Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mjeshi mwaka juzi, alimuua kondakita, mbona amehukumiwa kifo!!siku hizi unafukuzwa kazi, then unakuwa raia kapambane na kesi yako huko!!kama siku hizi wanahukumiwa kiraia hiyo safi sana itasaidia sana
Halafu jamaa kampa binaadamu mwenzie kisa ndege.... very sadsaruji sio poa,miaka ya 2004-5 kuna mama mmoja masikini alifiwa mumewe so hakuwa na pesa ya kulipia mortuary ikabidi aupake cement mwili wa mumewe tumboni
ule mwili haukuharibika kwa siku kama tatu
Aisee Bora...wananiudhi Mimi!Kuna mjeshi mwaka juzi, alimuua kondakita, mbona amehukumiwa kifo!!siku hizi unafukuzwa kazi, then unakuwa raia kapambane na kesi yako huko!!
Huna akili weweHalafu Mimi siyo mjeda wala siyo mlinzi Kwa namna yoyote Ile. Kwa hiyo usidhani natetea maslahi yoyote hapa mahali.
Nachosema ni kile kile; Tuacheni dharau Kwa hawa watu! Siku moja itakuja mtaelewa!
heshima itakuwepo sema kikubwa raia tu waelimishwe pale wanapofanyiwa vitendo visivyofaa kwenda kutoa taarifa polisi wasiogope gwandaKuna mjeshi mwaka juzi, alimuua kondakita, mbona amehukumiwa kifo!!siku hizi unafukuzwa kazi, then unakuwa raia kapambane na kesi yako huko!!
Nitakupigia baada ya muda!Huna akili wewe
KayavagaaWanajeshi tunawachekea sana. Kuna watu unakuta wanakaa wanasifia hivi vitendo vyao vya kishenzi.
Wanaivunjia Wine heshima Sana....Wenyewe wangesema gongo na milupo wangependeza😁[emoji23][emoji23]
wana slogan yao wenyewe triple W;
W-War
W-Wine
W-Women
Afu wenye elimu ndio wanakuajehao la saba ndiyo wana roho mbaya acha kabisa
Ki ukweli siku hizi, mambo ya mitandao yamesaidia sana kuwaamusha/kuweka wazi upuuzi unaofanywa na wanajeshi!!na viongozi wao siku hizi hawataki upuuzi, na hata siku za karibuni wamewaambia hawataki kuona mwanajeshi anapokuwa kwenye gari anaendesha huku amevaa kiraia anaweka kofia/sare ya jeshi mbele ili anaposimamishwa kwa kuvunja sheria aweze kumtisha msimamizi wa sheria!!heshima itakuwepo sema kikubwa raia tu waelimishwe pale wanapofanyiwa vitendo visivyofaa kwenda kutoa taarifa polisi wasiogope gwanda
Polisi ili mle rushwa huyu anahukumiwa hapohapo hamna uchunguzi ni kifiro tuWapumbavu sana hawa jamaaa, wanaua raia kila mara kwa mambo ya kipuuzi. Kama mwizi kwa nini usimpeleke Polisi then kwa court.
Wale wanajitambua, huwezi kumkuta mwenye cheo kuanzia nyota moja, anafanya ujinga huo hata siku moja!!Afu wenye elimu ndio wanakuaje
Hapo ndio huwa nachoka...Sio kweli huku Zenji wala hawaogopeki kma mnavowaogopa huko Bara
Kwa hiyo we unatetea wezi wenzakotusiwafundishe tu ukakamavu na mbinu za kivita hawa wanajeshi wetu huko makambini...
Wanapaswa pia kufundishwa namna ya kuishi na raia huku uraiani...
Sheria zetu zipewe meno makali dhidi ya watu hawa wanapofanya uonevi kwa raia..
Jeshi letu la polisi lipewe meno kwa kushirikiana na MPs yanapotokea mambo kama haya..
Ni hatari sana kuwa na askari wasio na nidhamu kama huyu mpumbavu..
Mtaendelea kufa kwa kujichanganya wenyewe kwa wajedaHuyo askari apigwe mvua za kutosha ili iwe mfano kwa wengine.haya ni mauaji ya kukusudia kabisa yaan unamfata MTU nyumbani kwakwe kuanza kujichukulia sheria mkononi.
Hakuna alie juu ya sheria sheria ichukue mkondo wake.
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app