Afanyeje ili aweze kumsahau mwanaume anayempenda na kuendelea na maisha yake?

At that age she is still young, focus kwenye masomo, pata kazi kwanza au fungus business, akihamishia attention yake huko atasahau overtime, but safari haitokuwa rahis

[emoji120] ushauri umechukuliwa
 
kwani baba yako huyo mpaka kukupa hela ya matumizi iwe lazima, uko chuo unapewa boom tumia vizuri likusaidie
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtu uko chuoni afu unahangaishwa na mapenzi uko serious?? Si uwe buzz na masomo, mapenzi yapoo tyuuh. Lol
 
Inawezekanaa kweliii?
Inawezekana vizuri si unalipotezea tyuu.!! Unaanza kuruhusu watu wapya kwenye maisha yako.!! Unajua kuna watu hupita kwenye maisha yetu kutupa funzo, hiyo ndio kazi ya universe. Ila sisi na ubishi wetu tunaforce mambo.!!
Unaweza kusema “mimi kwa huyu mwanaume siwezi kumpata mwingine kama yeye” kumbe huyo ni cha mtoto kwa mwanaume ambaye ndiye hatma yako.
Kumng’ang’ania mtu asiyekuhitaji ni kujifungia Bahati zako na kujichelewesha kule unakotakiwa kuwepo kwa ukiziwi na upofu wako.!!
 
Uduguuu hili Dini ni Almas afu linawakaa balaaa, tishaa sanaaa!!
[emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]
 
Uduguuu hili Dini ni Almas afu linawakaa balaaa, tishaa sanaaa!!
[emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]
Ukweli ndio huo uduguu, tunajichelewesha sana kukumbatia watu ambao sio sahihi kwetu.!! Inatakiwa turuhusu hatma ifanye kazi yake.
 
sitakuwa na mengi ya kusema zaidi ya
pole sana jitahidi kunywa maji mengi
 
Huyo mwanaume kumbe ameona tatizo nini. Kumbe ulitaka awe anakusaidia pesa? Ndo baba yako? Ndo yeye anakusomesha? Halafu unataka amhudumie babayo tena? Umekuja kutuuzia chai?
 
Hizi mada zenu mnazotoa fesibuku na insta na kuzileta huku sijui huwa mnakua na maana gani aisee.
Ajabu ukute mleta uzi wala hamjui huyo alieomba msaada
 
Sasa baba anaumwa nyumbani hamna wanaomba,baba wendigo,baba wakubwa ,shangazi mchangishane na mtu hajakuoa unampa majukumu ya familia .Ungetoa taarifa tu kwake anaumwa na usiexpect chochote maana kulia shida za familia kama kipimo haijakaa sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…