RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Redpill. Nakubali.Huyu muongo kabisa unasema unampenda alafu unataka ahudumie baba yako wakati wee sio mke wake!!! Wee inastahili uteseke tuu na i hope jamaa alikula mbususu yako
Kama unapenda mifupa karibu ule na yangu piaLeta namba ya shemegi atumiwe meseji
"kama umemchoka tuachie sisi tumle mpaka mifupa"
Kumbe na nyie mkiwa rejected mnaumiaaHabari yako,
Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo mwaka wa pili. Kuna kitu kinaniumiza sana kichwa kiasi kwamba kuna muda nashindwa hata kusoma vizuri. π₯Ήπ₯Ή Kuna mkaka mmoja tulikutana tu kawaida kipindi mimi ndo naanza form five, lakini mpaka namaliza form six bado nilikuwa naye.
Sasa baada ya mimi kwenda jeshini maana nilipangiwa nikaenda, lakini nilikuwa na simu na tulikuwa tunawasiliana vizuri tu mpaka akaniambia amehamishiwa kikazi mkoa mwingine. Mimi nikamwambia hamna shida, nikienda chuo tutaonana. Mapenzi yakawa yanaendelea kama kawaida. Nilipomaliza jeshi kweli nikaenda chuo Dar es Salaam, lakini baada ya kufika chuo mabadiliko nilianza kuyaona mwenyewe. Mara akae wiki hajanitafuta, mara nimuulize anakuwa na visingizio vingi sana. Namsamehe, inaisha. Yote hayo nilikuwa naona kawaida tu.
Lakini kilichokuja kuniumiza kichwa ni kwamba huyu mwanaume ni wa ajabu sana kwani hayupo tayari kunisaidia kwa pesa yoyote ile. Yeye anachotaka ni nimwambie "nimekumiss" na yeye ajibu "nimekumiss pia" basi maisha yasonge. Mpaka kuna muda najiuliza au shida ni nini kwa sababu yeye haongelei mambo ya mapenzi kabisa na huwa ananikwepa nikileta hizo mada.
Juzi nilimpigia, nikajifanya kumwambia baba kanipigia anaumwa nione atakavyonijibu. Alijibu "pole, atakuwa sawa"... na hajawahi kuniuliza anaendeleaje hata siku moja. Ananikosea sana kwa sababu vocha ninunue mwenyewe, nimpigie, bado hajali kabisa.
Na text zake zote ananiita mke wake. Nimeshajaribu mara kadhaa kumuacha lakini sijui huwa ni kwa nini nashindwa. Unakuta kanikosea yeye lakini mimi ndo namuomba msamaha. Ni mtu wa kukasirika mapema sana.
Nina miaka mitatu nipo naye.
Kwa nyie wenzangu huwa mnatumia mbinu gani kumuacha mtu unayempenda kweli πππ bila kumuambia π
Tafadhali naomba unipostie pia naomba ufiche jina langu.
Mimi ninayo ile ya hatari(kibatari chenye utambi wa sanda)!Natoa dawa ya kumvuta mpenzi ulio achana nae au mtu aliyepo mbali, atakufuata mwenyewe
dawa hii natoa bure.. Narudia ni BURE Kwa atakaye hitaji
baada ya kurudi huyo mtu. Uje uniambie asante
dawa itakayofuata ni kumfanya akupende hadi ashindwe kwenda kazini na kushindwa kuchepuka nje. Dawa hii inauzwa kwa $β¬
amna mbinubzaidi ya kupata penzi jipya ... Japo penzi jipya sio guaranteed kwamba litadumu unaweza kuumizwa vilevile ...omba mungu akupe mtu sahihiHabari yako,
Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo mwaka wa pili. Kuna kitu kinaniumiza sana kichwa kiasi kwamba kuna muda nashindwa hata kusoma vizuri. π₯Ήπ₯Ή Kuna mkaka mmoja tulikutana tu kawaida kipindi mimi ndo naanza form five, lakini mpaka namaliza form six bado nilikuwa naye.
Sasa baada ya mimi kwenda jeshini maana nilipangiwa nikaenda, lakini nilikuwa na simu na tulikuwa tunawasiliana vizuri tu mpaka akaniambia amehamishiwa kikazi mkoa mwingine. Mimi nikamwambia hamna shida, nikienda chuo tutaonana. Mapenzi yakawa yanaendelea kama kawaida. Nilipomaliza jeshi kweli nikaenda chuo Dar es Salaam, lakini baada ya kufika chuo mabadiliko nilianza kuyaona mwenyewe. Mara akae wiki hajanitafuta, mara nimuulize anakuwa na visingizio vingi sana. Namsamehe, inaisha. Yote hayo nilikuwa naona kawaida tu.
Lakini kilichokuja kuniumiza kichwa ni kwamba huyu mwanaume ni wa ajabu sana kwani hayupo tayari kunisaidia kwa pesa yoyote ile. Yeye anachotaka ni nimwambie "nimekumiss" na yeye ajibu "nimekumiss pia" basi maisha yasonge. Mpaka kuna muda najiuliza au shida ni nini kwa sababu yeye haongelei mambo ya mapenzi kabisa na huwa ananikwepa nikileta hizo mada.
Juzi nilimpigia, nikajifanya kumwambia baba kanipigia anaumwa nione atakavyonijibu. Alijibu "pole, atakuwa sawa"... na hajawahi kuniuliza anaendeleaje hata siku moja. Ananikosea sana kwa sababu vocha ninunue mwenyewe, nimpigie, bado hajali kabisa.
Na text zake zote ananiita mke wake. Nimeshajaribu mara kadhaa kumuacha lakini sijui huwa ni kwa nini nashindwa. Unakuta kanikosea yeye lakini mimi ndo namuomba msamaha. Ni mtu wa kukasirika mapema sana.
Nina miaka mitatu nipo naye.
Kwa nyie wenzangu huwa mnatumia mbinu gani kumuacha mtu unayempenda kweli πππ bila kumuambia π
Tafadhali naomba unipostie pia naomba ufiche jina langu.
Naishii na hii uduguuu!! [emoji120][emoji120][emoji120]Ukweli ndio huo uduguu, tunajichelewesha sana kukumbatia watu ambao sio sahihi kwetu.!! Inatakiwa turuhusu hatma ifanye kazi yake.
Mimi ninayo ile ya hatari(kibatari chenye utambi wa sanda)!
Ukichomewa hiyo, hata kama upo Dar na mchumba yupo Kigoma, utakwenda bila kutaka.
Ishi nayo, hakuna kujicheleweshaNaishii na hii uduguuu!! [emoji120][emoji120][emoji120]
ππππ wanatuonaga mafala sana hawajui tushashtukia janja janja zao kwaiyo na sisi tunakaa kitaalamuHuyu muongo kabisa unasema unampenda alafu unataka ahudumie baba yako wakati wee sio mke wake!!! Wee inastahili uteseke tuu na i hope jamaa alikula mbususu yako
Utawezana na mwanaume ambaye hakupi hela?Leta namba ya shemegi atumiwe meseji
"kama umemchoka tuachie sisi tumle mpaka mifupa"
Analiwa mtu kimasihala hapaIssue ndogo sana hiyo.Karibu PM.
Kwa mujibu wa maelezo yake hiyo anayoilalamikia ndiyo ilikuwa aina yao ya mapenzi, so haiwezi kubadilika yenyewe hadi wao wahusika waamue kuibadilisha.Habari yako,
Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo mwaka wa pili. Kuna kitu kinaniumiza sana kichwa kiasi kwamba kuna muda nashindwa hata kusoma vizuri. π₯Ήπ₯Ή Kuna mkaka mmoja tulikutana tu kawaida kipindi mimi ndo naanza form five, lakini mpaka namaliza form six bado nilikuwa naye.
Sasa baada ya mimi kwenda jeshini maana nilipangiwa nikaenda, lakini nilikuwa na simu na tulikuwa tunawasiliana vizuri tu mpaka akaniambia amehamishiwa kikazi mkoa mwingine. Mimi nikamwambia hamna shida, nikienda chuo tutaonana. Mapenzi yakawa yanaendelea kama kawaida. Nilipomaliza jeshi kweli nikaenda chuo Dar es Salaam, lakini baada ya kufika chuo mabadiliko nilianza kuyaona mwenyewe. Mara akae wiki hajanitafuta, mara nimuulize anakuwa na visingizio vingi sana. Namsamehe, inaisha. Yote hayo nilikuwa naona kawaida tu.
Lakini kilichokuja kuniumiza kichwa ni kwamba huyu mwanaume ni wa ajabu sana kwani hayupo tayari kunisaidia kwa pesa yoyote ile. Yeye anachotaka ni nimwambie "nimekumiss" na yeye ajibu "nimekumiss pia" basi maisha yasonge. Mpaka kuna muda najiuliza au shida ni nini kwa sababu yeye haongelei mambo ya mapenzi kabisa na huwa ananikwepa nikileta hizo mada.
Juzi nilimpigia, nikajifanya kumwambia baba kanipigia anaumwa nione atakavyonijibu. Alijibu "pole, atakuwa sawa"... na hajawahi kuniuliza anaendeleaje hata siku moja. Ananikosea sana kwa sababu vocha ninunue mwenyewe, nimpigie, bado hajali kabisa.
Na text zake zote ananiita mke wake. Nimeshajaribu mara kadhaa kumuacha lakini sijui huwa ni kwa nini nashindwa. Unakuta kanikosea yeye lakini mimi ndo namuomba msamaha. Ni mtu wa kukasirika mapema sana.
Nina miaka mitatu nipo naye.
Kwa nyie wenzangu huwa mnatumia mbinu gani kumuacha mtu unayempenda kweli πππ bila kumuambia π
Tafadhali naomba unipostie pia naomba ufiche jina langu.