Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
ya nini? Kwan hana mshahara? Vip na watoa huduma za afya wakianza kuomba za kuvalia gloves, walimu nap wakiomba za kufutia vumbi la chaki, nkYa kiwi tu na supu asubuhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ya nini? Kwan hana mshahara? Vip na watoa huduma za afya wakianza kuomba za kuvalia gloves, walimu nap wakiomba za kufutia vumbi la chaki, nkYa kiwi tu na supu asubuhi
Kila fine, polisi alieandika hupata Tsh 5000, na ndiyo maana kwenye lisiti ina jina la mpiga faini.Hiyo fine mnampa cash au anawaandikia?
Kama ni cash na mazingira ndiyo hayo, uwezekano wa kuwa mchezo upo!
Kama anaandika fine,then ananufaikaje na waigizaji anawalipaje?
Kuna commission anapewa kwa wingi wa fine alizoandika?
kila fine 5000Hiyo fine mnampa cash au anawaandikia?
Kama ni cash na mazingira ndiyo hayo, uwezekano wa kuwa mchezo upo!
Kama anaandika fine,then ananufaikaje na waigizaji anawalipaje?
Kuna commission anapewa kwa wingi wa fine alizoandika?
Yote majanga mkuu.Iyo pesa una pewa risiti au mna yamaliza kimya kimya tuanzie apo kwanza
Hiyo ndiyo kazi yao sasa.Acha majungu jomba hao watu hawana kazi ya kufanya mpaka wawekwe na polisi kuvuka zebra.
Huyo ungempa darasa kidogo ili aelewe mbinu chafu za maisha zifanywazo na watumishi wa umma.Dar kuna wenyewe mzee jifunze kukaa kwa kutulia...
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Daladala wameshajitengenezea mtandao, wana bajeti yao kila siku, wawapi barabarani.sasa gari moja unakuja kupiga kelele hapa!!!ushawahi sikia mwenye dala dala analia lia na traffic??
hela huna road unatembea kiwaki,lazima uliwe kichwa.
R.I.P JIWESalaam Wakuu,
Polisi wana mbinu nyingi za kutengeneza mazingira ya Rushwa na kukupiga faini. Huwezi pona kwemye 18 zake.
Sitaki kusema Chuo cha Polisi Moshi (CCP) hawafundishi ila nadhani wanatakiwa kubadili Mitaala yao. Kuna vitu wanavifanya Polisi wetu hadi unajiuliza huko CCP walienda kusoma Ujinga? Polisi wanatakiwa watoe huduma sababu nu Watumishi wa Umma.
Rais Samia kaongeza Mshahara ili mfanye kazi kwa Tabasamu, sasa hasira za nini?
Mfano: Kuna askari pale Stesheni (maeneo ya Central/TRA (kwenye Zebra)) ana watu wake wa kukatiza zile zebra ili apige watu fine. Anaitwa WP 4548 CPL Veronica, ayafanyayo anakosea na kudhalilisha Jeshi letu.
Unaweza kuwapisha watu, atakaa hadi waishe, ukianza kuondoka ghafla utaona anaibuka mtu na kutaka kukatizazebra. Anafanya timing, Ukianza kuondoka anapita anakimbiwa na Vero anakupiga Mkono. Anakuwa na wenzake wawili. Unaulizwa Kwanini huheshimu watumiaji wengine wa barabara? Anakupiga fine.
Mimi ninahofu, wale jamaa wanatengenezwa? Kwanini wao tu ndo wakatize kwa kuchelewa siku zote?
Pili: Polisi wanatakiwa Wasimamishe Magari ili watu wavuke na wakishaisha wawaruhusu muondoke. Lakini wao wanasimama pembeni pale, Nyie madereva Mtajisimamisha wenyewe watu wavuke na wakishavuka mnajiruhusu wenyewe. Hapo ndipo kwenye mtego wa kuliwa hela.
Polisi tunaomba msaada wetu, mtusaidie muwapo kazini. Sababu Polisi kazi sio kupiga fine tu bali hata kutoa elimu ya barabarani kwa watumiaji wa barabara.
Polisi na Raia ni Ndugu, tushirikiane. Tusiishi kama paka na panya.
Wewe jamaa Ni Askari halaf umemchoma huyu wpSalaam Wakuu,
Polisi wana mbinu nyingi za kutengeneza mazingira ya Rushwa na kukupiga faini. Huwezi pona kwemye 18 zake.
Sitaki kusema Chuo cha Polisi Moshi (CCP) hawafundishi ila nadhani wanatakiwa kubadili Mitaala yao. Kuna vitu wanavifanya Polisi wetu hadi unajiuliza huko CCP walienda kusoma Ujinga? Polisi wanatakiwa watoe huduma sababu nu Watumishi wa Umma.
Rais Samia kaongeza Mshahara ili mfanye kazi kwa Tabasamu, sasa hasira za nini?
Mfano: Kuna askari pale Stesheni (maeneo ya Central/TRA (kwenye Zebra)) ana watu wake wa kukatiza zile zebra ili apige watu fine. Anaitwa WP 4548 CPL Veronica, ayafanyayo anakosea na kudhalilisha Jeshi letu.
Unaweza kuwapisha watu, atakaa hadi waishe, ukianza kuondoka ghafla utaona anaibuka mtu na kutaka kukatizazebra. Anafanya timing, Ukianza kuondoka anapita anakimbiwa na Vero anakupiga Mkono. Anakuwa na wenzake wawili. Unaulizwa Kwanini huheshimu watumiaji wengine wa barabara? Anakupiga fine.
Mimi ninahofu, wale jamaa wanatengenezwa? Kwanini wao tu ndo wakatize kwa kuchelewa siku zote?
Pili: Polisi wanatakiwa Wasimamishe Magari ili watu wavuke na wakishaisha wawaruhusu muondoke. Lakini wao wanasimama pembeni pale, Nyie madereva Mtajisimamisha wenyewe watu wavuke na wakishavuka mnajiruhusu wenyewe. Hapo ndipo kwenye mtego wa kuliwa hela.
Polisi tunaomba msaada wetu, mtusaidie muwapo kazini. Sababu Polisi kazi sio kupiga fine tu bali hata kutoa elimu ya barabarani kwa watumiaji wa barabara.
Polisi na Raia ni Ndugu, tushirikiane. Tusiishi kama paka na panya.
Km hujui kitu ni vema ukae kimya..Kuna mengi huyajui,tulia uelimishweAcha majungu jomba hao watu hawana kazi ya kufanya mpaka wawekwe na polisi kuvuka zebra.
Km hujui ni vema ukae kimya ujifunzemajungu tu unaleta hapa.
kubeba jina zima la mtu anayekuhudumia eti una malalamiko naye ni uzwazwa.
watu watajuaje kama huna visa naye!!!
Sasa mwenye daladala huyo traffic anakutananae wapi we mama?sasa gari moja unakuja kupiga kelele hapa!!!ushawahi sikia mwenye dala dala analia lia na traffic??
hela huna road unatembea kiwaki,lazima uliwe kichwa.
We nae unacoment ukitokea mkoa gani?lini ushawah kuona watu waneisha barabaran dar?Kwenye zebra unatakiwa usimame bila kusimamishwa hata kama hamna mtu anaetaka kuvuka ukijiridhisha hamna mtu karibu ndo unaendelea na safari Kama hulijui hilo iko siku utapigwa faini kwa kupita kwenye zebra bila kusimama hata Kama hamna mtu ndo utashangaaa zaidi
Hapo kwa kuongezwa mshahara umekosea sana kama ndiyo kigezo chakoSalaam Wakuu,
Polisi wana mbinu nyingi za kutengeneza mazingira ya Rushwa na kukupiga faini. Huwezi pona kwemye 18 zake.
Sitaki kusema Chuo cha Polisi Moshi (CCP) hawafundishi ila nadhani wanatakiwa kubadili Mitaala yao. Kuna vitu wanavifanya Polisi wetu hadi unajiuliza huko CCP walienda kusoma Ujinga? Polisi wanatakiwa watoe huduma sababu nu Watumishi wa Umma.
Rais Samia kaongeza Mshahara ili mfanye kazi kwa Tabasamu, sasa hasira za nini?
Mfano: Kuna askari pale Stesheni (maeneo ya Central/TRA (kwenye Zebra)) ana watu wake wa kukatiza zile zebra ili apige watu fine. Anaitwa WP 4548 CPL Veronica, ayafanyayo anakosea na kudhalilisha Jeshi letu.
Unaweza kuwapisha watu, atakaa hadi waishe, ukianza kuondoka ghafla utaona anaibuka mtu na kutaka kukatizazebra. Anafanya timing, Ukianza kuondoka anapita anakimbiwa na Vero anakupiga Mkono. Anakuwa na wenzake wawili. Unaulizwa Kwanini huheshimu watumiaji wengine wa barabara? Anakupiga fine.
Mimi ninahofu, wale jamaa wanatengenezwa? Kwanini wao tu ndo wakatize kwa kuchelewa siku zote?
Pili: Polisi wanatakiwa Wasimamishe Magari ili watu wavuke na wakishaisha wawaruhusu muondoke. Lakini wao wanasimama pembeni pale, Nyie madereva Mtajisimamisha wenyewe watu wavuke na wakishavuka mnajiruhusu wenyewe. Hapo ndipo kwenye mtego wa kuliwa hela.
Polisi tunaomba msaada wetu, mtusaidie muwapo kazini. Sababu Polisi kazi sio kupiga fine tu bali hata kutoa elimu ya barabarani kwa watumiaji wa barabara.
Polisi na Raia ni Ndugu, tushirikiane. Tusiishi kama paka na panya.
Wewe kama dereva uliyefuzu unapaswa kuju taratibu za zebra crossing, vinginevyo urudi shuleni.Salaam Wakuu,
Polisi wana mbinu nyingi za kutengeneza mazingira ya Rushwa na kukupiga faini. Huwezi pona kwemye 18 zake.
Sitaki kusema Chuo cha Polisi Moshi (CCP) hawafundishi ila nadhani wanatakiwa kubadili Mitaala yao. Kuna vitu wanavifanya Polisi wetu hadi unajiuliza huko CCP walienda kusoma Ujinga? Polisi wanatakiwa watoe huduma sababu nu Watumishi wa Umma.
Rais Samia kaongeza Mshahara ili mfanye kazi kwa Tabasamu, sasa hasira za nini?
Mfano: Kuna askari pale Stesheni (maeneo ya Central/TRA (kwenye Zebra)) ana watu wake wa kukatiza zile zebra ili apige watu fine. Anaitwa WP 4548 CPL Veronica, ayafanyayo anakosea na kudhalilisha Jeshi letu.
Unaweza kuwapisha watu, atakaa hadi waishe, ukianza kuondoka ghafla utaona anaibuka mtu na kutaka kukatizazebra. Anafanya timing, Ukianza kuondoka anapita anakimbiwa na Vero anakupiga Mkono. Anakuwa na wenzake wawili. Unaulizwa Kwanini huheshimu watumiaji wengine wa barabara? Anakupiga fine.
Mimi ninahofu, wale jamaa wanatengenezwa? Kwanini wao tu ndo wakatize kwa kuchelewa siku zote?
Pili: Polisi wanatakiwa Wasimamishe Magari ili watu wavuke na wakishaisha wawaruhusu muondoke. Lakini wao wanasimama pembeni pale, Nyie madereva Mtajisimamisha wenyewe watu wavuke na wakishavuka mnajiruhusu wenyewe. Hapo ndipo kwenye mtego wa kuliwa hela.
Polisi tunaomba msaada wetu, mtusaidie muwapo kazini. Sababu Polisi kazi sio kupiga fine tu bali hata kutoa elimu ya barabarani kwa watumiaji wa barabara.
Polisi na Raia ni Ndugu, tushirikiane. Tusiishi kama paka na panya.
[emoji23][emoji23][emoji23]Tangu umenunua ka passo unaleta majungu tu kwa traffic
Wewe mgeni dsm.Acha majungu jomba hao watu hawana kazi ya kufanya mpaka wawekwe na polisi kuvuka zebra.
Only in Tanzania!!Kwenye zebra unatakiwa usimame bila kusimamishwa hata kama hamna mtu anaetaka kuvuka ukijiridhisha hamna mtu karibu ndo unaendelea na safari Kama hulijui hilo iko siku utapigwa faini kwa kupita kwenye zebra bila kusimama hata Kama hamna mtu ndo utashangaaa zaidi