu huna sababu ya kusimama, infact huko first world raia kama amesimama zebra na havuki unaweza pigwa fine ya ku abuse road signs.
Kuna zebra karibu mia nne( 400) kutoka dar hadi morogoro km 190, imagine kila zebra usimame utafika saa ngapi?
 
Salaam Wakuu,

Polisi wana mbinu nyingi za kutengeneza mazingira ya Rushwa na kukupiga faini. Huwezi pona kwemye 18 zake.

Sitaki kusema Chuo cha Polisi Moshi (CCP) hawafundishi ila nadhani wanatakiwa kubadili Mitaala yao. Kuna vitu wanavifanya Polisi wetu hadi unajiuliza huko CCP walienda kusoma Ujinga? Polisi wanatakiwa watoe huduma sababu nu Watumishi wa Umma.

Rais Samia kaongeza Mshahara ili mfanye kazi kwa Tabasamu, sasa hasira za nini?

Mfano: Kuna askari pale Stesheni (maeneo ya Central/TRA (kwenye Zebra)) ana watu wake wa kukatiza zile zebra ili apige watu fine. Anaitwa WP 4548 CPL Veronica, ayafanyayo anakosea na kudhalilisha Jeshi letu.

Unaweza kuwapisha watu, atakaa hadi waishe, ukianza kuondoka ghafla utaona anaibuka mtu na kutaka kukatizazebra. Anafanya timing, Ukianza kuondoka anapita anakimbiwa na Vero anakupiga Mkono. Anakuwa na wenzake wawili. Unaulizwa Kwanini huheshimu watumiaji wengine wa barabara? Anakupiga fine.

Mimi ninahofu, wale jamaa wanatengenezwa? Kwanini wao tu ndo wakatize kwa kuchelewa siku zote?

Pili: Polisi wanatakiwa Wasimamishe Magari ili watu wavuke na wakishaisha wawaruhusu muondoke. Lakini wao wanasimama pembeni pale, Nyie madereva Mtajisimamisha wenyewe watu wavuke na wakishavuka mnajiruhusu wenyewe. Hapo ndipo kwenye mtego wa kuliwa hela.

Polisi tunaomba msaada wetu, mtusaidie muwapo kazini. Sababu Polisi kazi sio kupiga fine tu bali hata kutoa elimu ya barabarani kwa watumiaji wa barabara.

Polisi na Raia ni Ndugu, tushirikiane. Tusiishi kama paka na panya.
Imeshamkuta ndugu yangu kwa huyo mdada. Mimi ilinikuta pale mnara wa askali unapopandisha na Samora avenue just before hiyo keep left ya askali. Ninewapisha watu, lakini ike wameisha nataka kuondoka, kuna mwana kaja anaongea na simu huku anajifanya kuvuka. Mbele kulikuwa na trafic polisi mwanaume akanipiga mkono
 
Ninajiuliza sana swali hili- - Kwanini polisi wanapenda sana hela ? Kuna wengine wanapokea hata rushwa ya elfu moja toka kwa wapiga debe. Inanisikitisha.
Wanacheza vibubu na vikoba vya kila siku bro,sio wenzio wale usione wanakula vumbi daily.
 
We kama raia unayo haki ya kufanya uchunguzi rudia rudia kupita huku ukichukua video kama ni watu hao hao ndio wanaovuka kila mda tayari unao ushahidi, unaupeleka mamlaka husika. Wanaliwa timing kisha wote wanakamatwa yanaunganishwa maelezo then sheria uchukua hatua.

Pia hata kutupia tu huu uzi tayari kama wanafanya hio michezo dili limeshaumbuka.
 
Back
Top Bottom