ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Atakuwa mwanachama chademaNi Jamaa yetu wa kata ya rahaleo alifunga siku zote leo asubuhi sana hata kuswali hajaenda akaamua kufungulia kazi na pombe kali aina ya smart gin(kisungura) akapiga mbeta kama vile anakunywa soda lengo asipate hasara ghafla bin vu kakata moto.
Hata nusu hapati?balaa zito. kwa kifo hicho hawezi kupewa mabikra 72, swaumu yake bure kabisa
wakala wao unasemaje
Itakuwa ni ya Ntwara hiyo.RahaLeo ya wapi Mkuu? Zanzibar au ? 🤔
sio mbaya ataenda kwenye mito ya pombebalaa zito. kwa kifo hicho hawezi kupewa mabikra 72, swaumu yake bure kabisa