Afariki baada ya kudaiwa kulishwa saruji na askari wa JWTZ

Afariki baada ya kudaiwa kulishwa saruji na askari wa JWTZ

Kwani wanaishi mwezini?si tunaishi nao , kwanza yeye kama hakuvaa sare, hadi uje ufahamu kuwa ni mwanajeshi, ni badaye sana, lakini hawa wa std 7, mikwala mingi!!mwaka jana pale buguruni hao wenzako, walikuwa wamelewa wamevaa ki raia wakakataa kulipa nauli, wakaleta vurugu wakavunja kioo cha tata cha nyuma!!na kumpiga kondakita wake!!gari ikapelekwa polisi pale buguruni, kilichowakuta , gharama waliyopigiwa kulipa, hawatasahau!!
Afisa ukimkosea atafuata tu utaratibu hawezi kufanya upuuzi ambayo badaye utamletea shida!!ubabe wa kishamba hawana.
Ma degree ya kusuguliwa papa na wahadhiri hayo ndio maana hawana confidence kama LY
 
Waongopee watu wengine sio humu JF.
Zenji walikuwa wananchi wanachapwa ovyo na kumwagiwa maji ya bomba na kugaragazwa pale karibu na airport wakati wa uchaguzi mkuu.
huyu jamaa wa UROJO katupiga kamba sana
 
Watanzania tafteni pesa ayo ndo mazala ya kutokua na pesa
Hao mnaowaita wanajeshi huwa wanaonea mtu kulingana na muonekano tu
Yan mshee demu akupige wakt demu sio mke wake
Akutume ukosee akupige mtaani mpishane lugha akupige kisa ni msoja huo ujinga mnauendekeza nyie wenyewe

Akuna Sehemu ambayo heshima na nizamu ni muimu km jeshini
Mwananchi ukionewa na mwanajeshi nenda kambini utapewa msaada ttzo lenu weng wenu ni waoga
 
Ngerengere si ndio makomandoo wanapopikwa? Kwahiyo askar tena komando unaua kwasababu ya kuku?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilikaaga kwenye nyumba moja ya kupanga sasa ile nyumba mama mwenye nyumba ana binti wake mmoja hivi matata sana na anamchunga balaa akisikia tu hata kama hajajiridhisha kuwa unatoka na mtoto wake unaye huyo sasa zikapita siku kadhaa tukajua kuwa binti yake anatembea na mjeda mmoja hivi hadi mama mtu akawa anajua sema sasa ikawa anaogopa kumwendea mjeda kumwambia ikawa ana mteta tukiwa wenyewe tu na mama wa watu alikuwa anaumia sana tukawa tunamcheka kumbe unatuoneaga sisi tu kwenda kwa mjeda mkia umeufyata kama hujui nini kinaendelea vile na mtoto wake naye akawehuka akamwambia usinifuatilie kumbe mnafki unawaoneaga wakaka wa watu tu kwenda kwa yule mjeda unaogopa kama umeona kaburi sasa nitatembea na yeyote ninayemtaka na mimi nilifanya kusudi kuona kama kweli utanilinda kwenye hali zote sio kuchagua.

Binti kalimwaga uwanjan mama wa watu kabak mdomo wazi hana cha kusema .
 
Back
Top Bottom