Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlinz mwenzako huyoHuu ni ushenzi na ushetani.
Hawa la saba na form four leaver wastaafishwe kwa lazima.
Miaka hii bado mtu anatumia nguvu kutatua matatizo
Ma degree ya kusuguliwa papa na wahadhiri hayo ndio maana hawana confidence kama LYKwani wanaishi mwezini?si tunaishi nao , kwanza yeye kama hakuvaa sare, hadi uje ufahamu kuwa ni mwanajeshi, ni badaye sana, lakini hawa wa std 7, mikwala mingi!!mwaka jana pale buguruni hao wenzako, walikuwa wamelewa wamevaa ki raia wakakataa kulipa nauli, wakaleta vurugu wakavunja kioo cha tata cha nyuma!!na kumpiga kondakita wake!!gari ikapelekwa polisi pale buguruni, kilichowakuta , gharama waliyopigiwa kulipa, hawatasahau!!
Afisa ukimkosea atafuata tu utaratibu hawezi kufanya upuuzi ambayo badaye utamletea shida!!ubabe wa kishamba hawana.
Waongopee watu wengine sio humu JF.Sio kweli huku Zenji wala hawaogopeki kma mnavowaogopa huko Bara
Ruta na wewe ni miongoni mwao?Joannah tafadhali mama hata mimi?
Huu ni ushenzi na ushetani.
Hawa la saba na form four leaver wastaafishwe kwa lazima.
Miaka hii bado mtu anatumia nguvu kutatua matatizo
Hawakulazimishwa kufanya hiyo kazi...
Kazi zote Zina changamoto...hutaki acha!
Upuuzi na ulimbukeni tu...
Hahaha hapana bwana. Mie niliasi ila mzee wangu alikua Lt.Col enzi hizo nimekulia kambini.Ruta na wewe ni miongoni mwao?
Una ushahidi kwann asimkamate wakati anaibaKwanini aliiba kuku?